Aahhhhh hapo anasifiwa alikuwepo eneo tukio muda mfupi sanaaaaMimi kilichonishangaza ni mtu kwenda kuhutubia sehemu watu wapo ndani ya kifusi. Yaani nitabaki nashangaa tu.
Hana akili huyo.Ana nta kwenye fuvu la kichwa chake.😂😂😂Aahhhhh hapo anasifiwa alikuwepo eneo tukio muda mfupi sanaaaa
Ndio uone akili za watanzania zilivyolala. Jengo limeshajengwa kwa viwango vya kuishi binadamu wao wanageuza vyumba vya gorofa maghala ya kutjnzia bidhaa, flows za gorofa zimejengwa kwa kufuata stability ya foundation wabongo wanabomoa foundation kuongeza flow nyingine😄Yaan wanachimba maduka jengo ambalo liko tayari ama inakuaje?
Mkuu hii ndio Tz yetu na siasa zetu maji chafu. Watanzania tutakuja kushtuka wakati dunia ishafika 15th GMimi kilichonishangaza ni mtu kwenda kuhutubia sehemu watu wapo ndani ya kifusi. Yaani nitabaki nashangaa tu.
Wanataka maghorofa yaelee kama kwenye ndoto za Abuu Nuwas kujenga nyumba angani.Ndio uone akili za watanzania zilivyolala. Jengo limeshajengwa kwa viwango vya kuishi binadamu wao wanageuza vyumba vya gorofa maghala ya kutjnzia bidhaa, flows za gorofa zimejengwa kwa kufuata stability ya foundation wabongo wanabomoa foundation kuongeza flow nyingine😄
Mbona hakuna kinachoshanga hapo ulitaka afanyaje?Mimi kilichonishangaza ni mtu kwenda kuhutubia sehemu watu wapo ndani ya kifusi. Yaani nitabaki nashangaa tu.
Tamaa na kingine ni akili ndogoKwa nini kuwe na uchimbaji wa maduka ya chini?🤔
Mimi kilichonishangaza ni mtu kwenda kuhutubia sehemu watu wapo ndani ya kifusi. Yaani nitabaki nashangaa tu.
Pointi ya hovyo sana hii umeandika boss!Hili tukio inabidi vyombo vinavyoshughulika na masuala ya ugaidi vifuatilie pia kama kuna uwezekano huo.
Tunaweza tukawa tunazunguka sana kumbe ni tumepigwa tukio kama la westgate kivyetu.
Shortcut is always a wrong cut.Yaan wanachimba maduka jengo ambalo liko tayari ama inakuaje?
Ukiwa Trapped kule you are as good as dead maana huwa hewa hamna kabisa na una feel ile struggle ya kuvuta hewa nzito yenye joto kali na harufu za majasho.Sasa hivi itabidi tuache kwenda chini kwenye zile basement
Exactly, mimi kama kiongozi lazma ningetafuta kumjua mmiliki na straight away angepandishwa kizimbani. Sadly kwa utawala huu he will get away with it ila kwa kile chuma JPM alikuwa anakula mvua za kutosha.Kwa jinsi nilivyoelewa, ni kwamba Jengo Hilo la Ghorofa lilijengwa Kwa plan ya kawaida tu, ikiwa na Ghorofa kadhaa...!
Ila kutokana na Tamaa za Wamiliki, na inaonekana ni mchezo wa kawaida Kariakoo Kwa Majengo mengi Kwa Sasa.
Mmiliki akaamua kuchimba Chini ili apate kujenga Frame zitazokua Underground, bila kuzingatia Usalama na plan ya Jengo...!
Matokeo yake hata zile Nguzo zilizoshika Jengo zikawa weak, na kupelekea Jengo kuanguka.....!
Serikali ingeanza kufanya Uchunguzi coz ni majengo mengi Sasa wanaamua kuchimba Underground wakati Jengo lilishajengwa na kuisha zamani.
Terrible. Inatakiwa kuwa na mamlake zenye akili.Ukiwa Trapped kule you are as good as dead maana huwa hewa hamna kabisa na una feel ile struggle ya kuvuta hewa nzito yenye joto kali na harufu za majasho.
Jiulize kifusi kikiziba kabisa zile exits hali itakuwaje kama sio kufa kwa mateso.
Unakuta mmiliki wa hilo jengo ni kada mkubwa tu ndio maana imefunikwa funikwa kama vile jambo la kawaids sana.Tutaogopa kuja kwenye maduka ya migorofa iliojengwa awamu hizi, hapa lazima serikali iwajibike asisingiziwe engenia
Hii mbona Kali mzee?Kwa jinsi nilivyoelewa, ni kwamba Jengo Hilo la Ghorofa lilijengwa Kwa plan ya kawaida tu, ikiwa na Ghorofa kadhaa...!
Ila kutokana na Tamaa za Wamiliki, na inaonekana ni mchezo wa kawaida Kariakoo Kwa Majengo mengi Kwa Sasa.
Mmiliki akaamua kuchimba Chini ili apate kujenga Frame zitazokua Underground, bila kuzingatia Usalama na plan ya Jengo...!
Matokeo yake hata zile Nguzo zilizoshika Jengo zikawa weak, na kupelekea Jengo kuanguka.....!
Serikali ingeanza kufanya Uchunguzi coz ni majengo mengi Sasa wanaamua kuchimba Underground wakati Jengo lilishajengwa na kuisha zamani.
Wanapenda mambo ya kufosi sema nashukuru hio kadhia ilimfika mwanae🤣 ili ausikie uchungu wakeMaboc wanaojenga magorofa kariako n wabahili sana Kwenye kununua material ,,mm n fundi welding Kuna bocc alinipakaa kazi za kuwekaa Dari Kwenye frem zakee zipo 20 ,kule darini anasema atakuwa anaweka mizigo ...mm km fundi nikamwambia hapa inabidi tutumie square pp nzito ya nchi 2x2 Kwa sbb yakuweza kuhimili uzito wa mizigo ..bocc ananiambia hzo n gharama sana weka square pp nchi 1x1 😔😔...nikamwambiaa c imara Sanaa na haziwezi kuhimili uzito wa mizigo maana frem n kubwa sana ,,akataka hzo hzo za 1x1 ,,,ss km mnavyojua mafundi hatuachagii kazi nikafanyaa kazi vzr tu nikamaliza frem zt na wapangaji wakaingiaaa,aiseee miezi 2 mingii matokeo boc aliyaonaa nilichomshauri mwanzo 😔😔...mwanaee mmoja ameponaa juzi japo c vzr maana alikuwa na frem pale ya vipodozi na akaenda jaza mizigo ya vipodozi kule darini ,cku amekaa zake anasuburi watejaaa darii lote lilimdondokeaa ..
Hii ratio ndio kwanza naisikia kwako toka dunia imeumbwa! Na mbaya zaidi utakuta na wewe unajiita injinia tena unasimamia site kabisa! Mwisho wa siku unakuja kuua watuUPIGAJI.
Ratio ya zege mfuko moja wa cement,ndio 4 za kokoto ,ndio 3 za mchanaa,.