Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

wale ambao kama mimi tuna angalia mambo yanayo endelea kwa hawa wasanii wetu. naomba tuzidi kuwa wvumilivu sisi Mungu ata tuonyeshea nani ni bora.TUSIWATUKANE ILA TUWAPE USHIRIKIANO MPAKA MUNGU ATAKAPO JIBU
 
Taifa hili lina angamizwa na vijana wadogo wavivu wa kufikiri na kufanya kazi kwa bidii,wenye wivu na wapiga majungu wasio na vision.

Tufanye kazi kwa bidii tuwakomboe watoto wetu na tuutokomeze umaskini Tanzania,kamwe usikubali maisha duni uliyo ishi wewe na wazazi wako yaje kurithiwa na watoto na wajukuu zako.
 
Hapa Hatuzungumzi Ushabiki Tunazungumza Facts.Anaetumia Uwezo Wa Talent Na Anaetumia Uwezo Wa Ndumba Mwisho Wa Siku Atajulikana Tu Nani Mwenye Uwezo Na Nani Zaid Na Nani Anastahil Kuitwa King.

Hapa tunazungumzia facts!!!!!! Hahahaaa jamani eti facts, siku hizi kuna maana mpya ya neno facts eeeeh? ??????
 

Hahahaaa nimecheka sana hii comment, mkuu sisi hatuna nauli ya kwendea nigeria!
 

wee mbulula mshirikina mkubwa muache dogo ajitume kwanza anafanya mazoezi na vitu vinaonekana umetumwa wewe
 
Rafiki upo? Nimefurahi kwenye huu uzi nimeona wenye positive thoughts wengi sana, halafu ni adimu humu celebrity forum.

Hahaahah nipo Rafiki bintikiziwi

Watu tunaamini katika ya "bidii" yeye anakuja na slogan ya "uchawi".

Haahahh leteni rula tunyooshe watu huku
 
Last edited by a moderator:
we mleta mada ndo mchawi mkubwa umejuaje kama nawewe sio mwanga big liar, hate him or die he gota be da prezidaaaa 4rever unadalili za ki gasho thread zako ni umbea umbea tu na vitu usivokuana uhakika navyo.
 
hatimaye leo ukweli umejulikana kwa hiyo tunakubaliana kuwa chibu ni mwanga mlozi, uwezo ziro na analoga hili amfikie king,nyimbo zero na kuanzia sasa tunafunga mjadala wa kumlinganisha huyu mwanga na king, period
 

Natamani kuweka red kwenye neno 'sadaka' lakini sijui. Kwa ninavyojua sadaka za kwenye movie za 'Nigeria' huwa ni watu. Sasa labda tuanzie hapo,nani katolewa sadaka na Mondi?
 
wale ambao kama mimi tuna angalia mambo yanayo endelea kwa hawa wasanii wetu. naomba tuzidi kuwa wvumilivu sisi Mungu ata tuonyeshea nani ni bora.TUSIWATUKANE ILA TUWAPE USHIRIKIANO MPAKA MUNGU ATAKAPO JIBU

mkuu tumpe ushirikiano mzee wa tunguli? period
 

mzee wa tunguli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…