min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kumbe🤔 na kweli dhahabu ina pesa sanaWalikuwa wanatafuta dhahabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe🤔 na kweli dhahabu ina pesa sanaWalikuwa wanatafuta dhahabu.
Exactly, hio ndio namna sahihi ya kufanya. Mafundi walikuwa njaa na boss ambaye ndiye mmiliki nae akili kisoda. Utakuta alishauriwa na Engineer vizuri akam bypass na kutafta mafundi yeye.Hapo kuna tajiri mwenzie alifanya huo upumbavu uka work out so akamjaza ujinga ili nayeye afanye upuuzi wa aina hio sadly amefeli na ameumiza watu.Hii mbona Kali mzee?
Inamaana wanachokonoa foundation ya jengo wapate space ya kuweka fremu huko chini mbona hainiongii akilini asee.
Hao mafundi waliokuwa wanafanya hiyo kazi hawakuwa na Akili au?
Nijuavyo hizo underground floor zinawekwa baada ya jengo zima kubomolewa na kujengwa kwa site plan mpya.
Na ameusikiaa mkuu 😂😂 na mm nikapata pesa mara 2 .Wanapenda mambo ya kufosi sema nashukuru hio kadhia ilimfika mwanae🤣 ili ausikie uchungu wake
Shida sio kuchimba underground unasema? Wewe leo hii toa bati lako kisha mwaga zege juu then pandisha ukuta ili uwe na nyumba ya ghorofa halafu uone kama hilo jengo hamna siku litapasuka nyufa kama si kuwaua kabisa wanao.Shida ni kukosa utalaamu na ujanjaujanja mwingi wala sio kuchimba hizo underground
Raha sana, mimi huwa sipendagi mambo ya shortcut hasa kwenye vitu critical.Na ameusikiaa mkuu 😂😂 na mm nikapata pesa mara 2 .
Ndio tulipofikia hapo, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Yani imefikia stage jambo sio sahihi ila kama kuna million 5 nawaruhusu mkaendelee na kaziNa serikali ipo
Hii inchi hii
Fundi njaaMaboc wanaojenga magorofa kariako n wabahili sana Kwenye kununua material ,,mm n fundi welding Kuna bocc alinipakaa kazi za kuwekaa Dari Kwenye frem zakee zipo 20 ,kule darini anasema atakuwa anaweka mizigo ...mm km fundi nikamwambia hapa inabidi tutumie square pp nzito ya nchi 2x2 Kwa sbb yakuweza kuhimili uzito wa mizigo ..bocc ananiambia hzo n gharama sana weka square pp nchi 1x1 😔😔...nikamwambiaa c imara Sanaa na haziwezi kuhimili uzito wa mizigo maana frem n kubwa sana ,,akataka hzo hzo za 1x1 ,,,ss km mnavyojua mafundi hatuachagii kazi nikafanyaa kazi vzr tu nikamaliza frem zt na wapangaji wakaingiaaa,aiseee miezi 2 mingii matokeo boc aliyaonaa nilichomshauri mwanzo 😔😔...mwanaee mmoja ameponaa juzi japo c vzr maana alikuwa na frem pale ya vipodozi na akaenda jaza mizigo ya vipodozi kule darini ,cku amekaa zake anasuburi watejaaa darii lote lilimdondokeaa ..
Kiongozi kwa hiyo michezo itakuwa ni maafa makubwa kwa nchi pindi likitokea tetemeko dogo tu mijengo mingi itaporomoka, siombei hilo ila ndio hivyo CRB na wengineo wamelala wa pono.Imagine ni magorofa mangapi wameshafanya huo mchezo wa kuchimba chini bila utaalam kuhusika. Lazima jengine lishuke after 5 years. Inaonyesha huyo aliefanya hivo ameiga kutoka kwa wengine waliokwishafanya hivo kisiri! Ngoja tuone jengine lishuke sasa huku serikali ya ccm ikiangalia tu.
