Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kama unakubali kwamba hakuna mahali historia yetu imeandikwa, mbona unashabikia msimamo kwamba waislam wamesahauliwa makusudi na historia ya nchi hii?

Hapa tunajadili historia iliyofichwa kuhusu harakati za Waislam dhidi ya ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika.

Sasa wewe kwa ukereketwa wa Ukiristu wako roho inakuuma sana kusikia habari za wazee wa hawa kuwa mvumilivu tu huo ndiyo ukweli au wewe unapinga hawa wazee hawakupigania huu wa Tanganyika. Mohamed Said kafungua mlango kaandika kitabu.

Ni zamu yako na wewe ambae unasema Waislam wanalalamika kuandika kitabu tena wewe unajitapa msomi utajenga hoja nzuri kukifunika kabisa kitabu cha Mohamed Said.
 
...Hii tabia ya watu kujifanya watetezi wa jamii fulani sasa imekuwa kama mtaji wa kutokea. Baada ya 'Mwembechai Killings', prof. Njozi sasa ni VC wa Muslim University Morogoro(MUM)-ameula, ukilinganisha na nafasi aliyokuwa nayo UDSM. Kwa sasa yupo kimya-hakuna 'maajabu' yoyote aliyoyafanya MUM yanayoendana na kariba yake, badala yake tunaona vyuo vingine vidogo kama SJUT vikikua na kufungua campus sehemu mbali mbali nchini. Njozi yeye bado yuko Moro na MUM yake!

Njozi ameshatoka, sasa ni zamu ya Mohamed Said. Huyu anafaidika kwa namna mbali mbali, mojawapo kubwa ni kuuza kutangaza na kuuza kitabu chake-ndiyo maana hachelewi kukushawishi ukisome kitabu chake. Pia anafagilia namna kinavyotumika Ulaya. MS anajua kwamba kama itatokea nafasi ya serikali kujadiliana na waislamu, basi naye atakuwemo na hivyo kufaidi binafsi kama ilivyokuwa kwa Njozi.

Kadiri maisha yanavyozidi kuwa magumu, tutaendelea kuona harakati za aina mbalimbali. Harakati za MS na wengineo, hazina tofauti na za Mungiki-you create terror, you create wealth! Leo tunaona harakat za kidini,kesho zinakuja harakati zitakazowaunganisha watu maskini,n.k. Suala la Mtwara ni mfano mzuri, na Mtwara kwa sasa haina kiongozi. Umejiuliza hali itakuwaje akijitokeza 'kiongozi' wa wana kusini? Patachimbika!

Mwisho, wakati tunalia wakristo 'kuwadhulumu' na 'kuwahujumu' waislam, hakuna hujuma na dhuluma kubwa kupita ya ukoloni na ukoloni mamboleo. Humsikii MS akiwalaumu waarabu wala wazungu maana wanampa chakula-wanamkaribisha kwenye mihadhara na kumpatia fedha. Sio kwamba wazungu wanampenda MS au wanaamini kazi aliyoifanya-they believe in keeping their friends close and their enemies closer! Mtu anayechukia ukristo kwa kiwango cha MS hawezi kuwa rafiki wa wazungu. Wazungu hawapendi extremism kwenye dini-they have learnt the hard way!

Kama kweli si ni wazalendo, tuhoji tunafaidika vip na maliasili yetu kama wanavyofanya wanamtwara. Nani anayesaini mikataba ya Mangungo gizani? Kwanini hatujulishwi tutafaidika nini na vip na uwekezaji? Tukihoji maliasili yetu inavyotumika tunaweza hata kuondoa 'imbalances' ktk jamii kama zipo, sio kwa kulilia yaliyopita, tena kwa upotoshaji!

Mzee Mohamed Said hauzi kitabu ili apate pesa au a-gain popularity. Amefanya ili "kutetea jamii yake" yaani wazee wake waliosahauliwa na historia ya uhuru. Leo hii asingewaandika akina Mshume Kiate, Abdul Sykes, Dosa Azizi, Fauz na wengineo, mimi wewe sote humu ndani tusingeliwajua

Hio ndio nia yake. Na nia hiyo ameifanikisha vyema. Watu wengi sasa hivi tunawajua, nikiwemo mimi na wewe, mashujaa hawa waliopigania uhuru wa Tanganyika

Sasa kwa bahati nzuri, wazee wengi waliopigania uhuru bega kwa bega na Mwalimu walikua waumini wa dini ya kiislam. Utafuta vipi ukweli huu ??

