Mchambuzi,
Inaingia akili mweka hazina wa mwanzo wa TANU mwaka 1954 Idd Faiz Mafongo ambaye alikuwa anasafiri mpaka Tanga kukusanya pesa Nyerere aende UNO sio muasisi wa TANU.
Naona mnaanza kukataana maandiko yenu, nilikwambia, bado u mdogo katika haya mambo usije kwa pupa.
Sijatoka nje ya mstari nimekunukuu kwa kuwekea rangi nyekundu kwenye maandiko yako na nikakubandikia bandiko lililopo post #1 la Yericko Nyerere analomnukuu hotuba ya Nyerere.
Sasa hapo unasema kuwa Nyerere muongo? maana hayo maandiko Yericko anamnukuu Nyerere, au unasema Yericko muongo? au unasema wewe hujui ulichokiandika?
Kwa hiyo amma wewe unampinga Nyerere au unakataa maandiko ya Yericko? ikiwa wote hao unakataa maandiko yao na pia una maana kuwa huamini kama hayo ni maneno ya Nyerere. Kwa hilo, hapo utakuwa umetimiza ule usemi wako, kuwa kiwango chako sikuwezi. Hicho ni kiwango cha hali ya juu cha kuukimbia ukweli na kushindwa utu hata wa kukiri kuwa ulikosea, kuna mjadala hapo?
Kwa kujua au kutokujua, kwa makusudi au kwa bahati mbaya kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana kuhusu hasa ni akina nani waliodai Uhuru wa Taifa letu Tanganyika.
Upotoshaji hauishii hapo tu bali hata dhana halisi ya Maadhimisho yenyewe,Leo usikia wanasema nisherehe za Uhuru wa Tanzania Bara,
Hakuna nchi au taifa duniani linaloitwa- Tanzania Bara, halijapata kutokea na halitotokea katika uso wa dunia hii taifa au nchi iitwayo Tanzania Bara.
Muunganano wa Tanganyika na Zanziber ni mfano wa kuigwa duniani, hakuna muungano wenye hadhi kinadharia na kivitendo dunia kama huu, Kila aliye muamini wa amani duniani na aupiganie kuulinda na kuuhuisha uwe na mafaa kwa wa Tanzania
Lakini muungano unaomeza taifa lingine na kubaka fikra za Watanganyika huku ukipuliza kwa dhihaka Wazanzibar haufai, yatupasa tuuhuishe mapema kabla mbongo za wahafidhina hazijamka na kushuhudia hasira ya Mtanganyika chini ya uvuli wa fikra za ccm mfilisi.
Sihubiri KUUVUNJA muungano huu murua bali, nahubiri uwepo wa Tanganyika na Zanzibar zenye kuwajibika kwa watu wao na uwepo Tanzania yenye kujikita Kimuungano.
Suala hili ni kama halina mantiki ya mageuzi ya mstakabali wa Mtanganyika, lakini aliye Mtanganyika anatambua mafaa ya matokeo ya hili.
Zanzibar ni nchi, yenye mamlaka kamili ya ndani, ina KATIBA, ina rais, ina jeshi, ina mahakama, ina bunge, ina makamu wa rais na zaidi ina makamu wa pili wa rais.
Je Tanganyika ipo wapi????? ilikufa ili iweje???
Vita baridi ilishaisha tunaitaka nchi yetu ikiwa na mipaka ileile.
CCM wamekuwa na kapropaganda kakidikteta kwa mtu yeyote azungumzia Muungano, huitwa mchochezi na zaidi MUHAINI.- Ni faida gani ccm mnzopata kwenye aina ya muungano huu?
Mimi nashauri mfumo wa serikali TATU ndiyo suluhu ya manung'uniko ya wakaazi wa pande zote za muungano huu.
Na katika hili, historia ya wapigania uhuru wa nchi yetu iwekwe sawa, Inaamini kuwa wazee 17 kutoka pande zote za nchi yetu walishiriki kikamilifu kudai uhuru wetu kinyume na historia inavyopindishwa au kuaminishwa kwamba ni watu wa Kariakoo pekee walifanya hivyo.
Orodha ya waliodai uhuru wa Taifa hili ni kama ifuatavyo:
Julius Kambarage Nyerere, Ali Sykes, Lameck Makaranga, Gosbert Milinga, Gelmandus Pacha, Joseph Kimalando, Japhet Kirilo, Abubakar Ilanga, Saadan Kandoro, Suleiman Kitwara, Kisunguta Kabara, Chewa Said Chewa, Dosa Aziz, Patrick Kunambi, Joseph Kasela Mbantu, John Rupia, Abdulah Sykes
Kama kuna yeyote niliyemsahau naomba masahihisho wanamnakasha wenzangu!
