Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Chief Chui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chef Chui Jike (CCJ)Chief Chui
Huyu ni Rais wa 6.Hiyo ndiyo heshima.Hii ni awamu ya 6, na siyo sehemu ya mwisho ya awamu ya tano.
Samia hajarithi kiti amechaguliwa na matakwa na nguvu ya kikatiba.
Kinachorithiwa ni mamlaka ya kifalme/kimalkia ama kichifu.
WAPINZANI wa Rais SSH hamna hoja kwa kuwa Mama anaupiga mwingi , mumeishia kuchukua NON ISSUES na kuzifanya kuwa ndiyo UKOSIAJI. Kimsingi Uchifu wenye AUTHORITY ulifutwa wakati wa Nyerere. Ila bado makabila yanawaheshimu Machifu katika mambo ya kimila. Na hakuna kabila lisilo na Mila. Pili Rais Samia siyo wa kwanza kusimikwa Uchifu wa makabila mbalimbali. Angalia hapa Mbowe, Mnyika na Lissuimepita awamu nne hatujaona marais wakijangaika na machifu na uchifu. Lakini katika sehemu ya mwisho ya awamu ta tano ambayo inaendeshwa na Rais aliyerithi baada ya aliyechaguliwa kufariki naona kumeanza kampeni na juhudi kubwa za kuutambua na kuurasimisha uchifu kama sehemu ya uongozi wa nchi hii na ametamka kuwa Serikali yake it
Kwani we ujui kuwa machief wengi kama si wote ni waganga na wakuu wa wachawi, we unamchezea chief kwenye himaya yake hakuna wa kumroga chief, ni wachawi we uliza wajuzi wakujuze.Ndivyo umeambiwa uchief ni uchawi?
awamu iliyokosa uelekeoHii ni awamu ya sita yakheee,
Shtukaaaa
Hofu ya kupoteza madaraka wanata patapaUongozi wa kikabila na kimila wa kichifu ulifutwa enzi za baba wa taifa mwl Nyerere.
Zimepita awamu nne hatujaona marais wakijangaika na machifu na uchifu. Lakini katika sehemu ya mwisho ya awamu ta tano ambayo inaendeshwa na Rais aliyerithi baada ya aliyechaguliwa kufariki naona kumeanza kampeni na juhudi kubwa za kuutambua na kuurasimisha uchifu kama sehemu ya uongozi wa nchi hii na ametamka kuwa Serikali yake itashirikiana na machifu kana kwamba ni viongozi wanaotambulika kikatiba katika nchi hii. Kuna nini kwenye hii U turn?
Kitu kikubwa kwenye Uchifu ni ushirikina hutaki Acha.Ndivyo umeambiwa uchief ni uchawi?
Hakuna uongozi wa kiChifu kwa Serikali ya Tanzania..hizo ni mbwembwe na minjonjo ya wanasiasa...Uongozi wa kikabila na kimila wa kichifu ulifutwa enzi za baba wa taifa mwl Nyerere.
Zimepita awamu nne hatujaona marais wakijangaika na machifu na uchifu. Lakini katika sehemu ya mwisho ya awamu ta tano ambayo inaendeshwa na Rais aliyerithi baada ya aliyechaguliwa kufariki naona kumeanza kampeni na juhudi kubwa za kuutambua na kuurasimisha uchifu kama sehemu ya uongozi wa nchi hii na ametamka kuwa Serikali yake itashirikiana na machifu kana kwamba ni viongozi wanaotambulika kikatiba katika nchi hii. Kuna nini kwenye hii U turn?
Hii ni kutokuheshimu sheria na kutaka kuleta migogoro tu kwa ukabilaUongozi wa kikabila na kimila wa kichifu ulifutwa enzi za baba wa taifa mwl Nyerere.
Zimepita awamu nne hatujaona marais wakijangaika na machifu na uchifu. Lakini katika sehemu ya mwisho ya awamu ta tano ambayo inaendeshwa na Rais aliyerithi baada ya aliyechaguliwa kufariki naona kumeanza kampeni na juhudi kubwa za kuutambua na kuurasimisha uchifu kama sehemu ya uongozi wa nchi hii na ametamka kuwa Serikali yake itashirikiana na machifu kana kwamba ni viongozi wanaotambulika kikatiba katika nchi hii. Kuna nini kwenye hii U turn?
Kuna kundi linapotosha sana mitandaoni....Sukuma gang wengi Wana hasira Sana. Maana kila mahala na pahala wanaangukia pua. Walimtuma Ndugai aropoke halafu kaishia kutumbuliwa. Sasa wanarusha maneno mavhafu mitandaoni dhidi ya awamu ya 6.
Poleni sana sukuma gang