Nawasilisha
 
Last edited by a moderator:
kaka Do santos,

kijana wako mpaka sasa hajaleta yale majina na sidhani kama ataleta. Sasa nini hukmu ya mtu kuahidi na kutotekeleza ahadi yake?
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said kasema wazi, kinaga ubaga, ameandika historia ya wazee wake, sasa hao wazungu ni wazee wake? kama wanatajwa basi moja kwa moja anaelezea wazee wake wanauhusiano upi au walikutana na mzungu yupi.

Kwanini wewe usiandike historia ya hao waarabu na wazungu na umtake yeye aandike? au hujui pa kuanzia? kama jibu lako ni ndio, basi nadhani Mohamed Said ungemuomba angekupa darsa zuri la kukuelewesha uanzie wapi na kama jibu lako ni hapana, unangoja nini?

Kuna jambo muhimu sana nyie ndugu zangu hamjalielewa katika mjadala huu,

Watu hatupingi Mohamed Said kuandika simulizi za WAZAZI wake,

Tunachokipinga kwanguvu zote katika NGANO hizi ni kuziita ni HISTORIA ya Uhuru wa TANGANYIKA upande wa Pili!

Ukishaita ni HISTORIA ya Uhuri wa Tanganyika maana yake sasa unawazungumzia watanzania 44.5 wenye dini na wasio na dini!

Lakini kibaya zaidi katika historia yake hiyo anawatenga watu waliopigania UHURU huo kwa dini!

Dini imekuwa muongozo mkuu kwake na kwenu nyinyi hapa jamvini!
 
Mkuu Yericko Nyerere hapo ndipo pagumu sana unapofanya mjadala na ustaadh Mohamed Said. Hana uwezo wa kujenga hoja kutetea hoja zake. Mara nyingi ni mtu wa kutaka kukulisha sumu tuuu ukimbana kwenye kona hachelewi kukimbia.

Sisi wengine tulishajaribu kujadiliana nae kila tukimtupia maswali ya maana kuhusu tenzi zake na masimulizi ya mababu/wazee wake anaishia kupepesa macho. Kwahiyo usimshangae ndivyo alivyo na ndivyo anavytaka kila mtu akubaliane nae, anasahau kwamba hapa ni JF na sio redio imani ambako haulizwi maswali ya kumchallenge!!

Umesahau pia kanisani huwa hawaulizi maswali bali ni kuambiwa ufunue mstari flani ktk kile kitabu chenye mikono mingi ya marekebisho ya watu ambapo kiongozi wako anadai ameoteshwa na mungu ununue saa kwa mil na ww kwa akili zako za kuvukia barabara unaona ni kweli
 
Last edited by a moderator:
Wana JF, tulianzia mbali...huyu hapa chini ni cousin wake zomba akiyatamka haya humu humu JF, nadhani kuna uwezekano wengi wakati huo hamkuwa mmejiunga na jamvi hili ila JF kwa kumbukumbu! Usidanganyike ukafikiri uko kwenye zile blogu za uswahilini. Shuhudieni cousin wake zomba akimpa somo Mohamed Said hapo zamani kidogo...kweli tulianzia mbali!

Hivi sasa zomba mwenyewe yuko humu ndani na bila haya wala aibu eti anamfagilia Mohamed Said, anatetea simulizi alizopewa na wazee wake Manyema na Wazulu...je, amewatupa wenyeji...hamnapo hakunapo! Dunia kweli mviringo.
Mkuu wangu Mag3, naikumbuka sana habari hii, nakumbuka hata mzee Mohamed Said mwenyewe pamoja na uzandiki wake alilazimika kumuomba msamaha Faiza Fox !!!
 
kuna jambo muhimu sana nyie ndugu zangu hamjakielewa katika mjadala huu,

watu hatupingi mohamed said kuandika simulizi za wazazi wake,

tunachokipinga kwanguvu zote katika ngano hizi ni kuziita ni historia ya uhuru wa tanganyika upande wa pili!

Ukishaita ni historia ya uhuri wa tanganyika maana yake sasa unawazungumzia watanzania 44.5 wenye dini na wasio na dini!