Nimetoa ratio mbili HAPO.ipi unayoikataa?Hii ratio ndio kwanza naisikia kwako toka dunia imeumbwa! Na mbaya zaidi utakuta na wewe unajiita injinia tena unasimamia site kabisa! Mwisho wa siku unakuja kuua watu
Hakuna ukaguzi wa majengo?Maboc wanaojenga magorofa kariako n wabahili sana Kwenye kununua material ,,mm n fundi welding Kuna bocc alinipakaa kazi za kuwekaa Dari Kwenye frem zakee zipo 20 ,kule darini anasema atakuwa anaweka mizigo ...mm km fundi nikamwambia hapa inabidi tutumie square pp nzito ya nchi 2x2 Kwa sbb yakuweza kuhimili uzito wa mizigo ..bocc ananiambia hzo n gharama sana weka square pp nchi 1x1 😔😔...nikamwambiaa c imara Sanaa na haziwezi kuhimili uzito wa mizigo maana frem n kubwa sana ,,akataka hzo hzo za 1x1 ,,,ss km mnavyojua mafundi hatuachagii kazi nikafanyaa kazi vzr tu nikamaliza frem zt na wapangaji wakaingiaaa,aiseee miezi 2 mingii matokeo boc aliyaonaa nilichomshauri mwanzo 😔😔...mwanaee mmoja ameponaa juzi japo c vzr maana alikuwa na frem pale ya vipodozi na akaenda jaza mizigo ya vipodozi kule darini ,cku amekaa zake anasuburi watejaaa darii lote lilimdondokeaa ..
Usisikilize Hizo porojo mkuu, Huwezi ukachimba chini ya ghorofa, Haiwezekani hata siku 1..Wata
alam ujenzi/wahandisi watueleze kitaalmu ni kwa % ngap hii inaweza sababisha jengo kuporomoka!?,na kama ni hatari je serikali haikulijua hilo na wametoboa majengo mangap mpaka sasa!?
Kwann usiseme bocc njaa mkuu,maana fundi nimetoa ushauri kagomaa..ulitaka niache kazi Ili iwejee 😅😅😅Fundi njaa
Alafu nenda kaangalie kwenye Lile gorofa kwenye collum wametumia nondo za mm ngapi?.ukikuta mm18 au 20.rudi nikutumie elfu 50.Hii ratio ndio kwanza naisikia kwako toka dunia imeumbwa! Na mbaya zaidi utakuta na wewe unajiita injinia tena unasimamia site kabisa! Mwisho wa siku unakuja kuua watu
Kwani wanachimba wakati gorofa lishakuwa limeisha au Kuna wazi tangu wanaanza kulijenga Hilo gorofa?Usisikilize Hizo porojo mkuu, Huwezi ukachimba chini ya ghorofa, Haiwezekani hata siku 1..
Kina fundi maiko hao!!!Hii ratio ndio kwanza naisikia kwako toka dunia imeumbwa! Na mbaya zaidi utakuta na wewe unajiita injinia tena unasimamia site kabisa! Mwisho wa siku unakuja kuua watu
Inabidii uwaulize serikali Yako mkuu kwann hawakagui majengoo.....kariako ukuta unatoboa na dril unakua km unatoboa mchanga tu mkuu ,Hakuna ukaguzi wa majengo?
Mabocc mkuu naona wanataka kuonekana nao wanamiliki magorofa kariako .ujenzi janja janja nyingi sehemu yakuweka nondo mm 20 ,anamwambia fundi ujenzi aweke nondo mm 12 😂😂😂Raha sana, mimi huwa sipendagi mambo ya shortcut hasa kwenye vitu critical.
Sijui kwa nini wanapendaga kuhutubia kati kati ya majanga. Kwa wenzetu wanabaki waokoaji tu, watu wote mnatakiwa kuondoka hiyo sehemu. Hii nchi ni zaidi ya janga.Na watu wakaacha kazi za uokoaji wakaanza kumsikiliza?Basi nchi hii tatizo ni kubwa zaidi ya tunavyolichulia aisee.
Badala ku plan business cente nyingine wao wanabanana na kariakoo tu.Ndio uone akili za watanzania zilivyolala. Jengo limeshajengwa kwa viwango vya kuishi binadamu wao wanageuza vyumba vya gorofa maghala ya kutjnzia bidhaa, flows za gorofa zimejengwa kwa kufuata stability ya foundation wabongo wanabomoa foundation kuongeza flow nyingine😄