funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Kiki ya uchaguzi ileNaam Vyombo vya sheria vimemchunia kama vile havijaona zile picha
Shilole alikosea kama kweli alikuwa anahitaji msaada angekwenda katika vyombo vya sheria 'kuliko kukimbilia IG kwani kule ndio vyombo husika vilipo !?