Uchawi wa kimapenzi mkali kabisa yaani ni balaa

Uchawi wa kimapenzi mkali kabisa yaani ni balaa

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,298
Reaction score
7,612
Katika masuala ambayo uchawi una ishi na kutawala basi ni suala la mapenzi. Asilimia kubwa ya watu wanao enda kwa waganga, huenda huko kwa sababu ya mapenzi au kwa sababu ya mambo yanayo sababishwa na mapenzi.

Uchawi wa mapenzi upo wa aina nyingi sana. Nikisema nianze kutaja na kuelezea kwa kila aina ya uchawi na ulozi katika mapenzi hapa, sitamaliza kwa sababu upo uchawi wa aina nyingi sana.

Nitataja na kuelezea kwa ufupi sana, aina chache za uchawi katika mapenzi, halafu nitaelezea aina moja ya uchawi wa mapenzi ambao ni uchawi hatari na wenye nguvu sana.

KUMSHIKA MWANAUME KATIKA MAPENZI ; Kumshika mwanaume katika mapenzi, wachawi huchukua njiwa wawili jike dume walio zaliwa kiota kimoja pamoja na kiota chawe, kisha njiwa hao huchinjwa , hupasuluwa na mioyo yao hunyofolewa, huchemshwa kwenye mafuta ya mti mmoja unapatikana porini, halafu husagwa hadi kuwa unga unga. Baada ya hapo huchukua njugu mawe nyeusi moja, huchanganya na mti unaitwa mlama, pamoja na miti mingine mitatu ya porini, kisha husagwa pamoja na ile mizoga ya njiwa.

Vyote hivi kwa pamoja, huchanganywa na vizimba vitatu vya ndumba za kichawi, halafu mwanaume huwekewa kwenye chakula, basi mwanaume huyo atakuwa hasemi chochote kwa mwanamke huyo.Mwanamke atakuwa mama ake atakuwa baba ake. Ni uchawi mbaya sana huu.

KUMFANYA MWANAUME ASIENDE NJE YA NDOA :
Kumfanya mwanaume asiende nje ya ndoa, wachawi huchukua kamba ya mbuzi, moyo wa kondoo, mti unaitwa INAMA NIKUCHUME ( Mti huu unapatikana Kigoma tu, na watu wa kigoma ndio huuita jina hilo), mti unaitwa Inyazya kisha vinasagwa kwa pamoja halafu vinachanganywa na nta ya nyuki, kisha wanatafuta kucha, au nywele, au ndevu, au uzi wa nguo yake yoyote, halafu vinakaangwa kwa chumvi ya mawe pamoja na vizimba vya zote \nilizo zitaja hapo juu, kisha vinafungwa kwenye kitambaa chekundu, halafu vinafukiwa mlangoni au kwenye mti wowote. Basi mwanaume huyu hawezi kwenda nje ya ndoa yake.

MWANAUME AKUONE WEWE TU KILA ANAPOKUWA NA MWANAMKE MWINGINE : Wachawi hutchukua maji ambayo mwanamke ametumia kunawa uso wake kisha huchanganya na ndumba 13 za kichawi pamoja na vizimba vyake kisha kutengeneza ndumba itakayo mfanya mume wa mwanamke huyo kuwa anaumuona mke wake wakati wote na pia kuwa anaona kama anatokewa na mke wake kila anapo kuwa na michepuko.

KUMFANYA MUME AKUPE MSHAHARA WAKE WOTE AU PESA ZAKE ZOTE KILA AKIZIPATA: Uchawi huu umewalostisha wanaume wengi sana. Hapa mchawi anacho chukua manii za mwanaume aliye mkusudia, ana changanya pamoja na baadhi ya vitu alivyo pewa na mwanaume huyo, halafu vinaenda kutengenezwa kichawi kwa kutumia ndumba za kichawi, basi mwanaume huyo atakuwa kila akipata mshahara wake anapeleka zote kwa mwanamke huyo. Asipojistukia mapema, anaweza uza kila kilicho chake.
KUMVUTA MPENZI : Ipo miti mitatu inapatikana porini, miti hutumika kumuita kichawi mwanamke au mwanaume aliye kusudiwa.

