Kiki ya uchaguzi ileNaam Vyombo vya sheria vimemchunia kama vile havijaona zile picha
Shilole alikosea kama kweli alikuwa anahitaji msaada angekwenda katika vyombo vya sheria 'kuliko kukimbilia IG kwani kule ndio vyombo husika vilipo !?
Usiamini maneno ya mtu anayetaka kupindisha ukweli. Uchebe kasema mkewe alikuwa anaondoka hata siku mbili bila kurudi nyumbani Je na hilo utasemaje.Mh hili la kuamshwa kitandani na migumi nalo ni Jambo.
Sio sehem yenye maadili, sema sehemu yenye kuruhusu upuuzi, yani mwanamke akandamizwe apigwe ndio iwe maadili.Ushasema ulaya mkuu huko kwenye vichaa wanaoruhusu hata wanaume kwa wanaume waoaneππ Hapa tupo Tanzania sehemu yenye maadili sio kwa vichaa hao
Kutatuua sisi au nyie wasanii wa kikeπ .Maana shape ya sura zenu zitazidi kubadilikaπKwanini ung'ang'anie kuwa na star wakati unajua you can't handle the pleasure πππ
Kupenda vitonga kutawauwa
Umeambiwa unapotyoa talaka katika uislam ni kwamba mpaka mbingu zinatikisika. Uchebe hakutaka kutikisa mbingu na alikuwa na mapenzi ya kweli kwa mkewe aliamini atabadilikaKama unajua mwanamke akikuzid kipato sijui na umaarufu atakuwa ni changamoto kwako, kwanini usioe unaefanana nae yani wa level yako, uchebe alikuwa na mama watoto wake ambaye ni level yake akamwacha akakimbilia kwa shilole kafata mseleleko (kitonga) . Na hata kama aliona kamshindwa si angempa talaka tu aendelee na maisha yake lakini sio kumpiga hadi amjeruhi vile mwenzie.
Sasa mke analala nje siku mbili na akirudi asiulizwe, hapo kuna ndoa kweli.Usiamini maneno ya mtu anayetaka kupindisha ukweli. Uchebe kasema mkewe alikuwa anaondoka hata siku mbili bila kurudi nyumbani Je na hilo utasemaje.
Anasema alikuwa anapigwa kwa makosa ambayo wangeweza kuzungumza. Mtu unalala nje siku mbili je linazungumzika hilo? Hapo nime-assume kila wanalosema ni kweli ingawa najua sio kweli
Kwa taarifa yako katika matukio ya kuuana kati ya mke na mume takwimu zinasema ngoma droo yaani 50/50. Au umesahau ya KanumbaSio sehem yenye maadili, sema sehemu yenye kuruhusu upuuzi, yani mwanamke akandamizwe apigwe ndio iwe maadili.
Wanaume wangapi wanafanya vituko na vitu vya ajabu kwa wake zao nani anawapiga.
NB: kimaumbile mwanamke ni kiumbe dhaifu,wew huwezi ukawa mwanaume unasimamisha mishipa kumpiga mwanamke, lazima utakuwa mpumbavu.
πππila nadhani sheria itafata mkondo wake, acha kupenda kupewa mwanaume.Kutatuua sisi au nyie wasanii wa kikeπ .Maana shape ya sura zenu zitazidi kubadilikaπ
Unauliza au unatetea mwanamke mwenzio?Sasa mke analala nje siku mbili na akirudi asiulizwe, hapo kuna ndoa kweli.
Nyie maudhi yenu nani anawapiga? Mmekazana wanawake wana maudhi as if nyie ni malaika[emoji134][emoji134]
Ni kukosa akili tu.