Lakini kibaya zaidi katika historia yako hiyo unawatenga watu waliopigania uhuru huo kwa dini????


la hasha,
hakuwatenga,na hakuchagua kuandika kulingana na iman ya mtu,bali alichokifanya yeye ni kuandika historia ya wale walioachwa na kufutwa kwa makusudi,,kwa bahati mbaya au nzuri wamekuja kuonekana wengi wao wana majina ya kiiislam au waislam,sasa nyinyi kutokana na chuki zenu za kidini mkaja kugeneralize ya kwamba analeta uchochezi wa kidni?ndio tukawaambia andikeni chenu..!
Hamtaki,na mmeishia kukejeli,

julius kambarage ni nani yako??
 
la hasha,
hakuwatenga,na hakuchagua kuandika kulingana na iman ya mtu,bali alichokifanya yeye ni kuandika historia ya wale walioachwa na kufutwa kwa makusudi,,kwa bahati mbaya au nzuri wamekuja kuonekana wengi wao wana majina ya kiiislam au waislam,sasa nyinyi kutokana na chuki zenu za kidini mkaja kugeneralize ya kwamba analeta uchochezi wa kidni?ndio tukawaambia andikeni chenu..!
Hamtaki,na mmeishia kukejeli,

julius kambarage ni nani yako??

Sasa mkuu hapa unanithibitishia rasmi kuwa kitabu cha Mohamed Said hujakisoma bali umekkuwa shabiki wake tu kupitia hapa jf huku ukiongozwa na itikadi ya kidini!

Kwa aliyekisoma hangejibu hivyo mkuu!

Kitafute usome au muombe Mohamed akupe ukisome mkuu,
 
Kuna jambo muhimu sana nyie ndugu zangu hamjalielewa katika mjadala huu,

Watu hatupingi Mohamed Said kuandika simulizi za WAZAZI wake,

Tunachokipinga kwanguvu zote katika NGANO hizi ni kuziita ni HISTORIA ya Uhuru wa TANGANYIKA upande wa Pili!

Ukishaita ni HISTORIA ya Uhuri wa Tanganyika maana yake sasa unawazungumzia watanzania 44.5 wenye dini na wasio na dini!

Lakini kibaya zaidi katika historia yake hiyo anawatenga watu waliopigania UHURU huo kwa dini!

Dini imekuwa muongozo mkuu kwake na kwenu nyinyi hapa jamvini!

Unapinga na huoneshi andiko unalolipinga?

Nyerere hajakaribishwa na kuwekwa kwa Abdulwahid Sykes, mtaa wa Stanley kabla ya Uhuru? ulikuwa unalijuwa hilo kabla ya kumsoma Mohamed Said?
 
la hasha,
hakuwatenga,na hakuchagua kuandika kulingana na iman ya mtu,bali alichokifanya yeye ni kuandika historia ya wale walioachwa na kufutwa kwa makusudi,,kwa bahati mbaya au nzuri wamekuja kuonekana wengi wao wana majina ya kiiislam au waislam,sasa nyinyi kutokana na chuki zenu za kidini mkaja kugeneralize ya kwamba analeta uchochezi wa kidni?ndio tukawaambia andikeni chenu..!
Hamtaki,na mmeishia kukejeli,

julius kambarage ni nani yako??

Hawajui hata waanzie wapi.

TANU bila kumtaja Sykes? hata hilo jina la TANU lisingekuwepo. Roho zinawauma, na Kikwete akaamuwa kuwataja rasmi kwenye sherehe za Uhuru kwa mara ya kwanza. Hapo sasa.
 
Kuna jambo muhimu sana nyie ndugu zangu hamjakielewa katika mjadala huu,

Watu hatupingi Mohamed Said kuandika simulizi za WAZAZI wake,

Tunachokipinga kwanguvu zote katika NGANO hizi ni kuziita ni HISTORIA ya Uhuru wa TANGANYIKA upande wa Pili!

Ukishaita ni HISTORIA ya Uhuri wa Tanganyika maana yake sasa unawazungumzia watanzania 44.5 wenye dini na wasio na dini!

Lakini kibaya zaidi katika historia yako hiyo unawatenga watu waliopigania UHURU huo kwa dini????
Yericko Nyerere,

Mbona hujibu unachoulizwa, nimekuambia wewe unaijua historia ya Tanganyika tutajie wanachama 20 wa mwanzo wa TANU. Nimekuwekea picha ya gari apo nimekuuliza hiyo ndiyo gari uliyosema Nyerere alipewa na Mariale hujibu.

Ulisema utaleta majina ya waasi waliopewa msamaha na Nyerere na wengine wengi kupewa vyeo wengine mabalozi mpaka leo kimya.
Mag3, Nguruvi3, Jasusi, tunaomba mumkumbushe jamaa yenu.
 
Last edited by a moderator:
By zomba
Mohamed Said kasema wazi, kinaga ubaga, ameandika historia ya wazee wake, sasa hao wazungu ni wazee wake? kama wanatajwa basi moja kwa moja anaelezea wazee wake wanauhusiano upi au walikutana na mzungu yupi.

