Uchimbaji mchanga mkoa wa pwani

shivo01

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
89
Reaction score
142
Habari wadau, nilikua naomba msaada kwa yoyote mwenye ufahamu wa taratibu za kupata kibali cha uchimbaji mchanga mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga.Nina eneo la ekari 3 ambalo linamchanga wa kutosha kwa mwenye ufahamu wa hii biashara pia naomba msaada please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…