Habari wadau, nilikua naomba msaada kwa yoyote mwenye ufahamu wa taratibu za kupata kibali cha uchimbaji mchanga mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga.Nina eneo la ekari 3 ambalo linamchanga wa kutosha kwa mwenye ufahamu wa hii biashara pia naomba msaada please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.