Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Wapi umetishiwa mkuu?
Naomba kujua kama umeiafiki kuwa ile ni hotuba halisi ya Mwalimu Nyerere yakuliaga taifa aliyoitoa mbele ya wa wazee wa Dar?
Nyerere unapenda sana kuandika.
Hivi wewe dude mbona kila mahali umo? ikizungumzwa Uislamu umo! ukristo umo! umajusi umo! hee! siasa za Zanzibar umo! hee! usiwe kama mwanamke ..............!
Jamaa wananitisha wanasema sichomoki, wanasema hotuba siju nini.
Ndiyo nami nasema vitisho vya nini?
Unaniuliza kuhusu mimi kuafiki hotuba halisi ya Mwalimu Nyerere?
Kwani vipi kuna mabadilko?
kwani ni jambo baya kuwa kama mwanamke? mbona una dharau za ajabu hivyo. Kuwa mwanamke ni jambo baya? acha fikra za mfumo dume!
kwani ni jambo baya kuwa kama mwanamke? mbona una dharau za ajabu hivyo. Kuwa mwanamke ni jambo baya? acha fikra za mfumo dume!
Darsa nzuri ingepatikana tape tungefahamu vitu vingi sana.
Ndugu yangu nakuomba uweke adabu mbele tunapojadiliana hapa!
Mmemdhalilisha Mwalimu mkakwama na sasa mnageukia kwangu?
Tumia mda mwngi kurudia yale yote tuliyojadili tangu post ya kwanza yatakufunza na kupevuka kimwili kiakili na kiroho mkuu!
kwani ni jambo baya kuwa kama mwanamke? mbona una dharau za ajabu hivyo. Kuwa mwanamke ni jambo baya? acha fikra za mfumo dume!
Darsa nzuri ingepatikana tape tungefahamu vitu vingi sana.
ndugu yangu nakuomba uweke adabu mbele tunapojadiliana hapa!
Mmemdhalilisha mwalimu mkakwama na sasa mnageukia kwangu?
Tumia mda mwngi kurudia yale yote tuliyojadili tangu post ya kwanza yatakufunza na kupevuka kimwili kiakili na kiroho mkuu!
kama kusemwa ukweli ni kudhalilisha,basi marehemu nyerere atakuwa amedhalilishwa
kuweka adabu mbele! hivi tuanze kupitia maamdiko humu nani kati yako na yangu aliyekosa adabu
Mara ngapi Mohamed Said amekukanya kwa maneno yako ya dharau na kejeli?
Eti tunakugeukia wewe!
Tunachotaka kwako ulete majina ya waasi waliosamehewa na nyerere,
kisha kupewa vyeo na ubalozi,kama ulivyosema wewe.
Ulisema utaleta majina.Leo siku ya ngapi tangu uahidi.
Tatizo lako sio mkweli,upo tayari kutetea hoja yako kwa uongo.
Nakushauri acha kulialia na kupiga mayowe mjadala umeutaka mwenyewe.
Ili usiwe muongo na mzushi,lete ushahidi wa hayo majina.
Vinginevyo omba radhi hapa jamvini,kwamba uliongopa.
Tutaendelea kukumbusha,tutaendelea kusubiri
Nimewasiliana nao TBC kwa lengo la kupata hizo audio na vbideo, wamesema Jumatatu nifike ofisini kwao nikaichukue,
Tuvute subira, tutapata mpaka video!
kama kusemwa ukweli ni kudhalilisha,basi marehemu nyerere atakuwa amedhalilishwa
kuweka adabu mbele! hivi tuanze kupitia maamdiko humu nani kati yako na yangu aliyekosa adabu
Mara ngapi Mohamed Said amekukanya kwa maneno yako ya dharau na kejeli?
Eti tunakugeukia wewe!
Tunachotaka kwako ulete majina ya waasi waliosamehewa na nyerere,
kisha kupewa vyeo na ubalozi,kama ulivyosema wewe.
Ulisema utaleta majina.Leo siku ya ngapi tangu uahidi.
Tatizo lako sio mkweli,upo tayari kutetea hoja yako kwa uongo.
Nakushauri acha kulialia na kupiga mayowe mjadala umeutaka mwenyewe.
Ili usiwe muongo na mzushi,lete ushahidi wa hayo majina.
Vinginevyo omba radhi hapa jamvini,kwamba uliongopa.
Tutaendelea kukumbusha,tutaendelea kusubiri
Hapana haja ya vitisho.
Nimo humu nasubiri,
Insha Allah.
HATA NAMIMI NAMSHANGAA KIJANA YERICKO,NI YEYE MWENYEWE KATAKA CHAI,NA NDUGU YETU MOH SAID BILA KHIYANA WALA CHOYO AKAMPATIA,SASA IWEJE LEO YERICKO AJE KULALAMIKA YA KWAMBA ANAUNGUA??
KUNYWA TUH HII CHAI YERICKO,JIFUNZE KUSTAHIMILI MAPIGO KAMA VILE WENZAKO WANAVOSTAHIMILI NA KEJELI ZAKO.
KUNYWA CHAI TARATIIBU,...:tea:
Unajua maana ya funguo changudoa!
HATA NAMIMI NAMSHANGAA KIJANA YERICKO,NI YEYE MWENYEWE KATAKA CHAI,NA NDUGU YETU MOH SAID BILA KHIYANA WALA CHOYO AKAMPATIA,SASA IWEJE LEO YERICKO AJE KULALAMIKA YA KWAMBA ANAUNGUA??
KUNYWA TUH HII CHAI YERICKO,JIFUNZE KUSTAHIMILI MAPIGO KAMA VILE WENZAKO WANAVOSTAHIMILI NA KEJELI ZAKO.
KUNYWA CHAI TARATIIBU,...:tea: