Uchekibobu hadi misibani? ndio kuiga gani huku

Uchekibobu hadi misibani? ndio kuiga gani huku

Proper attire kwa Watanzania....mainstream Tanzania.
Haaahaa, Mzee Nyani inaonekana Watanzania mainstream huwajui, unaowajua ni idea tu inayoelea kichwani. Watanzania wa kawaida hawana luxury ya kuwa na attire, let alone ku discern kutoka katika "wardrobe" zao kipi ni proper.Mot times watu wanavaa what is practical if not what is available.It is very hard to try to be proper when you don't have much, not that Jay doesn't have much by Tanzanian standards.

Which brings me to another point.Jamani tunam judge Jay, tunajua circumstances za yeye kuja hapo kuaga mwili? Vipi kama alikuwa katika mihanjo yake tu, wala hakupanga kuwa hapo, au hata kama alipanga lakini hakuwa na access ya "proper attire"? Mnataka mtu asiage mwili kwa sababu kavaa pensi na fulana la fuvu?

Vipi kuhusu setting na decorum? Kama angekuwa anaenda kwenye sehemu za mastarehe sidhani kwamba ingekuwa issue (ingawa bado sioni kama alivyo vaa ni vibaya sana kulingana na sehemu na mazingira). Nimekuuliza swali kama ingekuwa mdada (let's say ni mcheza dansi) aliyevaa ki hoochie mama kwenye msiba bado ungeona sawa tu? Nyonyo karibu zote ziko nje..akiinama unaona goodies zake...na viatu kakuvalia heels za inchi sita...Kiranga...kweli ungeona sawa au basi tu unataka kuleta ligi huku ukijua kabisa kuna baadhi ya mambo yako in poor taste kulingana na occassion na mengineyo?

Tunarudi pale pale kwenye standards tofauti ku apply kwa watu tofauti. Huyu Jay si rais wala mbunge, wala si kiongozi wa kuchaguliwa kusema kwamba anarepresent values mainstream. Huyu ana represent values za hip hop ambazo zinajulikana kwa kuwa bohemian, counter cultural if not outright miscreant and rebellious, sasa mnataka mtu aji front na msuti au mikaputula ya silk wakati si zake?

Tofautisha issue ya mtu kuvaa indecently katika msiba (by indecently namaanisha nusu uchi or some such stunts) na huyu bwana ambaye ku deviate kwake kutoka convention za propriety za baadhi yetu haziruhusu. Wewe mwenyewe umesema the guy didn't even pull a kata k.

Nitasema acha visingizio vilivyo lame....hautayeyuka miguu ukivaa suruali....

Tatizo ni kwamba hatujui kwamba alitaka kuvaa pensi au alilazimika.

Ndiyo yale yale ya ile press conference ya George W. Bush, alivyoanza kum lambast muandishi wa habari kwa sababu tu kavaa sunglasses katika press conference ya rais, come to find out jamaa ni legally blind or something like that.

Au tunamlaumu Hasheem kashuka kwenye ndege na ndala huku hatujui jamaa anavaa viatu size 18 wide na ana matatizo kibao ya miguu.

Kabla ya ku pass judgement, tunajua situation yake?

Even Jesus the philosopher wouldn't be cool with that, and this ganging on Jay ni ufarisayo fulani hivi.

Unaweza kukuta wanaotinga misuti wana evil thoughts kichizi na hao masela ndio one love tupu.
 
