Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Wapi umetishiwa mkuu?
Naomba kujua kama umeiafiki kuwa ile ni hotuba halisi ya Mwalimu Nyerere yakuliaga taifa aliyoitoa mbele ya wa wazee wa Dar?
Jamaa wananitisha wanasema sichomoki, wanasema hotuba siju nini.
Ndiyo nami nasema vitisho vya nini?
Unaniuliza kuhusu mimi kuafiki hotuba halisi ya Mwalimu Nyerere?
Kwani vipi kuna mabadilko?