Inawezekana kabisa, cha ajabu ni nini? Nilishajadili maana ya founding members na early recruits; mweka hazina anaweza kabisa kuwa an early recruit, unless unalitazama kwa nafasi zetu ndani ya CCM ya leo kwamba Katibu wa fedha na uchumi ni mtu mzito kuliko meli;
Mchambuzi,Mchambuzi said:Hoja yangu ya msingi hapa ni kwamba ingawa historia inatueleza kwamba waasisi wa TANU ni wale kumi na saba, kuna uwezekano pia kwamba wapo wengine ambao hawakupewa heshima hiyo, lakini wapo wengine wengi zaidi wa kujisingizia kwani mkoloni alikamata sana watu kama kina Chifu Marealle n.k;
Yesterday, I was very pleased when I listened to Chief Marealle II, the Mangi Mkuu of the Wachagga, making his statement. I should like, if I may say so, to recommend the speech which the Mangi Mkuu made.
He expressed then what, I am sure, everyone in Tanganyika would agree were our fears and hopes about the future. And I believe that the statement of Chief Marealle II, which was virtually the same kind of statement which I have made to this Council before, has even greater significance than mine.
Kuna vitabu vingi sana vimeandika historia ya TANU, kwa mfano the critical phase in Tanzania 1945 - 1968 by cranford Pratt; Lakini vingi ni vya zamani sana, ni ngumu kuvipata mpaka ubahatike kuvikuta kwenye bookshops za old books ambazo zipo in many european countries; tembelea any used book store utakutana na vitabu vingi sana vya historia ya Tanganyika na Afrika, na vitabu hivi vya zamani ni vizuri zaidi kwani viliandika historia as it happened, sio vya sasa vya kupindishwa pindishwa kwa malengo ya kisiasa au kukidhi matakwa ya AID community;
Bahati nzuri sana, mimi si muislam wala mkristo....I am an adent ATHEIST, so i am not troubled with your dogmatism.
Tatizo unafananisha siasa za CCM na TANU.
Suala sio kukataana na yericko au kupinga kauli za mwalimu, swala ni je, mwalimu alikuwa na influence gani ndani ya TAA? Unang'ang'ania hoja ya uelewa wangu mdogo wakati wewe pengine umejaa uelewa mkubwa lakini wananchi wanazidi kuwachoka katika nafasi zenu; huo uelewa unakuwa na maana gani sasa, kutumikia familia mkiwa ikulu?
Why not kama TAA inafananishwa na TANU?
Nguruwe ni haramu kwa nani? mbona hushirikishi ubongo wako? Hapo kwenye nyekundu unasema kitu gani na baadae unafanya nini? You are not consistent because you are obsessed with religious fundamentalism to the extent of being an idiot!Mleta mada anetuomba tusitoke nje ya mada, kwa hiyo tafadhali tumridhie matakwa yake na tubaki kwenye mada. Ukiwa una dini au hauna dini nawe pia kama nguruwe ni haramu kuliwa.
cc Yericko Nyerere
Yericko,
Habu soma hii kama unaweza kupata chochote cha kuweka mambo wazi zaidi:
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="colspan: 2"] On the formation of TANU, Iliffe has noted that: [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] ''...none of the published accounts, even those of politicians like S.A. Kandoro or E.B.M. Barongo, is particularly revealing. Available government records contain little of importance. President Nyerere has never analysed the process in public...The most difficult problem of all is to evaluate president Nyereres own role in the process of transformation, specially the extent to which he was planning a mass movement or was led into it by provincial politicians already involved in mass action. [1][/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601, colspan: 2"]
Abdulwahid now 30 years old, had accomplished the ambition of his lifetime, an ambition which had originated from his late father, who 25 years before had predicted a continuous struggle between Africans of Tanganyika and the colonial state.
Kleist Sykes had foretold the role of the next generation. In a letter he wrote in 1933 to Mzee bin Sudi, then president of the African Association, Kleist at the tender age of 29 years had this to write:[/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 59"][/TD]
[TD="width: 601, colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601, colspan: 2"] Kleist talked about civilization, which today would mean self-determination, and about tribes which TANU transformed into a nation. In 1954, a quarter of a century later in the same building, 25 New Street, which he had helped to build through self-help, the new generation in Tanganyika was transforming the African Association which he had founded in 1929 into an open political party, the aim which was to prepare the people for independence. And among those leading the emerging mass movement were his three sons, Abdulwahid, Ally and Abbas.
[/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601, colspan: 2"] Ally Sykes designed the TANU membership card and chose the national colours and emblem.