Proper attire kwa Watanzania....mainstream Tanzania.
Haaahaa, Mzee Nyani inaonekana Watanzania mainstream huwajui, unaowajua ni idea tu inayoelea kichwani. Watanzania wa kawaida hawana luxury ya kuwa na attire, let alone ku discern kutoka katika "wardrobe" zao kipi ni proper.Most times watu wanavaa what is practical if not what is available.It is very hard to try to be proper when you don't have much, not that Jay doesn't have much by Tanzanian standards. Umemuona huyo kijana mwenye T-Shirt nyeupe yenye maandishi mekundu nyuma ya Jay hapo? Sasa unaweza kumsema yule kwamba kaja kuaga mwili na fulana nyeupe tena yenye maandishi mekundu? Kuna wengine wametoka vijijini mambo yenu ya decorum na nguo nyeusi msibani hawayajui, kuna wengine wana mashati matatu na suruali tatu, zote si nyeusi, hao ndio Watanzania mainstream, sasa hao Watanzania mainstream wenye kuvaa full ngwamba nyeusi msibani wa wapi? Mainstream wa Obay, Ada Estate, Regent, Ursino, Upanga, Kichangachui Masaki na Mikocheni?

Mnataka kumsema mtu hajaoga msibani?

Which brings me to another point.Jamani tunam judge Jay, tunajua circumstances za yeye kuja hapo kuaga mwili? Vipi kama alikuwa katika mihanjo yake tu, wala hakupanga kuwa hapo, au hata kama alipanga lakini hakuwa na access ya "proper attire"? Mnataka mtu asiage mwili kwa sababu kavaa pensi na fulana la fuvu?

Vipi kuhusu setting na decorum? Kama angekuwa anaenda kwenye sehemu za mastarehe sidhani kwamba ingekuwa issue (ingawa bado sioni kama alivyo vaa ni vibaya sana kulingana na sehemu na mazingira). Nimekuuliza swali kama ingekuwa mdada (let's say ni mcheza dansi) aliyevaa ki hoochie mama kwenye msiba bado ungeona sawa tu? Nyonyo karibu zote ziko nje..akiinama unaona goodies zake...na viatu kakuvalia heels za inchi sita...Kiranga...kweli ungeona sawa au basi tu unataka kuleta ligi huku ukijua kabisa kuna baadhi ya mambo yako in poor taste kulingana na occassion na mengineyo?

Tunarudi pale pale kwenye standards tofauti ku apply kwa watu tofauti. Huyu Jay si rais wala mbunge, wala si kiongozi wa kuchaguliwa kusema kwamba anarepresent values mainstream. Huyu ana represent values za hip hop ambazo zinajulikana kwa kuwa bohemian, counter cultural if not outright miscreant and rebellious, sasa mnataka mtu aji front na msuti au misuruali ya silk wakati si zake?

Tofautisha issue ya mtu kuvaa indecently katika msiba (by indecently namaanisha nusu uchi or some such stunts) na huyu bwana ambaye ku deviate kwake kutoka convention za propriety za baadhi yetu haziruhusu. Wewe mwenyewe umesema the guy didn't even pull a kata k.

Nitasema acha visingizio vilivyo lame....hautayeyuka miguu ukivaa suruali....

Tatizo ni kwamba hatujui kwamba alitaka kuvaa pensi au alilazimika.

Ndiyo yale yale ya ile press conference ya George W. Bush, alivyoanza kum lambast muandishi wa habari kwa sababu tu kavaa sunglasses katika press conference ya rais, come to find out jamaa ni legally blind or something like that.

Au tunamlaumu Hasheem kashuka kwenye ndege na ndala huku hatujui jamaa anavaa viatu size 18 wide na ana matatizo kibao ya miguu.

Kabla ya ku pass judgement, tunajua situation yake?

Even Jesus the philosopher wouldn't be cool with that, and this ganging on Jay ni ufarisayo fulani hivi.

Unaweza kukuta wanaotinga misuti wana evil thoughts kichizi na hao masela ndio one love tupu.

Remember how the rejected stone turns out to be the corner stone? Don't be so easy to dismiss people by their outward appearances, don't judge a book by it's cover.
 
.......RIP Juliet Mrina, sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi.
Ndoto zako zote masikini zimepotea, umetutoka ungali msichana mdogo.......ajali hizi jamani zitatumaliza mbona!!!
 