KUMTEGA DAWA ZA MAPENZI MWANAMKE AU MWANAUME.
Chaurembo kaenda kwa wachawi, na kuwaomba wampe msaada wa kichawi ili aweze kumteka kimapenzi Ndugu., Maridadi.

Wachawi watamchukua Chaurembo, watampa ndumba za aina tatu. Ndumba ya kwanza, atachanjiwa, kichwani na katika pembe zote za mwili wake. Ndumba ya pili atatumia kunywa, na ndumba ya tatu atatumia kuoga na kuchoma.

Sikui tatu baada ya kuanza kutumia ndumba hizo, Chaurembo atamuota Maridadi anapita katika sehemu ambayo Chaurembo anaifahamu. Chaurembo atatakiwa kuikariri ndumba hiyo.
Kesho yake, saa saba mchana, Chaurembo atatkiwa kwenda hadi mahali alipo muona Maridadi akiwa anapita,akifika katika eneo hilo, atatakiwa kumwaga dawa aliyo pewa.
Maridadi lazima atapita katika eneo hilo, na akipita tu, basi anakuwa amenasa kwenye penzi la Chaurembo.

Maridadi atamtafuta Chaurembo kwa udi na uvumba na atafanya kila kitu anacho kitaka Chaurembo.

Huu ni uchawi mbaya sana na hutumika hata katika mambo yasiyo ya mapenzi.
SIKU NYINGINE NITAELEZEA KWA UREFU SANA KUHUSU UCHAWI MBALIMBALI UNAO TUMIKA KATIKA MAPENZI.
 
Naomba tafadhali dokta tuwasiliane haraka ili niweze kupata dawa ya kumtega Chaurembo fulani hivi tunaye humu humu JF!!
 
Kweli kabisa bana vipi kiuno kuuma bila sababu je ni hizo shahawa zinazochukuliwa? wanaume wengi dar viuno kuuma bana hata watoto wadogo, dawa hizi ziko Morogoro
 
Katika masuala ambayo uchawi una ishi na kutawala basi ni suala la mapenzi. Asilimia kubwa ya watu wanao enda kwa waganga, huenda huko kwa sababu ya mapenzi au kwa sababu ya mambo yanayo sababishwa na mapenzi.

Uchawi wa mapenzi upo wa aina nyingi sana. Nikisema nianze kutaja na kuelezea kwa kila aina ya uchawi na ulozi katika mapenzi hapa, sitamaliza kwa sababu upo uchawi wa aina nyingi sana.

Nitataja na kuelezea kwa ufupi sana, aina chache za uchawi katika mapenzi, halafu nitaelezea aina moja ya uchawi wa mapenzi ambao ni uchawi hatari na wenye nguvu sana.

KUMSHIKA MWANAUME KATIKA MAPENZI ; Kumshika mwanaume katika mapenzi, wachawi huchukua njiwa wawili jike dume walio zaliwa kiota kimoja pamoja na kiota chawe, kisha njiwa hao huchinjwa , hupasuluwa na mioyo yao hunyofolewa, huchemshwa kwenye mafuta ya mti mmoja unapatikana porini, halafu husagwa hadi kuwa unga unga. Baada ya hapo huchukua njugu mawe nyeusi moja, huchanganya na mti unaitwa mlama, pamoja na miti mingine mitatu ya porini, kisha husagwa pamoja na ile mizoga ya njiwa.

Vyote hivi kwa pamoja, huchanganywa na vizimba vitatu vya ndumba za kichawi, halafu mwanaume huwekewa kwenye chakula, basi mwanaume huyo atakuwa hasemi chochote kwa mwanamke huyo.Mwanamke atakuwa mama ake atakuwa baba ake. Ni uchawi mbaya sana huu.

