'Uchawi' wa biashara ni 'location' tuu kwisha!

'Uchawi' wa biashara ni 'location' tuu kwisha!

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Kwema!

Sitemi cheche nyingi wala, ukiachilia mbali vigezo vingine vya kufanya biashara kama bidhaa nzuri, customer care etc, ila uchawi nambari one ni LOCATION Pekee. (Physics inasema Location matters provided other variable factors remain constant) 👈👈👈 Hiyo ndiyo Business Law.

Huwa nashangaa watu wanafungua duka la nguo huko porini yaani mbalii ambapo daah.

Hata hapa Dar es Salaam unakuta dukani mtu akikaa mpaka analala, hii ni kwa baadhi ya vichochoro. tunasemaga duka lipo kushoto.

Cc CONTROLA nisiingilie kazi yake.
 
Kuna ofisi ziko Mahala pabaya ila zinaacha kumbukumbu kwa mteja kulingana na kile mteja anapokea toka kwa huduma zao.
Je unaacha Hisia gani kwa mteja ? Kuanzia price elasticity
Reaction, Response na Reward hapa ndipo ulipo uchawi.
 
Biashara ni (mipango) strategy

Watu wanafungua chaka ni chaka, wengine hawana hata fremu lakini wanauza.
 
Naunga mkono hoja lakini Bei ya bidhaa yako ina nguvu kubwa sana katika biashara

Tunasema upate faida ya elfu moja ya pamoja halafu mteja asirudi au upate faida ya shilingi mia moja lakini iwe ya kudumu muda mrefu? Kampuni hiyo hutumiwa na wahindi, wachina na kwa Tanzania mabingwa wa faida kidogo mzunguko mkubwa ni wakinga, waha, na wafanyabiashara wa Katoro geita,
 
Location ina nguvu nakuunga mkono kwani ndio huamua hatma ya biashara yako, kipindi cha mvua ifakara utauza gunboot zenye rangi za jeshi jeshi, miavuli, naloni, madawa ya kilimo lakini ukienda ifakara kwenye mavuno utauza magunia, kamba, turubai, sindano za kushonea magunia maana yake eneo moja limeamua biashara mbili tofauti ndani ya mwaka mmoja,
 
NAMNUKUU MWANA JF MMOJA
Nyumba ya mganga na nyumba ya Chifu haipungukiwi ni msemo wa wazee huo. Umemtibu mtu analeta shukrani kwa alichofanikiwa.
Sifa za Mganga wa kweli.
Mganga wa kweli hakutozi hela nyingi kuliko alivyopangiwa na mizimu iliyompa uganga maana uganga wa kweli lengo lake ni kusaidia jamii, unganga ni jadi na lengo lake ni kuisaidia jamii toka enzi na enzi ni bahati mbaya sana kuufanya uganga kuwa dili la kuwaibia watu, hii sio lengo la uganga kwa asili yake.

Uganga wa kweli mara nyingi ni ule unaotokana na kurithi toka kizazi mpaka kizazi sio ule wa kujifunza,ukanjanja, udii na ulozi wa kuwatupia watu mabalaa kwa lengo la waje uwatibu.

Mganga wa kweli lazima atakukurahishishia shida ulionayo na kama imemzidi uganga atakwambia au atakuposti kwa wajuaji zaidi wa shida yako (Waganga wanafahamiana kwa uwezo na nyanja kama walivyo walozi).

Mganga wa kweli atakutibu ili upone ndo akufaidi zaidi kwa shukrani na zawadi na uaminifu wako kwake na ndio faida ya uganga wa kweli. Huyu mganga hutamwacha kamwe kwenye kulingana na alivyotatua shida yako. Kuna jangiri alijeruhiwa na nyati porini nyati alivunja vunja miguu, yule mwamba wenzie walimbeba mpaka kijiji cha jirani huko Katavi kwa mganga. Mganga akawaambia wale wenzake mje mumchukue baada ya wiki tatu muache debe moja la unga. Wenzie waliporudi baada ya wiki 3 walikuta anatembelea fimbo na akapona mifupa na akarudi kwenye ujangiri wake na akipata mnyama lazima apeleke nyama kwa Mganga.

Onyo: Nazungumzia waganga wa kweli sio matapeli wa mjini na mapropesa.

Watu wanaibiwa na wanachanganya sana kati ya Ulozi, Ugagula, Uganga na Mazingaombwe, kiini macho.

MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 5000 Kwa akili ya connection.
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban
Karibuni PM/DM
watu wanaamini uganga hausaidii watu asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini
Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto na conclude
Acha ujinga wewe.
 
Back
Top Bottom