.......RIP Juliet Mrina, sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi.
Ndoto zako zote masikini zimepotea, umetutoka ungali msichana mdogo.......ajali hizi jamani zitatumaliza mbona!!!


Dada Pretty kasema la maana katika thread hii, yaani tulifikia mahali kuona mavazi muhimu kuliko msiba wenyewe ?

Hivi huyu dada alikuwa nani?

May all beings attain enlightenment.
 
kwangu sioni tatizo, sema shida ya sisi waswahili tuliokuwa tunavaa, vipande vya magome ya miti, tangu tumeujua ustaarabu wa nchi za magharibi basi hata mtu akivaa nusu suruali basi kosa, inatupasa kutambua ngou si suruali pekee,
 
Thread haikuwa ya kutoa rambirambi...soma kichwa cha mada....

That is the basis of my critique, mtoa maada kaona msiba, kitu cha kwanza alichojua kusema ni kuangalia mavazi, kabla hata ya kutoa pole, wala kutuambia huyu dada ni nani, mtoa maada amekuwa irresponsible, hususan kwa sababu ni mwanahabari.

Yaani hapa kuna habari kubwa ya ajali ya basi la Shabib, kuna habari ya kutueleza huyu dada ni nani na kwa nini Jay yupo hapa, kuna pole, kuna habari positive ya kuona vijana wa bongoflava wanashirikiana katika misiba badala ya ku beef.

Tunakuja kuletewa trivialities za mavazi!
 
That is the basis of my critique, mtoa maada kaona msiba, kitu cha kwanza alichojua kusema ni kuangalia mavazi, kabla hata ya kutoa pole, wala kutuambia huyu dada ni nani, mtoa maada amekuwa irresponsible, hususan kwa sababu ni mwanahabari.

Yaani hapa kuna habari kubwa ya ajali ya basi la Shabib, kuna habari ya kutueleza huyu dada ni nani na kwa nini Jay yupo hapa, kuna pole, kuna habari positive ya kuona vijana wa bongoflava wanashirikiana katika misiba badala ya ku beef.

Tunakuja kuletewa trivialities za mavazi!

Okay..but you, me or anybody else can take the initiative of starting up another condolences topic in the Matangazo section....right?
 
Okay..but you, me or anybody else can take the initiative of starting up another condolences topic in the Matangazo section....right?

Dada Pretty kashatoa a very strong statement denouncing the trivial brouhaha on viwalo
kwa kuanza kutoa pole humu humu. Mimi nimemuunga mkono na nishatoa sympathy zangu
kwa all sentient beings regarding this inevitable eventuality.

Unaweza kuanzisha thread ya pole ukipenda, better yet, Mwanakijiji anaweza kubadili mada ya post ya kwanza ili tusihitaji kuwa na multiple threads zenye pole.

Katika age ya internet forums ni rahisi sana kuwa impersonal na kuangalia vitu artificially, ila kuna watu wamefiwa na binti yao, wengine dada yao, wengine ndugu yao. Watajisikiaje kama highlight ya mazishi ya mpendwa wao ni nguo za Professor Jay?
 
tuende kwa lengo kuwa muombolezaji na si kungalia nani kaja, na nani hajaja, aumekuja nani na kavaaje, hii siyo nzuri
......tusije tukawa kina,,,matangani hubanduki ujue kalala nani.....
 
Binafsi sioni ubaya wowote na vazi la jamaa. It's not that outlandish...I've seen worse. Afadhali alivyovaa hivi kuliko angevaa ile iitwayo kata kund.u. (pants on the ground..lol)

Ila naona kama kashika bandana nyekundu...sasa sijui hiyo ya nini? Au ni kuonesha kwamba yeye ni "blood"...

Ingependeza zaidi kama angevaa suruali kuliko hiyo pensi nyanya na pia angevaa t-shirt isiyo na chata hapo mbele au angevaa shati kabisa. But overall his attire ain't that bad....

mjomba bandana ajashika iko kwenye fuvu la T-SHIRT!
 
Back
Top Bottom