KUMFANYA MWANAUME ASIENDE NJE YA NDOA :
Kumfanya mwanaume asiende nje ya ndoa, wachawi huchukua kamba ya mbuzi, moyo wa kondoo, mti unaitwa INAMA NIKUCHUME ( Mti huu unapatikana Kigoma tu, na watu wa kigoma ndio huuita jina hilo), mti unaitwa Inyazya kisha vinasagwa kwa pamoja halafu vinachanganywa na nta ya nyuki, kisha wanatafuta kucha, au nywele, au ndevu, au uzi wa nguo yake yoyote, halafu vinakaangwa kwa chumvi ya mawe pamoja na vizimba vya zote \nilizo zitaja hapo juu, kisha vinafungwa kwenye kitambaa chekundu, halafu vinafukiwa mlangoni au kwenye mti wowote. Basi mwanaume huyu hawezi kwenda nje ya ndoa yake.

MWANAUME AKUONE WEWE TU KILA ANAPOKUWA NA MWANAMKE MWINGINE : Wachawi hutchukua maji ambayo mwanamke ametumia kunawa uso wake kisha huchanganya na ndumba 13 za kichawi pamoja na vizimba vyake kisha kutengeneza ndumba itakayo mfanya mume wa mwanamke huyo kuwa anaumuona mke wake wakati wote na pia kuwa anaona kama anatokewa na mke wake kila anapo kuwa na michepuko.

KUMFANYA MUME AKUPE MSHAHARA WAKE WOTE AU PESA ZAKE ZOTE KILA AKIZIPATA: Uchawi huu umewalostisha wanaume wengi sana. Hapa mchawi anacho chukua manii za mwanaume aliye mkusudia, ana changanya pamoja na baadhi ya vitu alivyo pewa na mwanaume huyo, halafu vinaenda kutengenezwa kichawi kwa kutumia ndumba za kichawi, basi mwanaume huyo atakuwa kila akipata mshahara wake anapeleka zote kwa mwanamke huyo. Asipojistukia mapema, anaweza uza kila kilicho chake.
KUMVUTA MPENZI : Ipo miti mitatu inapatikana porini, miti hutumika kumuita kichawi mwanamke au mwanaume aliye kusudiwa.

KUMTEGA DAWA ZA MAPENZI MWANAMKE AU MWANAUME.
Chaurembo kaenda kwa wachawi, na kuwaomba wampe msaada wa kichawi ili aweze kumteka kimapenzi Ndugu., Maridadi.

Wachawi watamchukua Chaurembo, watampa ndumba za aina tatu. Ndumba ya kwanza, atachanjiwa, kichwani na katika pembe zote za mwili wake. Ndumba ya pili atatumia kunywa, na ndumba ya tatu atatumia kuoga na kuchoma.

Sikui tatu baada ya kuanza kutumia ndumba hizo, Chaurembo atamuota Maridadi anapita katika sehemu ambayo Chaurembo anaifahamu. Chaurembo atatakiwa kuikariri ndumba hiyo.
Kesho yake, saa saba mchana, Chaurembo atatkiwa kwenda hadi mahali alipo muona Maridadi akiwa anapita,akifika katika eneo hilo, atatakiwa kumwaga dawa aliyo pewa.
Maridadi lazima atapita katika eneo hilo, na akipita tu, basi anakuwa amenasa kwenye penzi la Chaurembo.

Maridadi atamtafuta Chaurembo kwa udi na uvumba na atafanya kila kitu anacho kitaka Chaurembo.

Huu ni uchawi mbaya sana na hutumika hata katika mambo yasiyo ya mapenzi.
SIKU NYINGINE NITAELEZEA KWA UREFU SANA KUHUSU UCHAWI MBALIMBALI UNAO TUMIKA KATIKA MAPENZI.
da!!!wewe umejuaje mazee kama na weye sio mkaanga dawa????............
 
Ukimuona aliyelishwa limbwata utamuonea huruma. Hata kama ni tajiri au mkubwa ofisini, nyumbani ni "ndio" kwa kwenda mbele, hajui kusema hapana.
 
Back
Top Bottom