Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Uchawi huu uko sana Kigoma, pia majambazi wengi huutumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo kuna watu huuchanjia mukuView attachment 2112371
Uchawi huu uko sana Kigoma, pia majambazi wengi huutumia
Sasa mtu kama huyu anauliwa na nini? Maana ajaliHuo kuna watu huuchanjia muku
Tanga hiii hii tunayoijua una mademu wakali wa mapenzi?Tanga nao wanao huo uchawi unatengenezwa haswa uguswi na siraha yoyote ile,huguswi na wanyama wakali wala majambazi
Hahaha Tanga raha,kuna sehemu inaitwa kijungu moto uko ni shida wana dawa haswaTanga hiii hii tunayoijua una mademu wakali wa mapenzi?
Mazingaombwe tu haya dogoo
Uchawi huu uko sana Kigoma, pia majambazi wengi huutumia
Wrong comment in wrong threadNi swala binafsi, ila baada ya kurudi salama anamshukuru aliyemuepusha na majanga. Kwani mtu kupata cheo atakueleza alichofanya? Atasema ni CV tu kumbe sivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muku si ni dawa ya kufanya uume uwe mrefu na mnene, pia usimwage mapema?Huo kuna watu huuchanjia muku