Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Kama unakubali kwamba hakuna mahali historia yetu imeandikwa, mbona unashabikia msimamo kwamba waislam wamesahauliwa makusudi na historia ya nchi hii?
Hapa tunajadili historia iliyofichwa kuhusu harakati za Waislam dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika.
Sasa wewe kwa ukereketwa wa Ukiristu wako roho inakuuma sana kusikia habari za wazee wa hawa kuwa mvumilivu tu huo ndiyo ukweli au wewe unapinga hawa wazee hawakupigania huu wa Tanganyika. Mohamed Said kafungua mlango kaandika kitabu.
Ni zamu yako na wewe ambae unasema Waislam wanalalamika kuandika kitabu tena wewe unajitapa msomi utajenga hoja nzuri kukifunika kabisa kitabu cha Mohamed Said.