Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Kutafuta Brand ni mchakato endelevu.
Kuna wengine walijiteka mwishoni wakatengeneza Brand zao.
Vita binafsi ugeuzwa bidhaa na alama za masoko.
 
Duuh!! Hivyo ni kweli aliwahi mchakaza vile. lol.

Wanaume punguzeni vipigo aisee na pia yawapasa mjue kipigo si suluhisho la kutatua tatizo cha zaidi linaeza kuwa ndio mchochezi wa kuongeza matatizo na hata mifarakano isiyokwisha.

Na hicho ndo kwa upande wangu naona kimetokea kwa Shilole.

Hahaaa ni kweli mkuu jeraha hata km lingekua la miaka 50 iliyopita bado ni evidence ya alichopitia shilole daah tuwaombee tu wapate suluhu
 
Shilole kasema 'Picha ni za matukio tofauti' so hata kama ni za mwaka jana hii inaingia kwenye hoja yake ya '... ni za matukio tofauti'

Hii ndoa ilikua imeisha siku ambayo mwanamke aliamua kujipiga picha kila alipopigwa. Kingine, wanawake mbona kuna dalili za mwanzo tu za mtu yukoje? Maana nakumbuka kabla ya ndoa waliwahi ripotiwa kupigana pia. So kuna tabia ni endelevu, tujifunze.
 
Kuna mwanamke anakushawishi umpige, usipompiga anakupiga yeye haya yalitokea hata kwa uchebe na shilole
Mmh!! Nadhani kwa hili ipo haja ya watu kabla ya kuanzisha mahusiano wawe na macho ya kuona mbali kwani hiyo si aina ya mahusiano ambayo yatakuwa yenye kudumu na kuwa maelewano mazuri kama vipigo vitachukua nafasi.

Lazima mwisho wa siku mmoja vipigo vitamchosha tu na kuanza kuwa nunda. Yaani liwalo na liwe.
 
Dawa yao ukimkuta tu, Mambo ni yale
Screenshot_20200709-075110.jpg
 
Ukishaona mwanamke anayafanya yote hayo ujue ndoa ishamshinda.

Kumuacha kwa kheri kuna gharama gani?
Dada unajua utamu wa mapenzi wewe..??
Unajua huwa mnatuwekea kolezo limbwata..😅
Sisi wanaume mbele ya mwanamke huwa ni watawala.. kwani huyo dada aliingia kwenye ndoa huku hajui misingi ya ndoa..?
Kwanza ilitakiwa mumchambe maana anawaaibisha!.

Kuacha sio kwepesi hivyo tu!… Watu huacha na baada hata ya miaka 5 hurudiana! Love inanguvu wacha kabisa!.. maswala ya kupotezeana muda ni ukenge mi niingie kwenye ndoa then kimtu kinarukaruka lzm nikituze kabla ya kukiacha..😜😉
 
Ukiheshimu ndoa yako mbona maisha ya ndoa ni raha sana.
Mmh!! Nadhani kwa hili ipo haja ya watu kabla ya kuanzisha mahusiano wawe na macho ya kuona mbali kwani hiyo si aina ya mahusiano ambayo yatakuwa yenye kudumu na kuwa maelewano mazuri kama vipigo vitachukua nafasi.

Lazima mwisho wa siku mmoja vipigo vitamchosha tu na kuanza kuwa nunda. Yaani liwalo na liwe.
 
Hahaaa ni kweli mkuu jeraha hata km lingekua la miaka 50 iliyopita bado ni evidence ya alichopitia shilole daah tuwaombee tu wapate suluhu
Umeona Mkuu na si ajabu kila akilifikiria akili inampa ushawishi wa kulipiza.

Hakika nadhani kama wanaeza wayazungumze na suluhu ipatikanage.
 
Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.

Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.

Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.

Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikua wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Chama la wana..haliwezi kupaki home usiku mzima

Jr[emoji769]
 
Uchebe kazi anayo sababu as a society tulishakubaliana mwanamke ni kiumbe wa thamani na hapigwi haijalishi ni kiasi gani kakosea. Ajiandae kisaikolojia tu hana haki tena hata ajitetee vipi jamii ilishaamua kua huwa viumbe hawapigwi.... Hii ndio one disadvantage of being a man kwenye ndoa, ukieleza matatizo ya mkeo unamdhalisha, ukimpiga kesi, suluhisho ni kutoa talaka tu...
Hili nalo litapita, tutasahau
 
Dada unajua utamu wa mapenzi wewe..??
Unajua huwa mnatuwekea kolezo limbwata..😅
Sisi wanaume mbele ya mwanamke huwa ni watawala.. kwani huyo dada aliingia kwenye ndoa huku hajui misingi ya ndoa..?
Kwanza ilitakiwa mumchambe maana anawaaibisha!.

Kuacha sio kwepesi hivyo tu!… Watu huacha na baada hata ya miaka 5 hurudiana! Love inanguvu wacha kabisa!.. maswala ya kupotezeana muda ni ukenge mi niingie kwenye ndoa then kimtu kinarukaruka lzm nikituze kabla ya kukiacha..😜😉
Hahahaaa. lol.

Nadhani walikutana watu wa aina moja hapo hakukuwa na wa kumwongoza mwenzie.
 
Back
Top Bottom