Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Haya tumekusikia Nyerere, sasa jibu swali alilokuuliza.
 

N,

Kwa kweli hiyo ID wala si kitu cha maana kiasi hicho cha kutuvurugia mjadala na kutoleana ukali.

Nimekuwa Member wa Library of Congress zaidi ya miaka 20 iliyopita nimekuwa nje ya Dar es Salaam
kwa zaidi ya miaka 15 na nikawa hata hapo USIS sifiki.

Tujaalie hiki kitabu changu si lolote.
Hakuna shida.

Hivi tunakwenda toleo la tatu la kitabu na kwa kweli huu mjadala wa JF umeongeza sana usomaji
wa kitabu hiki.

Si hayo tu kila uchao napokea pongezi kwa kitabu.

Kama nisemavyo si lazima mtu aamini yale niliyoandika katika kitabu kile.
Msomaji ana khiyari yake.

Lakini ukweli utabaki hivyo hivyo kuwa kitabu kilipata ''review'' mbili katika Cambridge Journal of African
History na katika majarida mengine.

Kitabu kimepata ''serialisation'' tatu katika The East African.
Kutokana na kitabu hicho nimealikwa kuzungumza Univeristy of Ohio.

Kutokana na kitabu hicho nimealikwa kuzungumza Northwestern University, Chicago.
Kutokana na kitabu hicho nimealikwa kama visiting scholar Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin
ambako nimezungumza.

Achilia mbali kuzungumza Chuo Kikuu Cha Johannesburg, Ibadan, Kenyatta...
Islam Propagation Centre (IPC), Durban...

Mambo ni mengi, mengi, mengi tu...

Kitambulisho cha Library of Congress...
Ngoja nikufahamishe nilipataje kupewa uanachama.

Nilikuwa nikiandika makala katika miaka ya 1980 makala ambazo mwakilishi wa Library of Congress
Tanzania akawa anazipeleka huko Washington.

Hizi makala zilikuwa takriban zote ni kuhusu Islam and Politics...
Ndipo waliponitafuta na kunipa huo uanachama.

Lipi kubwa hapo?
 
Yericko Nyerere,

Utakatifu wa Nyerere unaoutajataja na kumuita mara kadhaa kwenye post zako, ni kwa ajili ya Nyerere kuwatumikia Watanzania ambao wengi wao si wakatoliki au kwa kutumikia wakatoliki wachache na kanisa katoliki kwa mgongo wa madaraka aliyoaminiwa na kukabidhiwa?

"Sitakitumia cheo changu wala cha mwenzangu kwa faida yangu"! unayajuwa hayo maneno?
 
Zanzibar: Kwa kujitangaza nchi, imekiuka katiba ya Muungano?

Makala/Source: Gazeti la Raia Mwema

Umetuletea bandiko refu sana la Gazeti la Raia Mwema, sijui hilo ndiyo umebandika kuthibitisha kichwa cha habari au ndio bado unahaha baada ya kula zile za "Camp David"?
 

J,

Njelu Kasaka...
Nimemsoma siku nyingi lakini sikuona hata haja ya kumjibu.

Kwanini?

Unajua wakati umepita hayo mambo ya OIC ni mchuzi uliochujuka.
Wazanzibari wanadai nchi yao hivi sasa.

Hili ndilo muhimu la kuwashughulisha watu.

Lakini ikiwa unataka tuzungumze hili naomba fungua uzi mpya.

Insha Allah nitachangia kile nijuacho na naamini wanaukumbi
watapata mengi.

Njelu Kasaka...
Very interesting character...
 

Wewe toka anze kuandika tunakusoma kwa matusi tu na kutisha watu tupe basi za Wazee wa TANU kina Dossa Azizi, John Rupia, Clement Mtamila, Bibi Titi, huna wewe ni matusi tu.

Tupe basi kisa chochote cha uhuru huna.

Umekuja kwa mkwala mbuzi nikategemea nasoma nondo zako kumbe matusi tu.

Tupe basi habari za New Street wakati Gavana Sir Donald Cameron akifungua ofisi za African Association.
 

R,

Kuna kitu ningependa kugusia hapa.
Baada ya uhuru palitokea fitna kubwa sana kati ya Nyerere na wenzake.

Wale ambao hawakuwa na uwezo mkubwa wa kuhimili vishindo waliangamia.

Dk. Michael Lugazia kamaliza maisha yake Ocean Road Hospital akiwa na kinyongo
kikubwa.

Dk. Wilbard Mwanjisi alikimbia nchi baada ya ugomvi na Nyerere.

Halikadhalika Dk Kyaruzi akagombana na Nyerere na alikataa Kyaruzi kusema kisa
cha ugomvi wao.

Chief Kidaha Makwaia akafungwa Tunduru...
Chief Msabila Lugusha na yeye akafungwa.

Denis Phombeah akakimbia nchi akamfuata Kambona Uingereza na akafa huko.

Almuradi mambo kwa kweli yalivurugika sana.
 