The colours were black representing the African race and green for the land. The design of the card was similar to his Tanganyika Legion card. After finishing designing the card he approached the Tanganyika Standard Newspapers to have the card printed for him. Out of his own pocket he had the first 1000 cards printed and using TAGSA funds he printed another 2000 cards. Card No. 1 was issued by Ally Sykes to TANU Territorial President Julius Kambarage Nyerere and bears his signature.
It was proposed that the first few cards should be auctioned and the money collected should go to the Party treasury. Abdulwahid, Ally, Dossa Aziz, Rupia and others bid for the cards. Ally outbid his elder brother Abdulwahid and received TANU card No. 2; Abdulwahid was issued with card No. 3; Dossa Aziz card No. 4; Phombeah card No. 5; Dome Okochi, one of the Kenyan nationalists in TANU, got card No. 6 and Rupia card No. 7. Bibi Titi Mohamed got card No. 16; Idd Tosiri card No. 25.[/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601, colspan: 2"][/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601, colspan: 2"][/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601, colspan: 2"][/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601, colspan: 2"] Soon after the formation of TANU, the United Nations visiting mission came to Tanganyika in August, 1954. By then TANU was not yet registered by the government.
The Party received its registration on 30th of November, 1954 after it had overcome numerous frustrating formalities put forward to it by the government.
Bibi Zainab, Ally Sykes wife remembers the day, a hot afternoon when Nyerere came to their house at Kipata Street (now Kleist Sykes Street) where Abdulwahid and Ally were waiting for him to give them information on the registration of the party. Nyerere looked tired and worried.
He sank in a sofa burying his face in his arms and was silent for a time. Abdulwahid and Ally were waiting for him to speak. Nyerere had bad news. The government had refused to register TANU.
Nyerere told them that the government had refused them registration on technicalities. In a dramatic show of organisation and tact, after learning that the government had turned down TANUs application on the grounds that TANU had not enough members, Abdulwahid asked Said Chamwenyewe to go to Rufiji, his home area, to register members for TANU. Rufiji is a predominantly Muslim area. TANU therefore had no problem in getting members. In fact the early members of the party were from Gerezani and Rufiji.
Iliffe has noted that:[/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601, colspan: 2"] ''The pattern of TANUs support in Dar es Salaam needs study, but financial returns for 1958 show the bulk of support in the old African quarters-Kariakoo, Ilala, Gerezani... by September, 1955 Dar es Salaam, with some 110,000 people, had taken some 25,000 of the 40,000 - 45,000 TANU membership cards issued throughout the country. It was the base from which TANU conquered Tanganyika.''[5][/TD]
[TD="width: 59"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[1] Iliffe, 'The Role of African...' op. cit. p. 24.
[2] See Buruku, op. cit. p. 105.
[3] The present author has written a short article to clarify the
controversy. See New African (London) issues of March and May,
1985. The author's May article was in response to a March article
by Kasella Bantu.
[4] The TAA leadership did not draft a new constitution. The TANU
constitution was copied from Kwame Nkrumah's Convention Peoples'
Party (CPP), substituting TANU for CPP. Information from Tewa Said
Tewa.
[5] Iliffe, A Modern History... pp. 517-8.
Nguruwe ni haramu kwa nani? mbona hushirikishi ubongo wako? Hapo kwenye nyekundu unasema kitu gani na baadae unafanya nini? You are not consistent because you are obsessed with religious fundamentalism to the extent of being an idiot!
Asante ustaadh!ujumbe umekufikia bila chenga au vipi?Nna uhakika unakunywa ile kitu ambayo haiwekwi kwenye chupa mnaitaje ile? saa mbaya hizi.
Mchambuzi,
..wengi tumefundishwa kwamba Chief Marealle alikwenda UN na kupinga juhudi za wa-TGK kupata uhuru.
..sasa hebu soma hapa nukuu ya Nyerere akizungumzia hotuba ya Chief Marealle UN kama ilivyotolewa ktk gazeti la serikali Daily News.
kupata habari nzima nenda hapa: http://dailynews.co.tz/home/?n=26254
cc😡Jasusi, Nguruvi3, Ritz, zomba, Mohamed Said
Yamekuwa hayo tena? amma kweli wewe ni mkaribu wa kusahau.
Maandiko yako ya mwanzo na sasa tofauti au nikuletee? kwanza hukuongelea "influence" au umesha sahau?
Mambo ya Ikulu yanahusu nini saa hizi? kaa kwenye mada ule zako, naona sasa unaanza kubadili nyimbo ilikuwa wewe ni bora zaidi sasa unaanza vingine. Utakaa sawa tu wala halina kificho, ngoja nipitie nyuzi nipate darsa kutoka kwa Maalim wangu wa JF Mohamed Said.