KERO Ucheleweshwaji wa Boom SAUT

KERO Ucheleweshwaji wa Boom SAUT

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Anordynho

Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
6
Reaction score
3
Nauliza ni lini wanafunzi kutoka chuo cha mtakatifu Augustine Tanzania SAUT watasaini hela zao za kujikimu awamu ya nne angali wenzao kutoka vyuo vingine washasaini pia huu ucheleweshaji kuna changamoto gani?
 
Back
Top Bottom