pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Hakuna mtu anatoka tu huko na kuanza kukupiga tu without nothing lazima kuna reason jambo kubwa ni kila mtu a play part yake kuepuka ugonvi kwenye mahusiano.
Ni kweli Mkuu lakini hiyo yote inaendana na vipigo kutokuwepo.