Uchimbaji wa maduka ya chini kwa ajili ya kuongeza sehemu ya maduka unatajwa kuwa chanzo cha kuporomoka kwa jengo kariakoo

Uchimbaji wa maduka ya chini kwa ajili ya kuongeza sehemu ya maduka unatajwa kuwa chanzo cha kuporomoka kwa jengo kariakoo

Hii mbona Kali mzee?
Inamaana wanachokonoa foundation ya jengo wapate space ya kuweka fremu huko chini mbona hainiongii akilini asee.
Hao mafundi waliokuwa wanafanya hiyo kazi hawakuwa na Akili au?
Nijuavyo hizo underground floor zinawekwa baada ya jengo zima kubomolewa na kujengwa kwa site plan mpya.
Exactly, hio ndio namna sahihi ya kufanya. Mafundi walikuwa njaa na boss ambaye ndiye mmiliki nae akili kisoda. Utakuta alishauriwa na Engineer vizuri akam bypass na kutafta mafundi yeye.Hapo kuna tajiri mwenzie alifanya huo upumbavu uka work out so akamjaza ujinga ili nayeye afanye upuuzi wa aina hio sadly amefeli na ameumiza watu.
 
Shida ni kukosa utalaamu na ujanjaujanja mwingi wala sio kuchimba hizo underground
Shida sio kuchimba underground unasema? Wewe leo hii toa bati lako kisha mwaga zege juu then pandisha ukuta ili uwe na nyumba ya ghorofa halafu uone kama hilo jengo hamna siku litapasuka nyufa kama si kuwaua kabisa wanao.
 
Maboc wanaojenga magorofa kariako n wabahili sana Kwenye kununua material ,,mm n fundi welding Kuna bocc alinipakaa kazi za kuwekaa Dari Kwenye frem zakee zipo 20 ,kule darini anasema atakuwa anaweka mizigo ...mm km fundi nikamwambia hapa inabidi tutumie square pp nzito ya nchi 2x2 Kwa sbb yakuweza kuhimili uzito wa mizigo ..bocc ananiambia hzo n gharama sana weka square pp nchi 1x1 😔😔...nikamwambiaa c imara Sanaa na haziwezi kuhimili uzito wa mizigo maana frem n kubwa sana ,,akataka hzo hzo za 1x1 ,,,ss km mnavyojua mafundi hatuachagii kazi nikafanyaa kazi vzr tu nikamaliza frem zt na wapangaji wakaingiaaa,aiseee miezi 2 mingii matokeo boc aliyaonaa nilichomshauri mwanzo 😔😔...mwanaee mmoja ameponaa juzi japo c vzr maana alikuwa na frem pale ya vipodozi na akaenda jaza mizigo ya vipodozi kule darini ,cku amekaa zake anasuburi watejaaa darii lote lilimdondokeaa ..
Fundi njaa
 
Imagine ni magorofa mangapi wameshafanya huo mchezo wa kuchimba chini bila utaalam kuhusika. Lazima jengine lishuke after 5 years. Inaonyesha huyo aliefanya hivo ameiga kutoka kwa wengine waliokwishafanya hivo kisiri! Ngoja tuone jengine lishuke sasa huku serikali ya ccm ikiangalia tu.
Kiongozi kwa hiyo michezo itakuwa ni maafa makubwa kwa nchi pindi likitokea tetemeko dogo tu mijengo mingi itaporomoka, siombei hilo ila ndio hivyo CRB na wengineo wamelala wa pono.
 
Maboc wanaojenga magorofa kariako n wabahili sana Kwenye kununua material ,,mm n fundi welding Kuna bocc alinipakaa kazi za kuwekaa Dari Kwenye frem zakee zipo 20 ,kule darini anasema atakuwa anaweka mizigo ...mm km fundi nikamwambia hapa inabidi tutumie square pp nzito ya nchi 2x2 Kwa sbb yakuweza kuhimili uzito wa mizigo ..bocc ananiambia hzo n gharama sana weka square pp nchi 1x1 😔😔...nikamwambiaa c imara Sanaa na haziwezi kuhimili uzito wa mizigo maana frem n kubwa sana ,,akataka hzo hzo za 1x1 ,,,ss km mnavyojua mafundi hatuachagii kazi nikafanyaa kazi vzr tu nikamaliza frem zt na wapangaji wakaingiaaa,aiseee miezi 2 mingii matokeo boc aliyaonaa nilichomshauri mwanzo 😔😔...mwanaee mmoja ameponaa juzi japo c vzr maana alikuwa na frem pale ya vipodozi na akaenda jaza mizigo ya vipodozi kule darini ,cku amekaa zake anasuburi watejaaa darii lote lilimdondokeaa ..
Hakuna ukaguzi wa majengo?
 
Wata
alam ujenzi/wahandisi watueleze kitaalmu ni kwa % ngap hii inaweza sababisha jengo kuporomoka!?,na kama ni hatari je serikali haikulijua hilo na wametoboa majengo mangap mpaka sasa!?
Usisikilize Hizo porojo mkuu, Huwezi ukachimba chini ya ghorofa, Haiwezekani hata siku 1..
 
Hii ratio ndio kwanza naisikia kwako toka dunia imeumbwa! Na mbaya zaidi utakuta na wewe unajiita injinia tena unasimamia site kabisa! Mwisho wa siku unakuja kuua watu
Alafu nenda kaangalie kwenye Lile gorofa kwenye collum wametumia nondo za mm ngapi?.ukikuta mm18 au 20.rudi nikutumie elfu 50.
 
Hii ratio ndio kwanza naisikia kwako toka dunia imeumbwa! Na mbaya zaidi utakuta na wewe unajiita injinia tena unasimamia site kabisa! Mwisho wa siku unakuja kuua watu
Kina fundi maiko hao!!!
Sie tuliopitia Technical school tunajua kabisa standard concrete mix ni 1:2:3 na High strength concrete ratio ni 1:2:2
 
Huwa sipendi kwenda kariakoo maana usalama ni mdogo pale. Kwanza umeme ukikatika kila mtu ana kijenereta chake siku vikilipuka ni kilio kingine. Halafu hizo ghorofa zina mizigo juu ya kutosha hivyo kuongeza uzito wa jengo. Halafu kuna ujenzi mwingi unaendelea, mtu anajenga ghorofa lenye underground pembeni kabisa ya ghorofa jingine, yaani zero distance unategemea nini kama sio majanga baadae
 
Raha sana, mimi huwa sipendagi mambo ya shortcut hasa kwenye vitu critical.
Mabocc mkuu naona wanataka kuonekana nao wanamiliki magorofa kariako .ujenzi janja janja nyingi sehemu yakuweka nondo mm 20 ,anamwambia fundi ujenzi aweke nondo mm 12 😂😂😂
 
Na watu wakaacha kazi za uokoaji wakaanza kumsikiliza?Basi nchi hii tatizo ni kubwa zaidi ya tunavyolichulia aisee.
Sijui kwa nini wanapendaga kuhutubia kati kati ya majanga. Kwa wenzetu wanabaki waokoaji tu, watu wote mnatakiwa kuondoka hiyo sehemu. Hii nchi ni zaidi ya janga.
 
Ndio uone akili za watanzania zilivyolala. Jengo limeshajengwa kwa viwango vya kuishi binadamu wao wanageuza vyumba vya gorofa maghala ya kutjnzia bidhaa, flows za gorofa zimejengwa kwa kufuata stability ya foundation wabongo wanabomoa foundation kuongeza flow nyingine😄
Badala ku plan business cente nyingine wao wanabanana na kariakoo tu.
 
Back
Top Bottom