Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Aaah, wanasema shilole anamlea jamaa, ana hela gani ya kumuhonga mwanaume?ye mwenyewe anadanga

Ile ni ndoa haina uhusiano na swala la kuleana kabisa, wangekuwa hawajafunga ndoa ningekubali kuwa jamaa analelewa! Ni mumewe
 
Mwanamke pekee ambaye huwezi mpiga ni mchumba na damu maana ni rahisi kumwacha..ila mke lazima achezee kipondo ili kumwwka sawa..huwwzi niletea dharau nikakuchekea
 
Malaya analala siku 2 nje afu umchekee kwanza mbona hajatoa kipigo heavy ilitakiwa akapate fahamu yupo mediko muhimbiliiii
 
Ewaaa akajisahau kua vijana wakuzama mgodini nakuchimbua chimbua Wamejaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Amepata alichokua anataka...ngoja aje mtaani aolewe na vidume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaaah lol
 
Nawahurumia wanawake na mabinti ambao wanamuona Shilole kama role model wao.
 
Piga tu baba.... wewe ulikubaliana na mtu kuvaa nguo but unavaa. Ukiwa in a society tayari upo katika makubaliano ya kijamii whether upo informed or not.
 

Kweli wanaume tumebaki wachache, huyo sio mwanamke wa kuoa , huyo unakula mambo unasepa kwa mkeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…