Ni vizuri watu tukapewa darsa jinsi serikali na vyombo vyake inavyofanya kazi. Sio kila aliyewekwa ndani au kutiwa msukosuko kidogo kafanyiwa hivo na Rais wa nchi. Mnataka tuamini kuwa aliyemweka ndani na kumnyima dhamana Sheikh Ponda ni Rais wetu Jakaya? Kwa nini kila aliyewekwa ndani au kufungwa wakati wa utawala wa Mwalimu lawama zinamwangukia yeye bila hata kutaka kujua sababu?Mkuu Ngongo,
Unauliza swali wakati jibu lipo wazi kila mmoja anaeleza madhira yake, alichofanya Mohamed Said kaeleza madhira yaliyowakumba wazee wake ambao ni waislam.
Ni kweli Kambarage aliwatosa hawa madaktari na wengine wakakimbia nchi, familia za hawa wazee wazalendo zipo mpaka sasa ndiyo wanajua madhira walioyofanyiwa wazee wao na Kambarage.
Lakini kwanye ili sidhani kama Nyerere atapata lawama kisa kawafanyia wakiristu wenzake.
Jamani, kujenga NCHI MOJA isiyo na KABILA wala DINI haikuwa kazi ndogo kama unakuwa na watu kama zomba, Mohamed Said, THE BIG SHOW, ..., ambao DINI ni kila kitu kwao.
Last edited by a moderator: