Kuniparamia huko vipi tena?Acha kushadaida ujinga wewe.
JANAMKE lenye domo domo lazima likung'utwe. Tena lidundwe kweli kweli!
Bila hivo wanawake wote tutakua na mamidomo kama Wangari Maathai au Khantwe.
Ni mke wake anampenda bossSasa mtu halali siku mbili why unaishi nae?
Si Bora muachane bila ugomvi?
Aiseeee kweli ni hatari ,siku mbili halali ndani?Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.
Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.
Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikua wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Hahahhhahhahha wakurya bhanaUmesababisha niku quote kwa comment yako hii, wanawake wengi wanashindwa kutofautisha ndoa na maisha ya usupasta, sasa mtu unalala nje siku mbili bila kutaka kuulizwa unategemea nini!! Kwanza uchebe nae mjinga sana hicho siyo kipigo ni kakofi tu angempa kipigo ninachojua Mimi sidhani angepata nafasi ya kuja kupost kakofi ka mwaka Jana insta.
Vijana wa siku hizi bure kabisaa. MariooSasa mtu halali siku mbili why unaishi nae?
Si Bora muachane bila ugomvi?
Huyo Uchebe nae hajui kupiga.Duuh!! Hivyo ni kweli aliwahi mchakaza vile. lol.
Wanaume punguzeni vipigo aisee na pia yawapasa mjue kipigo si suluhisho la kutatua tatizo cha zaidi linaeza kuwa ndio mchochezi wa kuongeza matatizo na hata mifarakano isiyokwisha.
Na hicho ndo kwa upande wangu naona kimetokea kwa Shilole.
Umesababisha niku quote kwa comment yako hii, wanawake wengi wanashindwa kutofautisha ndoa na maisha ya usupasta, sasa mtu unalala nje siku mbili bila kutaka kuulizwa unategemea nini!! Kwanza uchebe nae mjinga sana hicho siyo kipigo ni kakofi tu angempa kipigo ninachojua Mimi sidhani angepata nafasi ya kuja kupost kakofi ka mwaka Jana insta.
Nikuvalishe?? Nikulishe.??nikukaze??? Nikutunze nakukupa huduma kama mtoto??? Unafanya lolote kwa Pesa yangu, watoto wale kwa Jasho langu namengineyo mengi......Tutaamini vipi? Mwenzie Shilole ana ushahidi na yeye mwenyewe Uchebe kakiri kumpiga. Bado niko palepale hakuna kosa linalohalalisha kipigo cha namna hiyo....kwanza mpaka mtu anafikia hatua ya kulala nje ni wazi hakuna ndoa hapo
Wanaume bana. πHuyo Uchebe nae hajui kupiga.
Unapigaje mtu anakuwa na nguvu za kutamba kwenye media.
Alitakiwa apigwe alale ndani mwezi mzima.
Mie Alhamdulillah niko salama.Shadeeya nakusalimu !
Pamoja na shida nyingi za wanawake lakini hatupaswi kuwapiga
Ameshanogewa na kulelewa huyoSasa mtu halali siku mbili why unaishi nae?
Si Bora muachane bila ugomvi?
Hiyo ndio Dawa ya dharau.Wanaume bana.
Ni bora kuachana kama mnaona mapenzi hayapo tena, ila kupigana big noSemea kwamba ni wazi hakukua nandoa plus kulelewa .Nikuvalishe?? Nikulishe.??nikukaze??? Nikutunze nakukupa huduma kama mtoto??? Unafanya lolote kwa Pesa yangu, watoto wale kwa Jasho langu namengineyo mengi......
Alafu ulale nje ?? Unisaliti??? Hahahhaah Ukijua unalala, hamia hukohuko , Ukinisaliti hata km sijajua anza kua na mpango B , kwasababu hata kama ni baada ya mwaka ,miaka, Siku nikijua UTAONDOKA TU.. hamna namna.
Na nyie mpunguze kupuyanga mwanamke siku 2 haupo ndani!!..Duuh!! Hivyo ni kweli aliwahi mchakaza vile. lol.
Wanaume punguzeni vipigo aisee na pia yawapasa mjue kipigo si suluhisho la kutatua tatizo cha zaidi linaeza kuwa ndio mchochezi wa kuongeza matatizo na hata mifarakano isiyokwisha.
Na hicho ndo kwa upande wangu naona kimetokea kwa Shilole.
Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.
Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.
Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikua wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Yeaahh ilo ndo suluhisho kamili..hisia zinapokufaa huwa hamna haja ya kutumia tena nguvu maana bila ivo mnafikishana pabaya.Ni bora kuachana kama mnaona mapenzi hayapo tena, ila kupigana big no
Hivyo kwa upande wako kipigo ndo suluhisho cha matatizo? lol
Wacheni kunyanyasa wanawake nyiee.
Akikukosea kama huna njia nyingine ya kupata suluhu ni bora umuache aende na si kipigo.
Ukishaona mwanamke anayafanya yote hayo ujue ndoa ishamshinda.Na nyie mpunguze kupuyanga mwanamke siku 2 haupo ndani!!..
Mkono wa bwana lazima utamalaki kwenye mwili wako..π