Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Uongozi wa kikabila na kimila wa kichifu ulifutwa enzi za baba wa taifa mwl Nyerere.
Zimepita awamu nne hatujaona marais wakijangaika na machifu na uchifu. Lakini katika sehemu ya mwisho ya awamu ta tano ambayo inaendeshwa na Rais aliyerithi baada ya aliyechaguliwa kufariki naona kumeanza kampeni na juhudi kubwa za kuutambua na kuurasimisha uchifu kama sehemu ya uongozi wa nchi hii na ametamka kuwa Serikali yake itashirikiana na machifu kana kwamba ni viongozi wanaotambulika kikatiba katika nchi hii.
Kuna nini kwenye hii U turn?
Zimepita awamu nne hatujaona marais wakijangaika na machifu na uchifu. Lakini katika sehemu ya mwisho ya awamu ta tano ambayo inaendeshwa na Rais aliyerithi baada ya aliyechaguliwa kufariki naona kumeanza kampeni na juhudi kubwa za kuutambua na kuurasimisha uchifu kama sehemu ya uongozi wa nchi hii na ametamka kuwa Serikali yake itashirikiana na machifu kana kwamba ni viongozi wanaotambulika kikatiba katika nchi hii.
Kuna nini kwenye hii U turn?