mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,661
- 1,267
Mimi Simuonei Wivu.Ila Namshauri Hasitegemee Kafara Hazitamfikisha Kokote.Afate Mfano Wa Wasanii Wengine Wanaotumia Vipaji Vyao Kupata Mafanikio.
Mimi Simuonei Wivu.Ila Namshauri Hasitegemee Kafara Hazitamfikisha Kokote.Afate Mfano Wa Wasanii Wengine Wanaotumia Vipaji Vyao Kupata Mafanikio.
Mimi Simuonei Wivu.Ila Namshauri Hasitegemee Kafara Hazitamfikisha Kokote.Afate Mfano Wa Wasanii Wengine Wanaotumia Vipaji Vyao Kupata Mafanikio.
Ukitaka Kuamini Mwambie Avue Ili Peke Yake Ya Mkono Wake Wa Kushoto.Anayodai Ni Ya Uchumba Wa Mshirikina Mwenzie Zari.Halafu Uone Kazi
Waaii. ...!! Hivi na juhudi alizonazo hazionekani!!? Kwendeni zenu, eti uchawi!! Kawangeni na nyie muwe juu..
Dalili za kuelekea kunyooka hizoooo...
Mi sijaelewa labda apa!!
a) Hivi pete ndio inatunga hizo nyimbo?
b) Pete ndio inatoa tuzo za MTV?
c) akiwa na hiyo pete akawa analala tu bula kujishughulisha atapata hizo tuzo au angepata mafanikio?
Niweke sawa mkuu
mr nice ilikuwa anatumia ndumbaa alivyokosea masharti ndo akapotea kwenye game wasanii kama cassim mr blue wale mziki ni kipaji hawafanyi hivyo vitu ndo maana wanatoa nyimbo watu wana wapotezea belle 9 rich mavoko wote walikataa hivyo vitu na hawatakaa washuke kwenye game labda waache mziki
mfano cassim anatulia anatoa nyimbo inabamba
source pwilo