Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake


Duuh!.Kati Ya Watu Waliocomment Pumba Wewe Unaweza Kukamata Namba Moja.Una Maana Unataka Tumruhusu Domo Atumie Ushirikina Kupata Tuzo Eti Kwasababu Nchi Inapata Sifa.? Sisi Tunataka Kukuza Vipaji Lakini Sio Kukuza Washirikiana.Eboo Acha Kuidhalilisha Hii Nchi.Ina Hazina Ya Wasanii Kibao Wenye Uwezo Na Talent Za Hali Ya Juu.Wanaoweza Kuitangaza Hii Nchi Kimataifa Bila Ya Kumiana Ndumba.
 

ivi hili ni jibu la swali uliloulizwa?
 
Last edited by a moderator:
et rich mavoko na belle 9 wanazidiwa na daimond kuimba ben pol ???#satanic music

Biashara matangazo! Tumia pesa ikuzoee, Diamond hakuona soo kuingia benki kuchukua mkwanja mrefu wa video ya NUMBER ONE, ndo video iliyomtoa na kwa kuwa kwa muda huo hakukuwa na msanii aliyefanya hivyo, Afrika ikamnasa yeye kutoka ukanda huu, na kizuri ameendeleza video bora nakufanya collabo na wasanii wengine wakubwa! AMINI, ingekuwa ni msanii mwingine yeyote kutoka na Video yenye kiwango na wa kwanza, yeye ndo angewika, bahati mbaya au nzuri ndo Diamond alikuwa wa kwanza!
Nashangaa kwenye filamu bado wamekunywa gundi, atakuja toka mmoja na muvi bora ya kukubalika kimataifa kisha waliobaki wataanza kutafuta mchawi kama mleta uzi!
 

Sasa hao wenye vipaji mbona hawafanyi vizuri kimataifa. Kwahiyo na Vanessa nae anatumia ndumba japo hajapata. Acha fikra potofu. Hata jk anatambua kipaji cha jamaa.
 
Wanajiita wasafi, hivyo wanaonyesha boksa zao nyeupe kuwa wana-maitain usafi.

Ndo Akili Yako Inavyokutuma Uamini Hivyo.Wewe Umelogwa Na Uchawi Wa Kinageria Ndomana Hujitambua.Umepofushwa Na Mahaba Ya Nguvu Ya Ndumba Sio Bure
 
Sasa hao wenye vipaji mbona hawafanyi vizuri kimataifa. Kwahiyo na Vanessa nae anatumia ndumba japo hajapata. Acha fikra potofu. Hata jk anatambua kipaji cha jamaa.

Taifa Kua Na Binadamu Wenye Mawazo Kama Ya Kwako Ni Hasara Kubwa.Au Labda Ni Nguvu Ya Ile Pete.
 
Ndo Akili Yako Inavyokutuma Uamini Hivyo.Wewe Umelogwa Na Uchawi Wa Kinageria Ndomana Hujitambua.Umepofushwa Na Mahaba Ya Nguvu Ya Ndumba Sio Bure

Sasa kumbe unaongelea vitu ambavyo huvijui, hiyo ndo tafsiri yao ya kuonyesha hizo boksa, sio kuwa nimetunga!
Kama taifa tuna kazi ya ziada ya kuaminisha watu kuwa mafanikio ni kitu cha kawaida, sio uchawi ndo geti la kuingilia ktk uwanja wa mafanikio! Badilisha fikra, umeathirika na ulokole!!
Platnumz kapiga kazi sasa anavuna!
 
Mimi Simuonei Wivu.Ila Namshauri Hasitegemee Kafara Hazitamfikisha Kokote.Afate Mfano Wa Wasanii Wengine Wanaotumia Vipaji Vyao Kupata Mafanikio.

mfano wa hao wasanii unaosema wantumia vpaji vyao plz.
 
Mi sijaelewa labda apa…!!

a) Hivi pete ndio inatunga hizo nyimbo?

b) Pete ndio inatoa tuzo za MTV?

c) akiwa na hiyo pete akawa analala tu bula kujishughulisha atapata hizo tuzo au angepata mafanikio?

Niweke sawa mkuu
 
Taifa Kua Na Binadamu Wenye Mawazo Kama Ya Kwako Ni Hasara Kubwa.Au Labda Ni Nguvu Ya Ile Pete.

Mi sijaelewa labda apa…!!

a) Hivi pete ndio inatunga hizo nyimbo?

b) Pete ndio inatoa tuzo za MTV?

c) akiwa na hiyo pete akawa analala tu bula kujishughulisha atapata hizo tuzo au angepata mafanikio?

Niweke sawa mkuu
 
DOGofGOD

Angekuwa mzungu usinge sema anatumia uchawi,ila kwa vile Diamond ni mbongo,amejituma amefanikiwa,unaona wivu,unajiuliza imewezekana vipi,akafikia hapo,
Kaka acha wivu wa kike,fanya kazi na wewe ufanikiwe,mjini hapa uta.....katwa,

Diamond katoka mbali sana,ni juhudi zake tu,zimemfikisha hapo,hamna uchawi hapo,
 
Last edited by a moderator:

Alafu afadhari ningemuelewa mleta uzi kama mafanikio ya Diamond yangekuwa ya ghafla. Ila huyu kijana ka hassle! Taifa zima limemuona na kumshuhudia toka akiwa kashamba kashamba na akipanda ngazi tartiibu! Alijaribu kutoka kwa kurap, akaombaga collabo na Jo Makini akapigwa chini! Baadae akabadili mtindo kwenda RnB akabaunsi, akaja bongo flava ndo angalau akakutana na Bob Junior akamtambulisha japo kitaifa na kamwambie!
Ni mfano mzuri wa stori za kumotivate vijana kuwa ukipiga kazi sana na usipokata tamaa utafanikiwa!
Sasa kafanikiwa, watu wanadai ndumba!
 
Napiga picha ya sumbawanga na kigoma jinsi ninavyosikia sifa zao sijui kungekuwa na diamonds wangapi!
 
Taifa Kua Na Binadamu Wenye Mawazo Kama Ya Kwako Ni Hasara Kubwa.Au Labda Ni Nguvu Ya Ile Pete.

Wewe ni mlokole wa ajabu unaeamini uchawi. Badilika kifikra. Mtazamo wako ni hasi unataka kuwalisha Watanzania vitu unavyoamini wewe. Ndumba. Karne ya 21 unaamini ndumba pole sana
 
Haya #Team Makombo nanyinyi mmeamua kwenda kufuata makombo ya Davido hukohuko, msiige kunya kwa tembo mtapasuka puroo, na amini msiamini mtanyooka sooooon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…