pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Ni kweli Mkuu lakini hiyo yote inaendana na vipigo kutokuwepo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio hapo sasaYani uchebe hapo ndo kaonekana kilaza...sasa kumpiga mtu mwaka jana ndio kunamsafisha?
Na hao wanaweza wasiachane sasa!.. mapenzi kiboko weye!..Hahahaaa. lol.
Nadhani walikutana watu wa aina moja hapo hakukuwa na wa kumwongoza mwenzie.
Nadhani utakuwa mgeni wa ndoa. Siku ukibahatika kuolewa,usilale siku mbili kwa mume wako kisha akikuuliza umelala wapi? ulikuwa wapi?, mpe majibu yasiyo eleweka ndio utajua kwanini shilole alipigwa makofi.Hivyo kwa upande wako kipigo ndo suluhisho cha matatizo? lol
Wacheni kunyanyasa wanawake nyiee.
Akikukosea kama huna njia nyingine ya kupata suluhu ni bora umuache aende na si kipigo.
Hahahaa. Kabisaa.Na hao wanaweza wasiachane sasa!.. mapenzi kiboko weye!..
Yani mtu hajalala ndani siku 2! Hata mi imeniuma sahivi ninahasira Hadi nataka kumeza simu..π
Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Hahahahaa. Sawa Jaji wa Jf.Nadhani utakuwa mgeni wa ndoa. Siku ukibahatika kuolewa,usilale siku mbili kwa mume wako kisha akikuuliza umelala wapi? ulikuwa wapi?, mpe ya majibu yasiyo eleweka ndio utajua kwanini shilole alipigwa makofi.
Uchebe sio Marioo. Uchebe anamiliki gereji na hata Shilole alikutana na Uchebe akiwa kama fundi wake wa gari. Namjua Uchebe amewahi kuwa fundi wangu kipindi fulani na sio mtu mwenye dhiki kama mnavyosema hapa. Ni kwamba tu Shilole anajulikana zaidi yake.Amuache akalelewe na nani?
Umario tabu sana mkuu.
Mfadhili haachwiSasa mtu halali siku mbili why unaishi nae? Si Bora muachane bila ugomvi?
Jaribu nawe usilale ndani siku mbili bila taarifa halafu utaleta mrejesho jinsi ulivyokusanya nzengo ije iamue!Hahahaa. Kabisaa.
Mana akili ya yule mdada anaijuaga mwenyewe si ajabu akasema zile zilikuwa hasira tu. π
Vijana tuhache umarioo, tutafute mwanamke wa umri wetu ili tutafute wote na tuzeeke pa1, pia vijana tufanye kazi kwa bidii kuwa na kipato cha kuendesha maishaUchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.
Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.
Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikua wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Siezi fanya hivyo aisee.Jaribu nawe usilale ndani siku mbili bila taarifa halafu utaleta mrejesho jinsi ulivyokusanya nzengo ije iamue!
Labda jamaa awe anaasili ya malaika ila hata kama lzm akutembezee upako wa bwana.. Tena wapo wataalum wa vipigo ye hakupigi ngumi wala makofi ila wakati unapigana nae utaona Kama anapiga ngumi na makofi ila kajitazame vizuri mwili mzima una alama za kung'atwa..ππ
Kwa hiyo mwaka jana ndio alimchakaza hivyo [emoji15][emoji15]Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.
Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.
Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikua wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Shadeeya hivi unajua kuwa nakupenda sana. Hope uko poaDuuh! Hivyo ni kweli aliwahi mchakaza vile lol.
Wanaume punguzeni vipigo aisee na pia yawapasa mjue kipigo si suluhisho la kutatua tatizo cha zaidi linaeza kuwa ndio mchochezi wa kuongeza matatizo na hata mifarakano isiyokwisha.
Na hicho ndo kwa upande wangu naona kimetokea kwa Shilole.
Wote wangekuwa waelewa kama wewe ndoa nyingi zisingevunjikaUchebe kazi anayo sababu as a society tulishakubaliana mwanamke ni kiumbe wa thamani na hapigwi haijalishi ni kiasi gani kakosea. Ajiandae kisaikolojia tu hana haki tena hata ajitetee vipi jamii ilishaamua kua huwa viumbe hawapigwi.
Hii ndio one disadvantage of being a man kwenye ndoa, ukieleza matatizo ya mkeo unamdhalisha, ukimpiga kesi, suluhisho ni kutoa talaka tu.
Jamaa mjinga sana.Kwa hiyo mwaka jana ndio alimchakaza hivyo [emoji15][emoji15]
Kumiliki biashara haimaanishi mtu sio Mario.Uchebe sio Marioo. Uchebe anamiliki gereji na hata Shilole alikutana na Uchebe akiwa kama fundi wake wa gari. Namjua Uchebe amewahi kuwa fundi wangu kipindi fulani na sio mtu mwenye dhiki kama mnavyosema hapa. Ni kwamba tu Shilole anajulikana zaidi yake.
Haya mambo ya ndani ya nyumba ni magumu sana na mapenzi ni suala la kisaikolojia. Maumivu ya kiakili au kisaikolojia ni makali sana yanazidi hata kipigo na ndio maana watu wanapata msongo wa mawazo na kuumwa sonona mpk kufikia kufa au kujiua.
Bahati mbaya sheria haina meno kwenye maumivu ya kisaikolojia sawa na maumivu ya kipigo. Chukulia kitendo cha Shilole kulala nje siku mbili kama mume unapata maumivu kiasi gani? Sasa ukikuta mtu aliyeumizwa kisaikolojia na hana uwezo wa kurudishia maumivu yale ya kisaikolojia kwa mwenza wake basi utoa hasira kwa kumpiga (ingawa ni jambo baya).
Kuna wimbo wa Banana Zorro alisema "Maumivu ya mapenzi ni zaidi ya msiba". Mapenzi yanaumiza sana na bora ukose hela unaweza kuvumilia lakini sio maumivu ya mapenzi.