Kwanini wewe usiandike historia ya hao waarabu na wazungu na umtake yeye aandike? au hujui pa kuanzia? kama jibu lako ni ndio, basi nadhani Mohamed Said ungemuomba angekupa darsa zuri la kukuelewesha uanzie wapi na kama jibu lako ni hapana, unangoja nini?

Kuna jambo muhimu sana nyie ndugu zangu hamjalielewa katika mjadala huu,

Watu hatupingi Mohamed Said kuandika simulizi za WAZAZI wake,

Tunachokipinga kwanguvu zote katika NGANO hizi ni kuziita ni HISTORIA ya Uhuru wa TANGANYIKA upande wa Pili!

Ukishaita ni HISTORIA ya Uhuri wa Tanganyika maana yake sasa unawazungumzia watanzania 44.5 wenye dini na wasio na dini!

Lakini kibaya zaidi katika historia yake hiyo anawatenga watu waliopigania UHURU huo kwa dini!

Dini imekuwa muongozo mkuu kwake na kwenu nyinyi hapa jamvini!
Nakupa hongera sana ndg Mohamed Said kwa kutufumbua macho kinachowauma kina Yericko ni kwa vp waislam ndo walikua wengi na mstar wa mbele ktk harakat za ukombozi tofauti na imani yao lkn hukulenga swala la udini bali ni kuonesha ni kwa vp wazee wa kiislam hawakuthaminiwa kwa mchango wao tofauti na huyo mzanaki ambaye nae ni mkimbiz wa toka rwanda
 
Kuna jambo muhimu sana nyie ndugu zangu hamjalielewa katika mjadala huu,

Watu hatupingi Mohamed Said kuandika simulizi za WAZAZI wake,

Tunachokipinga kwanguvu zote katika NGANO hizi ni kuziita ni HISTORIA ya Uhuru wa TANGANYIKA upande wa Pili!

Ukishaita ni HISTORIA ya Uhuri wa Tanganyika maana yake sasa unawazungumzia watanzania 44.5 wenye dini na wasio na dini!

Lakini kibaya zaidi katika historia yake hiyo anawatenga watu waliopigania UHURU huo kwa dini!

Dini imekuwa muongozo mkuu kwake na kwenu nyinyi hapa jamvini!

Yericko Nyerere,

Naomba unijibu maswali yafuatayo

1. Statistically, Dar es Salaam, enzi za kupigania uhuru, watu wa dini gani walikua wengi, Waislam au Wakristo?

2. Watu wa dini gani walikua na kipato kizuri cha fedha, waislam au wakrsito?

3. Watu wa dini gani walikuwa "ma-alwatan" Dar es Salaam, waislam au wakristo?

4. Watu wa dini gani walikua mashuhuri Dar es Salaam, waislam au wakristo?

5. Watu wa dini gani walikua wanamabiashara makubwa makubwa Dar es Salaam, waislam au wakristo?


NB: Alichokifanya mzee Mohamed Said kafanya kwa usomi zaidi. Amesimuliwa na wazee wake historia ya uhuru. Kwa kujua kuwa watakuja watu baadaye kuja ku-challenge mawazo yake, akaamua kufanya research. Kasoma hotuba mbalimbali, kasikiliza mikanda ya sauti mbali mbali, kanukuu publications zilizipotia mbalimbali. Yote hayo huyaoni unaziita ngano.

Sasa mkuu tukuelewe vipi?

Kwa kusema ngano, unamaanisha kuwa akina Mshume Kiate, Abdu Sykes, Dosa Aziz, Fauz wote hawa ni fiction, hawakuepo.

Maswali ya hapo juu watakuongoza kwa nini kitabu cha mzee Mohamed Said kinabeza sana waislam katika kupigania uhuru

Alamsiik
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilikwenda mara mbili pale uwanja wa Taifa. Ule mwili wa Mwalimu ulikuwa umekuwa treated vizuri. Hakukuwa na nzi. Kioo kile kiliwekwa mahsusi kwa kuzuia vumbi kwa kuwa banda lile lilikuwa wazi pande mbili. Katika mambo ambayo sitamsahau Mkapa ni namna alivyo u-handle msiba wa Mwalimu. Tumlaumu kwa mengine.

