Rejea hotuba ya kuaga wazee wa Dar, nyerere anasema waziwazi kuwa hata jina TANU alilikuta limeshabuniwa, hivyo HAIWEZEKANI kwa yeye kuitwa muasisi/mwasisi.Ni kweli Sideeq. Mwalimu alikua MUASISI na Rais wa KWANZA wa TANU sio MWASISI.
Zee zima hata akili huna, sasa kama TANU iliasisiwa na waislam watanzania tufanye nini? unataka watanzania wote tuslimu? huna maaana mjinga wewe!
Ungekuwa Mkristo ningekwambia wewe ni kama Mtume Petro na Yesu siku ile anafikishwa kwa Pilato. Angalia Post namba 2716.
Rejea hotuba ya kuaga wazee wa Dar, nyerere anasema waziwazi kuwa hata jina TANU alilikuta limeshabuniwa, hivyo HAIWEZEKANI kwa yeye kuitwa muasisi/mwasisi.
Rejea hotuba ya kuaga wazee wa Dar, nyerere anasema waziwazi kuwa hata jina TANU alilikuta limeshabuniwa, hivyo HAIWEZEKANI kwa yeye kuitwa muasisi/mwasisi.
Kubuni jina sio Uasisi. Kubuni mnaweza mkawapa hata watu wengine wasio wanachama. Historia haibadilishwi wala kuandikwa upya. Mwalimu ni muasisi na Rais wa Kwanza wa TANU, Waziri Mkuu wa KWANZA Tanganyika, Rais wa KWANZA na pekee wa TANGANYIKA, Rais wa KWANZA wa JMT, Mwenyekiti wa KWANZA wa CCM,...Rejea hotuba ya kuaga wazee wa Dar, nyerere anasema waziwazi kuwa hata jina TANU alilikuta limeshabuniwa, hivyo HAIWEZEKANI kwa yeye kuitwa muasisi/mwasisi.
Wala hujakosea....si unaona ile ID original kaipumzisha na sasa anakuja na hii KKHaaahaaa eheeee? Duuuuh aisee naona kama mwili nyumba vile au nakosea?
Yericko Nyerere
Badala ya kusugua kichwa kujua mimi ni nani, naomba usugue kichwa chako na unijibu yale maswali yangu matano tafadhali. Kama la niambie tu "sitaki". Nitakua nishakuelewa
Kubuni jina sio Uasisi. Kubuni mnaweza mkawapa hata watu wengine wasio wanachama. Historia haibadilishwi wala kuandikwa upya. Mwalimu ni muasisi na Rais wa Kwanza wa TANU, Waziri Mkuu wa KWANZA Tanganyika, Rais wa KWANZA na pekee wa TANGANYIKA, Rais wa KWANZA wa JMT, Mwenyekiti wa KWANZA wa CCM,...
wakati tunaendelea na huu mnakasha,naomba sasa kwa heshima na taadhima kumtamka rasmi kwamba, "yericko nyerere" si miongoni mwa wana familia ya marehem julius kambarage nyerere,
kuna utitiri mwingi wa maswali ambayo kwa namna moja ama nyingine wana ukumbi wamemuuliza ajiweke wazi kwamba yeye ni nani katika familia ya julius nyerere?amefeli kujitambulisha na kuamua kutojibu kwa kuhofia aibu,kama tunavojua julius kambarage nyerere alikuwa kiongozi wetu wa taifa hili,na mwenye sifa kem kem,ni fahari kwa yoyote yule leo kujitambulisha nae ya kuwa mimi fulani natokea ukoo wa nyerere na nina uhusiano nae wa namna fulani..!,ni fahari sio kwa kujitaftia umaarufu la hasha,ila kwa kufanya tuh jamii inayokuzunguka itambue uhalisia huo,
sas kwa yericko kushindwa kutamka na kujitambulisha yeye ni nani katika nasaba ya julius nyerere,si tuh anatuthibitishia ya kwamba hana uhusiano na familia hiyo bali pia anatuthibitishia ni jins gani alivyo limbuken na chakubimbi kwa kundandia dandia nasaba isiyo muhusu,
mwenzake ndugu moh said awali ya yote kajitambulisha,tumjue yeye ni nani,anatokea wapi,wazaz wake ni kina nani.,na anapatikana wapi,,yericko kashindwa kufanya hivyo,
aibu hii iwaendee wote wanaompa kichwa na kiburi,wote wanaomsifu na kumjaza ujinga,na kumchochea aje mbele ya jamii kutoa shutuma za kidini ambazo hazina mashiko.,
yericko "x",,tunakuomba sasa utafute identity nyingine unayonasibiana nayo.
