Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Halali siku mbili????? Hiv kumbe haya maisha yapo?? Na mwanaume hapi unakuwa hulali siku ngapi vile labdaa...lazima maisha yao yanafanana......sio hiv hv....Hongeren kama mna amani ndan
 
Dah! Masikini Uchebe kw upumbavu wa Malaya mmoja tu now unaonekana we ndo shetani.... Kweli nimeamini anaeanza haonekani ila tatzo ni kwa anaemaliza! Sema nn tatzo kitonga
 
Uchebe alinchosha nliposikia eti "Kamvizia" shilole akiwa kalala ndo kampa mijebu
 
Nilijua huu ni uongo shilole kaona majukumu ni mengi kulea watoto na mtu mzima akaamua kutengeneza kitu ili waachane.
Wanaume fanyeni kazi acheni kulelewa na sisi
 
Umeona Mkuu na si ajabu kila akilifikiria akili inampa ushawishi wa kulipiza.

Hakika nadhani kama wanaeza wayazungumze na suluhu ipatikanage.
Unaona ni kitu kigumu kupigwa na chepesi kuachwa. Mumeo si anakupenda sana madam. Hebu jaribu kufanya alichofanya shilole kwa mumeo japo kwa weekend hii tu kisha uje ulete mrejesho. Ondoka mapema Ijumaa kisha piga kimya cha ghafla usipokee simu wala kujibu text kisha urudi J'pili jioni halafu ulete mrejesho.
 
Siezi fanya hivyo aisee.

Pia niseme msihalalishe kosa 100% huenda ni katika kujitetea tu kwa huyo mwanaume.
Sasa si mnaona ni sawa alichofanya shilole kwamba kaonewa. Halafu adhabu ya kupigwa huwa sio ngeni na inaanzaga toka utotoni! Kama ulikuwa mtukutu lazima baba au mama yako atakuwa alishawahi kukupiga huko nyuma. Mbona hamkusimama kusema Baba ananichapa!

Ila kuchapwa na mume inakuwa nongwa na umekabidhiwa kwa mume na wazazi. Lazma utii maagizo yake ili muende nae sawa otherwise upigwe tu maana hamna namna ingine.
 
Ndio ilivyo, yani kwamba wao hata wakikosea tuchukulie easy maana ndio wanawake.
 
Kwani si uachane nae
Nyie wanawake mnachukulia easy kuachana eh. Sidhani kama unaujua ugumu mnaopataga kuachana na jamaa mwenye hela nyingi na mhongaji mzuri japo hakuridhishi kimwili?

Ule ugumu ndio sawa na ugumu wa kumuacha mke umpendaye.
 
Wewe unataka magazeti yawe na habari kuu ya kauawa kisa wivu wa mapenzi [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Wewe unataka magazeti yawe na habari kuu ya kauawa kisa wivu wa mapenzi [emoji2][emoji2][emoji2]
Maana anahisi uchebe ana wazimu, hebu amfanyie mumewe huo utopolo aone mziki wake. Uchebe anaweza akaja kuandika notes!!!
 
Nyie wanawake mnachukulia easy kuachana eh. Sidhani kama unaujua ugumu mnaopataga kuachana na jamaa mwenye hela nyingi na mhongaji mzuri japo hakuridhishi kimwili?

Ule ugumu ndio sawa na ugumu wa kumuacha mke umpendaye.

kuachana na mwanaume mwenye hela halaf sio bahili kazi ngumu aisee uende kwingine ukatesekee
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lakin ni kheri utafute zako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…