Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.

Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.

Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.

Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikua wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Aiseeee kweli ni hatari ,siku mbili halali ndani?
 
Umesababisha niku quote kwa comment yako hii, wanawake wengi wanashindwa kutofautisha ndoa na maisha ya usupasta, sasa mtu unalala nje siku mbili bila kutaka kuulizwa unategemea nini!! Kwanza uchebe nae mjinga sana hicho siyo kipigo ni kakofi tu angempa kipigo ninachojua Mimi sidhani angepata nafasi ya kuja kupost kakofi ka mwaka Jana insta.
Hahahhhahhahha wakurya bhana
 
Duuh!! Hivyo ni kweli aliwahi mchakaza vile. lol.

Wanaume punguzeni vipigo aisee na pia yawapasa mjue kipigo si suluhisho la kutatua tatizo cha zaidi linaeza kuwa ndio mchochezi wa kuongeza matatizo na hata mifarakano isiyokwisha.

Na hicho ndo kwa upande wangu naona kimetokea kwa Shilole.
Huyo Uchebe nae hajui kupiga.

Unapigaje mtu anakuwa na nguvu za kutamba kwenye media.

Alitakiwa apigwe alale ndani mwezi mzima.
 
Umesababisha niku quote kwa comment yako hii, wanawake wengi wanashindwa kutofautisha ndoa na maisha ya usupasta, sasa mtu unalala nje siku mbili bila kutaka kuulizwa unategemea nini!! Kwanza uchebe nae mjinga sana hicho siyo kipigo ni kakofi tu angempa kipigo ninachojua Mimi sidhani angepata nafasi ya kuja kupost kakofi ka mwaka Jana insta.

Hivyo kwa upande wako kipigo ndo suluhisho cha matatizo? lol

Wacheni kunyanyasa wanawake nyiee.

Akikukosea kama huna njia nyingine ya kupata suluhu ni bora umuache aende na si kipigo.
 
Semea kwamba ni wazi hakukua nandoa plus kulelewa .
Tutaamini vipi? Mwenzie Shilole ana ushahidi na yeye mwenyewe Uchebe kakiri kumpiga. Bado niko palepale hakuna kosa linalohalalisha kipigo cha namna hiyo....kwanza mpaka mtu anafikia hatua ya kulala nje ni wazi hakuna ndoa hapo
Nikuvalishe?? Nikulishe.??nikukaze??? Nikutunze nakukupa huduma kama mtoto??? Unafanya lolote kwa Pesa yangu, watoto wale kwa Jasho langu namengineyo mengi......

Alafu ulale nje ?? Unisaliti??? Hahahhaah Ukijua unalala, hamia hukohuko , Ukinisaliti hata km sijajua anza kua na mpango B , kwasababu hata kama ni baada ya mwaka ,miaka, Siku nikijua UTAONDOKA TU.. hamna namna.
 
Huyo Uchebe nae hajui kupiga.

Unapigaje mtu anakuwa na nguvu za kutamba kwenye media.

Alitakiwa apigwe alale ndani mwezi mzima.
Wanaume bana. 😔

Hivyo na wewe huwa unatoa kipigo kwa mkeo?
 
Shadeeya nakusalimu !

Pamoja na shida nyingi za wanawake lakini hatupaswi kuwapiga
Mie Alhamdulillah niko salama.

Yah!! Nadhani zipo njia nyingi za kutatua matatizo na suluhu ikapatikana na si kipigo.

Wanasemaga mtupige na upande wa khanga eti. 😂😂
 
Semea kwamba ni wazi hakukua nandoa plus kulelewa .Nikuvalishe?? Nikulishe.??nikukaze??? Nikutunze nakukupa huduma kama mtoto??? Unafanya lolote kwa Pesa yangu, watoto wale kwa Jasho langu namengineyo mengi......

Alafu ulale nje ?? Unisaliti??? Hahahhaah Ukijua unalala, hamia hukohuko , Ukinisaliti hata km sijajua anza kua na mpango B , kwasababu hata kama ni baada ya mwaka ,miaka, Siku nikijua UTAONDOKA TU.. hamna namna.
Ni bora kuachana kama mnaona mapenzi hayapo tena, ila kupigana big no
 
Duuh!! Hivyo ni kweli aliwahi mchakaza vile. lol.

Wanaume punguzeni vipigo aisee na pia yawapasa mjue kipigo si suluhisho la kutatua tatizo cha zaidi linaeza kuwa ndio mchochezi wa kuongeza matatizo na hata mifarakano isiyokwisha.

Na hicho ndo kwa upande wangu naona kimetokea kwa Shilole.
Na nyie mpunguze kupuyanga mwanamke siku 2 haupo ndani!!..
Mkono wa bwana lazima utamalaki kwenye mwili wako..😜
 
Mimi ni mvumilivu,lakini hawa wasanii kama sio kiki basi wapumbavu tu. Mkeo alale nje bila sababu ni wapi amelala,halafu mwanaume bado tu umo. Na nyie wanawake ukimchoka mwanaume mwambie ukweli tafuta njia nzuri ya kuachana kwa amani. Namna hiyo utalalamika unapochomwa na gunia mbili za mkaa kweli?
 
Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.

Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.

Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.

Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikua wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.

Hahahahaha kwa hiyo ulimpiga mwaka jana sio mwaka huu hahahaha

Wewe uchebe acha ujinga wewe Shilole hujampiga labda kapigwa na mtu mwingine! Kuonesha picha amepigwa sio ushahidi kuwa wewe ni ndio ummpiga!


Acha ujinga hata mwaka jana sio wewe uliempiga mwache ahangaike hana ushahidi...ungekuwa umempiga angeshitaki mwaka jana....
 
Na nyie mpunguze kupuyanga mwanamke siku 2 haupo ndani!!..
Mkono wa bwana lazima utamalaki kwenye mwili wako..😜
Ukishaona mwanamke anayafanya yote hayo ujue ndoa ishamshinda.

Kumuacha kwa kheri kuna gharama gani?
 
Back
Top Bottom