Mwenzetu Yericko Nyerere ni verfied user. Hatumii ID feki kama wewe na mimi. Ameanzisha thread ambayo imeshughulisha kwelikweli vichwa humu. Thread nzito na ndefu kama hii humu ni chache sanawakati tunaendelea na huu mnakasha,naomba sasa kwa heshima na taadhima kumtamka rasmi kwamba, "yericko nyerere" si miongoni mwa wana familia ya marehem julius kambarage nyerere,
kuna utitiri mwingi wa maswali ambayo kwa namna moja ama nyingine wana ukumbi wamemuuliza ajiweke wazi kwamba yeye ni nani katika familia ya julius nyerere?amefeli kujitambulisha na kuamua kutojibu kwa kuhofia aibu,kama tunavojua julius kambarage nyerere alikuwa kiongozi wetu wa taifa hili,na mwenye sifa kem kem,ni fahari kwa yoyote yule leo kujitambulisha nae ya kuwa mimi fulani natokea ukoo wa nyerere na nina uhusiano nae wa namna fulani..!,ni fahari sio kwa kujitaftia umaarufu la hasha,ila kwa kufanya tuh jamii inayokuzunguka itambue uhalisia huo,
sas kwa yericko kushindwa kutamka na kujitambulisha yeye ni nani katika nasaba ya julius nyerere,si tuh anatuthibitishia ya kwamba hana uhusiano na familia hiyo bali pia anatuthibitishia ni jins gani alivyo limbuken na chakubimbi kwa kundandia dandia nasaba isiyo muhusu,
mwenzake ndugu moh said awali ya yote kajitambulisha,tumjue yeye ni nani,anatokea wapi,wazaz wake ni kina nani.,na anapatikana wapi,,yericko kashindwa kufanya hivyo,
aibu hii iwaendee wote wanaompa kichwa na kiburi,wote wanaomsifu na kumjaza ujinga,na kumchochea aje mbele ya jamii kutoa shutuma za kidini ambazo hazina mashiko.,
yericko "x",,tunakuomba sasa utafute identity nyingine unayonasibiana nayo.
Sijasema kuwa kubuni ni kuasisi! Ila kusema kuwa HATA JINA NIMELIKUTA LIMESHABUNIWA kuna maanisha kuwa hata kitu cha mwisho kama jina vilikuwa tayari vimeshatayarishwa!Kubuni jina sio Uasisi. Kubuni mnaweza mkawapa hata watu wengine wasio wanachama. Historia haibadilishwi wala kuandikwa upya. Mwalimu ni muasisi na Rais wa Kwanza wa TANU, Waziri Mkuu wa KWANZA Tanganyika, Rais wa KWANZA na pekee wa TANGANYIKA, Rais wa KWANZA wa JMT, Mwenyekiti wa KWANZA wa CCM,...
exactly,kwa kua tunajua fika yeye ni verified user ndio kwa maana tunahoji uhalali wa hilo jina,ya kwamba ana uhusiano nae gani?mwenzetu yericko nyerere ni verfied user. Hatumii id feki kama wewe na mimi. Ameanzisha thread ambayo imeshughulisha kwelikweli vichwa humu. Thread nzito na ndefu kama hii humu ni chache sana
Mwenzetu Yericko Nyerere ni verfied user. Hatumii ID feki kama wewe na mimi. Ameanzisha thread ambayo imeshughulisha kwelikweli vichwa humu. Thread nzito na ndefu kama hii humu ni chache sana
nashukuru kuona na kusikia kwa mara ya kwanza pamoja na matusi na dharau zenu zooote sasa leo unasema hivi:
"kama tunavojua julius kambarage nyerere alikuwa kiongozi wetu wa taifa hili,na mwenye sifa kem kem",
hili ni jambo jema na ninashukuru lengo langu la kurejesha heshima ya wanaukombozi wetu limetimia!
Hakika kile kinywa kichafu kilichokuwa kinatoa maneno machafu sasa kinatoa maziwa na asali!
Thank you god! Thank you bulito, thank you butiama!
Thank you mimi!
exactly,kwa kua tunajua fika yeye ni verified user ndio kwa maana tunahoji uhalali wa hilo jina,ya kwamba ana uhusiano nae gani?
Lait angekuwa hajajiverify isingekua ni tatizo,tungemchukulia kawaida tuh kama wana ukumbi wengine,
sasa tunachoshangaa ni yeye kuverify hilo jina kisha kugoma kutuambia ana uhusiano gani na julius kambarage..!
Hapo ndipo kwenye swali letu kuu.
Mzee Mohamed Said hauzi kitabu ili apate pesa au a-gain popularity. Amefanya ili "kutetea jamii yake" yaani wazee wake waliosahauliwa na historia ya uhuru. Leo hii asingewaandika akina Mshume Kiate, Abdul Sykes, Dosa Azizi, Fauz na wengineo, mimi wewe sote humu ndani tusingeliwajua
Hio ndio nia yake. Na nia hiyo ameifanikisha vyema. Watu wengi sasa hivi tunawajua, nikiwemo mimi na wewe, mashujaa hawa waliopigania uhuru wa Tanganyika
Sasa kwa bahati nzuri, wazee wengi waliopigania uhuru bega kwa bega na Mwalimu walikua waumini wa dini ya kiislam. Utafuta vipi ukweli huu ??
Nawasilisha
hilo kwake halina maana zaidi, kikubwa yeye ni kujua yericko anauhusiano gani na mwalimu nyerere!
Inasikitisha kweli kama shule yote iliyotolewa na wadau katika mnakasha huu hajaambulia kitu sasa angalau anataka kuambulia kwa kunijua kiundani mimi!