zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Namnukuu mwalimu wako hopefully utagundua ----- ulioandika
Hizo zilikuwa tambo za mwalimu wako, na ni hulka yenu watanganyika kukuza jambo kwa vithibitisho visivyo na mashiko. It is very common eti kwa kuwa mtu ni mlinzi wa ikulu basi hadithi yake kuhusu mazungumzo ya JK na George Bush ni lazima iaminike. Au ukiwa kimada wa gavana wa benki kuu basi unafahamu benki kuu inaendeshwaje? Sasa toka tumeingia kwenye hii information age watu wa aina yako mnapata tabu sana. Na kwa kusisitiza tu hakuna mtu anaingia humu eti kumsaidia mwingine labda wewe. Kinachofanyika ni ku-refute hoja za kichochezi kwa kutumia facts na logic.
Sasa wewe jibu, maswali niliyokuuliza, la kwanza, hapo umeona kuna library tu iliyotajwa? Halafu rudia ile post yangu ujibu mengine.
Mwenyewe ndiyo unajiona umekuja na facts? Na logic? Kwi kwi kwi teh teh teh!
Zimesharuka? Naona matusi yamepunguwa. Kuna sadaka ya darsa nilitakiwa nikupe, nilikuwa nangoja uwe swahi nikupatie sadaka yako.