Mapenzi hayachagui aina ya mtu. Kama ni hivyo kwa nn Shishi aliolewa na mtu sio hadhi yake? Halafu hadhi ya Shishi ni mtu wa aina gani? Kila mtu anayempenda ndio hadhi yake. Kama alikubali kuvulia chupi ina maana wote wameridhika na hadhi walizonazo ndio maana wameenda mbele ya Shekhe kuunganishwa kuwa mwili mmojaKwanini ung'ang'anie kuwa na star wakati unajua you can't handle the pleasure πππ
Kupenda vitonga kutawauwa
Mpk Nuhu akatunga wimbo wa Jike Shupa. Sasa leo Jike Shupa kakutana na Kidume Shupavu povu linawatoka wanawake utadhani wamepigwa nchi nzimaWanawake bhna wepesi sana kusahau kipindi kile SHILOLE anampiga NUHMZIWANDA wanaume tulionekana mabwege kweli walkua ata hawaoni wanatuonea ila leo UCHEBENDE kaludisha heshima yetu et ooh wanaume wanyanyasaji KARIBU TANZANIA
Mimi nampongeza hadharani, amefanya kazi iliyotukuka ku restore order kwenye familia yake.Mabaharia wengi sana wanampongeza Uchebe kwa alichokifanya ingawa wanampongeza kimoyomoyo ingawa ukimuuliza anaonyesha kumsikitia Shilole kinafiki
Mademu hawa wanaodanga ni kichefu chefu sana kwenye ndoa na unakuta mwanaume anaumizwa sana kisaikolojia na kulipiza hawezi kutokana na maadili na tabia alizolelewa na kutoa hasira anaamua kutoa kichapo kupunguza uchungu.
Wanawake wana maudhi sana haswa wakimzidi mwanaume umaarufu na kipato.
Ndio maana mpaka leo hakuna Jamhuri, Wanaharakati au Polisi aliyejitokeza kufungua mashitaka dhidi ya Uchebe. Wote wanaona sawa tu alichotendewa kutokana na tabia zake.
Na nina uhakika walipigana wala sio kuwa alipigwa ila kutokana na Shishi kupiga picha tena kimkakati ili aje ku-create attention kipindi hiki cha kura za maoni ndio anaonekana kaonewa.
πππika nadhani sheria itafata mkondo wake, acha kupenda kupewa mwanaume.
Ujinga wake tu ,uchebe ni muislam sasa? Hivi anaujua uislam yule, aache kuchezea dini mjinga yule.Umeambiwa unapotyoa talaka katika uislam ni kwamba mpaka mbingu zinatikisika. Uchebe hakutaka kutikisa mbingu na alikuwa na mapenzi ya kweli kwa mkewe aliamini atabadilika
Kila jamii na tamaduni na taratibu zake. Tuwe tunaelewa hilo.Uchebe angekua Ulaya au Marekani angekua na wakati mgumu sana
Tuko pamoja mkuu. Nadhani hata jeshi la polisi limebariki pamoja na mamlaka nyingine ndio maana wamekaa kimya wanapiga makofi ya pongezi moyoni na Uchebe anaendelea tu na kazi zake za kujenga TaifaMimi nampongeza hadharani, amefanya kazi iliyotukuka ku restore order kwenye familia yake.
Kumbe hata nyie wanawake mnajua kama Shishi ni GUBEGUBE liloloshindikana?Ujinga wake tu ,uchebe ni muislam sasa? Hivi anaujua uislam yule, aache kuchezea dini mjinga yule.
Mwanaume kabisa muislam mwenye dini anaweza kuoa mwanamke mwenye tatuu mwili mzima, anaetembea maungo yapo wazi tena akifatana nae kamshika na mkono kabisa huku akifurahi.
Hakika uchebe ni mpumbavu, kama atakuwa anajiita muislam na eti aliogopa kutoa talaka, mbona mengine hakuyaogopa na dini yake imeyaelekeza pia.
Kama mnayajua haya. Basi na mtulie msilete story kwamba mwanamke akikuzid kipato na ustaa siijui nini.Mapenzi hayachagui aina ya mtu. Kama ni hivyo kwa nn Shishi aliolewa na mtu sio hadhi yake? Halafu hadhi ya Shishi ni mtu wa aina gani? Kila mtu anayempenda ndio hadhi yake. Kama alikubali kuvulia chupi ina maana wote wameridhika na hadhi walizonazo ndio maana wameenda mbele ya Shekhe kuunganishwa kuwa mwili mmoja