Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezi onesha ubora ndani ya muda mfupi, ndio maana akaja kucheza huku.Achana na manungu Mbona hata pale taifa ....,,,,chamaz kazi ilimshinda
Ligi daraja la ngapi? Tuanzie hapoMchezaji Wa zamani Wa Simba sc Dejan anaongoza katika kinyanganyiro Cha mfungaji Bora uko Serbia [emoji1212].
Na Hizi hapa ni Takwimu zake
[emoji843]MECHI 38
[emoji843]MABAO 30
[emoji843]ASSIST 12
Amehusika kwenye Jumla ya Magoli 42 mpka sasa katika michezo 30.
Mlete mzungu [emoji23][emoji23] inawezekana pale ukoloni alipigwa msumari View attachment 3014246
Ata angepewa muda asingetoboa.Kwamba makolo wangmpa muda
Wapuuzi ndo watakuamini ww Topolo wa head...ww nae mnafiki tuu kama wengine..Tuliona jamaa ni mzuri....angetusumbua sana .. that's y tuli pressurelize atoke
Kweli makolo wakaingia kwenye mfuno[emoji23][emoji23]
Kama unajua unajua tu mkuu, ni jambo la muda. Hata hivyo viwanja sio ibaya kihivyo.Mazingira ya kule na huku ni tofauti. Unadhani ukimchezesha cr7 manungu atafunga kama alivyo Al nassry?
Anaejua hawezi kutoka ulaya aje acheze bongo.Kama unajua unajua tu mkuu, ni jambo la muda. Hata hivyo viwanja sio ibaya kihivyo.