Hoja yangu kuhusu ID nimeileta kwa sababu ya maelezo yako before

Ulizunguza hayo hapo juu kwa lengo la kuonyesha ni namna gani wewe ni mwandishi mahiri na jinsi kitabu chako kilivyo mahiri. Na hii si mara yako ya kwanza. Nilichochotaka kuweka sawa ni kuwa kuwa na kitabu katika library of congress si ujuvi wala ujuzi. Pili ni kuwa ili uwe member wa library of congress usiye raia wa marekani lazima upewe ID. Ambayo wewe huna period. And I can tell hujawahi hata kuingia mle maktabani. Otherwise kwa wamerekani ukiwa over 18 na una kitambulisho kilichotolewa na serikali ya Marekani mfano drivers licence u can access the library. Therefore it is not such a big deal kama ulivotaka kupotray. Ujumla wa hoja yangu ni kwamba hadithi zako si za kuaminika 100%. Umeshazoea kuhadhiri na kusikilizwa tu na si ku-debate.
 

Mohamed Said,

Hawa madaktari watano wametoa msaada mkubwa sana lakini leo nani anawataja.
 
Last edited by a moderator:

Wewe huna hata hadhi ya kujadiliana na mimi, mpaka pale utakapojifunza kufikiri kwa kutumia bongo yako. Otherwise wewe endeleza ushabiki tu.........
 

Mtu anaongelea kitabu chake kipo huko kinasomwa, wewe unaongelea kuingia. Hujioni kuwa una walakin hapo?

wewe uliyeingia humo kuna kitabu chako au ulienda kusoma vya wenzako? au ulienda kutalii na kikundi cha vitoto vya wa shule?

Na vyuo vyote alivyovitaja, wewe umeona hiyo library tu?

Na hapo ndiyo umethibitisha na kumsaidia Yericko Nyerere? Kwenye uzushi wake?

Umekuja na mbwembwe na matusi na kejeli tukadhani utaleta kitu cha maana kitachotufanya tuingie kwenye makabrasha yetu kumbe unakuja kudai id?

Usituletee viroja hapa, njoo na hoja zenye mshiko, sasa hiyo id akiwanayo au asiwe nayo ndiyo Sykes atayeyuka kwenye historia? Ndiyo Mshume atayeyuka? Ndio Bibi Titi atafutika? Ndio Chifu Mkwawa atakuwa si Abdallah?

Ujuha mwingine unakuwa hauna mipaka, amma kweli "fools are never born fools, they simply act foolish" - Zomba.
 

Wewe huna hata hadhi ya kujadiliana na mimi, mpaka pale utakapojifunza kufikiri kwa kutumia bongo yako. Otherwise wewe endeleza ushabiki tu.........

Ukitaka kujua upumbavu wa mtu ni kusoma maandiko yake na pumba anazoziandika.

Mohamed Said, kajishusha sana kukujibu wewe kitu kikubwa watu wanachojifunza kwako ni matusi mapya hiyo ndiyo hadhi yako humu jamvini.

Hujui chochote kuhusu historia ya Tanganyika.
 
Last edited by a moderator:

zomba, Mzee wa hints,

Kweli kauzu zaidi ya dagaa, nilivyomsoma alivyokuja kwa mbwembwe akasema twende taratibu nikasema sasa nikae kitako nifyonze elimu.

Kinyume chake naona anaporomosha matusi na kudai ID...Ha haa haaa.

"Fools are never born fools, the simply act foolish"
 
Last edited by a moderator:

Asalaam aleykum Zomba yaani hawa wajinga wajinga unavyowaelimisha unanufurahisha sana ingekuwa ni jeshini ningekupa nyota 5 au nikuite kifimbo cheza wale wachafuzi wote unawatandika ipasavyo inshaalah mungu akupe umri mrefu
 
Asalaam aleykum Zomba yaani hawa wajinga wajinga unavyowaelimisha unanufurahisha sana ingekuwa ni jeshini ningekupa nyota 5 au nikuite kifimbo cheza wale wachafuzi wote unawatandika ipasavyo inshaalah mungu akupe umri mrefu

Amin, Ya Raab Amin, nawe uzidishiwe kila lenye kheri kwako na kwa vizazi vyako na kwa umma wote wa Mtume Muhammad SAW.
 
Jasusi,

Naona upo kama haupo, umepewa ofa ya kufunguwa nyuzi unajifanya hujaona? Hivi hutaki tupate darsa jingine tupanuwe mawazo?

Usigwae, ilmu ni rizki na hukujia pasipo wewe kutegemea na kupewa jukumu kama ulilopewa na Mohamed Said litaloweza kuwapatia wengine ilmu ukaiwacha fursa hiyo ni mfano wa mtu aliyepewa jukumu la kugawa sadaka akaingia nayo mitini na asiifikishe kwa wengi. Sitaki kuamini kama wewe unaweza kuingia na sadaka yetu "mitini".
 
Last edited by a moderator:

Namnukuu mwalimu wako hopefully utagundua ----- ulioandika




Hizo zilikuwa tambo za mwalimu wako, na ni hulka yenu watanganyika kukuza jambo kwa vithibitisho visivyo na mashiko. It is very common eti kwa kuwa mtu ni mlinzi wa ikulu basi hadithi yake kuhusu mazungumzo ya JK na George Bush ni lazima iaminike. Au ukiwa kimada wa gavana wa benki kuu basi unafahamu benki kuu inaendeshwaje? Sasa toka tumeingia kwenye hii information age watu wa aina yako mnapata tabu sana. Na kwa kusisitiza tu hakuna mtu anaingia humu eti kumsaidia mwingine labda wewe. Kinachofanyika ni ku-refute hoja za kichochezi kwa kutumia facts na logic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…