nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Usingijibu, Ningijibu.Jifunze 4Ps
1.Product
2.Place
3.Price
4.Promotions
Acha Mbambamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingijibu, Ningijibu.Jifunze 4Ps
1.Product
2.Place
3.Price
4.Promotions
Acha Mbambamba
Hiyo price ndio imebeba kila kitu.1.Price (Bei)
2.Location (Eneo)
Amemaanisha matangazo,ukiuza kimyakimya bila matangazo kuna baadhi ya wateja hawatozifahamu bidhaa zako na utawakosaPromotions ??? Iwekee nyama hii point yako
Nimemkumbuka mwalimu wangu wa uchumi wa Advance Mr. Komba sijui yupo hai. Alizielezea hizi 4P akasema ukikosa moja wapo unawsza mtafuta mchawiJifunze 4Ps
1.Product
2.Place
3.Price
4.Promotions
Acha Mbambamba
UJINGA TENAAcha ujinga wewe.
Nimecheka kaa fala 😂😂😂Utazingatia yote hayo na ukatoka kapa. Kwa kuwa hiyo biashara ndiyo inashikilia maisha yako, jua kwanza maisha ni mchezo, ndipo ufungue hiyo biashara. Watu wengi wanafeli kwa kutokujua maisha ni mchezo. Au wengine wanadharau na kuendelea kupasua Sala za hizi dini zilizokuja kwa njia ya meli.
Mchungaji namchana ukweli kesho kanikosea sana mm ndo mteja wakeMaterial ya finishing ya ujenzi na huduma ya finishing. Mchungaji kanipa kazi ya pvc kwenye madirisha.
SureKwema!
Sitemi cheche nyingi wala, ukiachilia mbali vigezo vingine vya kufanya biashara kama bidhaa nzuri, customer care etc, ila uchawi nambari one ni LOCATION Pekee. (Physics inasema Location matters provided other variable factors remain constant) 👈👈👈 Hiyo ndiyo Business Law.
Huwa nashangaa watu wanafungua duka la nguo huko porini yaani mbalii ambapo daah.
Hata hapa Dar es Salaam unakuta dukani mtu akikaa mpaka analala, hii ni kwa baadhi ya vichochoro. tunasemaga duka lipo kushoto.
Cc CONTROLA nisiingilie kazi yake.