Niliwaona kwa macho yangu na si kuhadithiwa. Vumbi linamdhuru maiti au waagaji? Fikiri kidogo. Nimefunga mjadala huu wa maiti ya nyerere sito kujibu wewe wala mwingine kwa hili tuendelee na mjadala wa jinsi Nyerere alivyokaribishwa na kuwekwa kwa kina Sykes mtaa wa Stanley, ulikuwa unalijuwa hilo kabla ya kumsoma Mohamed Said? kama jibu lako ni ndiyo haya tuelezee kwa upande wako ulichokijuwa. Na kama jibu lako ni siyo, basi umefaidika na maandiko ya Mohamed Said na msome vizuri ujuwe nchi hii ilitokea wapi ili uelewe inakoelekea.
 
Yericko Nyerere,

Naomba unijibu maswali yafuatayo

1. Statistically, Dar es Salaam, enzi za kupigania uhuru, watu wa dini gani walikua wengi, Waislam au Wakristo?

2. Watu wa dini gani walikua na kipato kizuri cha fedha, waislam au wakrsito?

3. Watu wa dini gani walikuwa "ma-alwatan" Dar es Salaam, waislam au wakristo?

4. Watu wa dini gani walikua mashuhuri Dar es Salaam, waislam au wakristo?

5. Watu wa dini gani walikua wanamabiashara makubwa makubwa Dar es Salaam, waislam au wakristo?


NB: Alichokifanya mzee Mohamed Said kafanya kwa usomi zaidi. Amesimuliwa na wazee wake historia ya uhuru. Kwa kujua kuwa watakuja watu baadaye kuja ku-challenge mawazo yake, akaamua kufanya research. Kasoma hotuba mbalimbali, kasikiliza mikanda ya sauti mbali mbali, kanukuu publications zilizipotia mbalimbali. Yote hayo huyaoni unaziita ngano.

Sasa mkuu tukuelewe vipi?

Kwa kusema ngano, unamaanisha kuwa akina Mshume Kiate, Abdu Sykes, Dosa Aziz, Fauz wote hawa ni fiction, hawakuepo.

Maswali ya hapo juu watakuongoza kwa nini kitabu cha mzee Mohamed Said kinabeza sana waislam katika kupigania uhuru

Alamsiik

Hana majibu ya hayo ingawa anayajuwa.
 
Niliwaona kwa macho yangu na si kuhadithiwa. Vumbi linamdhuru maiti au waagaji? Fikiri kidogo. Nimefunga mjadala huu wa maiti ya nyerere sito kujibu wewe wala mwingine kwa hili tuendelee na mjadala wa jinsi Nyerere alivyokaribishwa na kuwekwa kwa kina Sykes mtaa wa Stanley, ulikuwa unalijuwa hilo kabla ya kumsoma Mohamed Said? kama jibu lako ni ndiyo haya tuelezee kwa upande wako ulichokijuwa. Na kama jibu lako ni siyo, basi umefaidika na maandiko ya Mohamed Said na msome vizuri ujuwe nchi hii ilitokea wapi ili uelewe inakoelekea.

kaka yangu zomba

wanakutoa kwenye reli kaka. Usibishane nao kwa mas-ala ambayo ni futile. Watakushinda. Bishana nao hoja, uone kama watakuja

Maswali yangu Yericko hajibu ng´ooo

Trend yake tunaijua.
 
Last edited by a moderator:
Aandike mwingine ahukumiwe Zomba, nikikuita punguani ntakuwa nimekosea, nakusameh tu. Hata tungekuwa mapacha licha ya cousins usingethubutu kunihukumu, nihukumu kwa ninayoyaandika, kama huna, kaa kimya na uwache ufataani.

Huo mjadala ulikuwa na chanzo chake, mbona hukikumbushii na post iliyokuja ikawekwa aya ya Qur'an ndivyo sivyo ikafutwa haraka haraka ili kosa lisiwepo, mbona yote huyasemi?

Hilo lilikuwa darsa la kwanza kwa Mwanakijiji na Darsa lingine jana. Unalo?
Mapovu yanini?
 
Kichwa cha habari cha mleta mada na utumbo wa habari aliouandika ni vitu tofauti, sijaiona hiyo dhihaka iko wapi, mleta mada unaweza nionesha ukishirikiana na au wapambe wako?
 
Povu mimi au nyinyi mnaojisikia vibaya baada ya kuelewa historia ya nchi hii siyo kama mnavyotaka iwe. Kumbe hata TANU iliasisiwa na Waislaam.
Zee zima hata akili huna, sasa kama TANU iliasisiwa na waislam watanzania tufanye nini? unataka watanzania wote tuslimu? huna maaana mjinga wewe!
 
Back
Top Bottom