Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

hivi utamjuaje mchawi kama huwangi nae
hebu niambie hapa alimaanisha nn au bahati mbaya kwa nn walivua wote nguo
6b5686b837889991f35d40c3ac5951b1.jpg
dc0e6841c850db3a803b553fde6e5dd6.jpg
863204e280ff38fb90e13a95b7543069.jpg
 
DOGofGOD

Dah, ndugu yangu!
Katika hii dunia elewa kabisa kuna 'free will'; kila binadamu anayo haki ya kuchagua maisha yake atakavyo maana atawajibika kwa Mungu pekee, sio mwanadamu!

Kuna kitu nimegundua kuhusu wewe; 'ndani yako huamini kufanikiwa'. Ndio sababu unashangazwa sana na mafanikio ya kawaida sana ya Platnumz.

Anyway, uko sawa kwasababu 'Uonavyo nafsini mwako ndivyo ulivyo'.... Mithali 23:7.

Jumapili njema!
 
Last edited by a moderator:
Kwani wewe khasa mafanikio yao au hasara zao wewe zinakukera nini? unajua kuna mshirikina sio mpaka wende ukaroge
kuwaonea wenzio kijicho mafanikio yao pia ni ushirikini,sasa wewe nawe pia mshirikini,kwanza ulijuaje kama na wewe humonao,au zamu yako bado na umechoka kusubiri ndio mana unaanza kusema wenzio?[/QUOTE

wajinga wengi wanafikiri kufanikiwa siyo kitu cha kawaida ila ni uchawi.ukifanya biashara ukafanikiwa ni uchawi na ni balaa ikatokea mzazi au member wa familia akafariki.wengine ukichaguliwa mbunge,cheo kikipanda nk,ukajenga nyumba ya kifahari gari nk ni uchawi.akili mgando sana.na cha ajabu sana wengine wanaosema ni wasomi sana.
 
Naomba niwekee picha yake ya kafara ili nijiridhishe na ushahidi maana naona unaandika barua ndefu bila attachment, halafu wewe ni mbwa wa mungu eeh⁉mungu hana mbwa nina mashaka na imani yako pia usikute huwa mnapishana na diamond huko kwa waganga nigeria ndio maana mnajuana

Mimi Namuamini Mungu Ndomana Nakemea Vitendo Vichafu Vya Ushirikina.Na Mambo Ya Kutegemea Pete Za Bahati Ili Kupata Mafanikio Ni Shirki Kubwa Sn.

Mimi Ni Mbwa Wa Mungu.Kwa Uwezo Nilipopewa Na Mungu Naweza Kuwagundua Wachawi Kwa Kunusa Tu.
 
Mimi Namuamini Mungu Ndomana Nakemea Vitendo Vichafu Vya Ushirikina.Na Mambo Ya Kutegemea Pete Za Bahati Ili Kupata Mafanikio Ni Shirki Kubwa Sn.

Mimi Ni Mbwa Wa Mungu.Kwa Uwezo Nilipopewa Na Mungu Naweza Kuwagundua Wachawi Kwa Kunusa Tu.

Hahahaha poa naona umenusa ukagundua diamond mchawi... Me bwana sipendi kujudge watu bila ushahidi kama we umenusa umeona hivyo na una uhakika 100perc basi sawa
 
et rich mavoko na belle 9 wanazidiwa na daimond kuimba ben pol ???#satanic music
 
Nilikua Nakuona Una Akili Sana.Kumbe Na Wewe Kichwani Zero Kama Mamburula Wengine Humu Jf.Yuko Wapi Mr.Nice Na Ushirikiana Wake.?

Hivi Kweli Binadamu Mwenye Akili Timamu Anaweza Kupenda Nyimbo "Kuku Kapanda Baiskeli".Kama Sio Nguvu Ya Ndumba.? Husiwe Na Mawazo Mgando Funguka.
Nyooooooo mwambie na huyo unaemshabikia nae aloge sasa
 
Hahahaha poa naona umenusa ukagundua diamond mchawi... Me bwana sipendi kujudge watu bila ushahidi kama we umenusa umeona hivyo na una uhakika 100perc basi sawa

Ukitaka Kuamini Mwambie Avue Ili Peke Yake Ya Mkono Wake Wa Kushoto.Anayodai Ni Ya Uchumba Wa Mshirikina Mwenzie Zari.Halafu Uone Kazi
 
Ukitaka Kuamini Mwambie Avue Ili Peke Yake Ya Mkono Wake Wa Kushoto.Anayodai Ni Ya Uchumba Wa Mshirikina Mwenzie Zari.Halafu Uone Kazi
hahaa hawawezi kuku elewa ila babu tale kathibitisha cloudz
miwani na kuvua nguo kubaki wazi jukwaani angalia shoo zake nyingi anafanya hivyo
 
Nilichogundua ni kwamba kamwe Watanzania hatutaendelea. Watu wamekuwa wakiamini mambo yasiyoaminika. Hivi kweli mtu Hawezi kuwa na maendeleo hadi iwe uchawi!!! Inashangaza sana. Tumsapoti Diamond iwe anatumia au hatumii uchawi muhimu anailetea nchi yetu sifa.
 
Nyooooooo mwambie na huyo unaemshabikia nae aloge sasa

Hapa Hatuzungumzi Ushabiki Tunazungumza Facts.Anaetumia Uwezo Wa Talent Na Anaetumia Uwezo Wa Ndumba Mwisho Wa Siku Atajulikana Tu Nani Mwenye Uwezo Na Nani Zaid Na Nani Anastahil Kuitwa King.
 
hahaa hawawezi kuku elewa ila babu tale kathibitisha cloudz
miwani na kuvua nguo kubaki wazi jukwaani angalia shoo zake nyingi anafanya hivyo

Ndomana Napenda Kuwaita Hawa Binadamu Mamburulaz.Watakua Kawaloga Mpaka Wao.Manake Hawaelewi Hawasikii Na Wala Hawaoni.Inasikitisha Sana Kwa Kweli!
 
Fanya yako ndugu kila mtu ataubeba msalaba wake so tembea mbele kivyako acha ya watu
 
Fanya yako kaka after all kila mtu atabeba msalaba wake we tembea mbele kivyako ya watu waachie wenyew watajuana nayo
 
Nilichogundua ni kwamba kamwe Watanzania hatutaendelea. Watu wamekuwa wakiamini mambo yasiyoaminika. Hivi kweli mtu Hawezi kuwa na maendeleo hadi iwe uchawi!!! Inashangaza sana. Tumsapoti Diamond iwe anatumia au hatumii uchawi muhimu anailetea nchi yetu sifa.
yani katika vitu ambavyo ni maajabu ni tz kuendelea ila mimi sitaki tz iyendelee maana nchi kama USA iliyoendelea tunawazidi akili wale yani binadamu wa jinsia moja kuowana nchi zilizoendelea ni kawaida sana sasa kuna faida gani kuendelea ili tuowane
note : hata nchi zilizo endelea kuna masikini, vilaza so kufanikiwa ni juhudi za mtu binafsi tu sio nchi
 
Back
Top Bottom