Uchawi waiponza Simba

Uchawi waiponza Simba

Vitaulo vijini fc....
Watu wa uto wamezidi uchawi jamani...
Inawezekana tunawezi kweli ila nyie mnaoroga mchana kweupeeeee mpaka pale😀😀😀

Sauzi mkaroga na kuchoma moto
 
Makolo wamezoea ulozi, kama waliweza kufanya uchawi wakiwa nchi ya watu (SA) basi hawawezi kushindwa wakiwa Tabora.
 
Back
Top Bottom