THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Mohamed Said, kitabu chako na maneno yako mengi hapa jamvini nikuwa unawawakilisha waislamu,
Naomba kujua, je unabaraka zao?
You are the one who attacked me with your silly accusation! I repeat, leave me alone. I don't belive the stories and fantasies brought here by Mohamed.
mkuu nguruvi umeandika kwa hisia kali sana, niajabu huyu mohamed hatoelewa, umenikumbusha chuo (UCLAS) tulipata Suplimentary darasani kwetu watu 5 katika somo fulani, kati yetu waislam walikuwa watatu na walijua hata mimi ni muislam kwakuwa jina langu ni la kiislam (kawaida kwa majina kule tanga), basi jamaa mmoja akasema tumepata sup kwakuwa sisi ni waislam, nikamuuliza na hao wawili wakristo? akasema hao wamepata sup ili mfumo kristo usionekane chuoni, nilichofanya nilimkumbusha tu kuwa mwalimu wa somo ni muislam na mkuu wa chuo (wakati huo ni idrisa kikula) muislam, jamaa bado akawa mbishi akadai eti huyo mwalimu kashinikizwa na idara husika ili atukamate, dah! jamaa sup yenyewe hakufanya na akaacha chuo. ninachoona Tatizo kubwa la Uislam ni mafundisho wanayopeana kwenye mihadhara.
Go back to school, Mohamed is doomed.If you dont belive,then whom one forced you to believe these stories?
log out..!
senkiyuu mr. Dulla,So,with that blah blah you expect us to believe you..!
find another story Zumbe mkuu..
Juzi niliwauliza humu: Halipo tatizo kwenye UISLAM na ELIMU? Sikupata jibu la maana. Lakini, tumewasaidia sana ndugu zetu hawa. Naamini Mzee Mohamed Said hayuko kama alivyokuwa mwaka 1998. Sio lazima akiri hivo hadharani. Atawanyong'onyesha wafuasi wake sugu akina zomba, Ritz, kichwakigumu,...mkuu nguruvi umeandika kwa hisia kali sana, niajabu huyu mohamed hatoelewa, umenikumbusha chuo (UCLAS) tulipata Suplimentary darasani kwetu watu 5 katika somo fulani, kati yetu waislam walikuwa watatu na walijua hata mimi ni muislam kwakuwa jina langu ni la kiislam (kawaida kwa majina kule tanga), basi jamaa mmoja akasema tumepata sup kwakuwa sisi ni waislam, nikamuuliza na hao wawili wakristo? akasema hao wamepata sup ili mfumo kristo usionekane chuoni, nilichofanya nilimkumbusha tu kuwa mwalimu wa somo ni muislam na mkuu wa chuo (wakati huo ni idrisa kikula) muislam, jamaa bado akawa mbishi akadai eti huyo mwalimu kashinikizwa na idara husika ili atukamate, dah! jamaa sup yenyewe hakufanya na akaacha chuo. ninachoona Tatizo kubwa la Uislam ni mafundisho wanayopeana kwenye mihadhara.
ndo maana members wengi wa kiislam walioelimika hapa JF huwezi kuwaona kwenye hii thread, wanaona wanadhalilishwa na huyo mohame said,Juzi niliwauliza humu: Halipo tatizo kwenye UISLAM na ELIMU? Sikupata jibu la maana. Lakini, tumewasaidia sana ndugu zetu hawa. Naamini Mzee Mohamed Said hayuko kama alivyokuwa mwaka 1998. Sio lazima akiri hivo hadharani. Atawanyong'onyesha wafuasi wake sugu akina zomba, Ritz, kichwakigumu,...
Go back to school, Mohamed is doomed.[/QUOTE
you are the one suposd to be at school right now..!
ndo maana members wengi wa kiislam walioelimika hapa JF huwezi kuwaona kwenye hii thread, wanaona wanadhalilishwa na huyo mohame said,
Juzi niliwauliza humu: Halipo tatizo kwenye UISLAM na ELIMU? Sikupata jibu la maana. Lakini, tumewasaidia sana ndugu zetu hawa. Naamini Mzee Mohamed Said hayuko kama alivyokuwa mwaka 1998. Sio lazima akiri hivo hadharani. Atawanyong'onyesha wafuasi wake sugu akina zomba, Ritz, kichwakigumu,...
ndo maana members wengi wa kiislam walioelimika hapa JF huwezi kuwaona kwenye hii thread, wanaona wanadhalilishwa na huyo mohame said,
mkuu Nguruvi3 umeandika kwa hisia kali sana, niajabu huyu mohamed hatoelewa, umenikumbusha chuo (UCLAS) tulipata Suplimentary darasani kwetu watu 5 katika somo fulani, kati yetu waislam walikuwa watatu na walijua hata mimi ni muislam kwakuwa jina langu ni la kiislam (kawaida kwa majina kule tanga), basi jamaa mmoja akasema tumepata sup kwakuwa sisi ni waislam, nikamuuliza na hao wawili wakristo? akasema hao wamepata sup ili mfumo kristo usionekane chuoni, nilichofanya nilimkumbusha tu kuwa mwalimu wa somo ni muislam na mkuu wa chuo (wakati huo ni idrisa kikula) muislam, jamaa bado akawa mbishi akadai eti huyo mwalimu kashinikizwa na idara husika ili atukamate, dah! jamaa sup yenyewe hakufanya na akaacha chuo. ninachoona Tatizo kubwa la Uislam ni mafundisho wanayopeana kwenye mihadhara.
hata wewe unawajua,Members ganai hao hebu tutajie.
naona sasa hoja zimeshaanza kukuishia,Nakushauri hii post yako ungeipeleka Chit-Chat ungepata LIKE nyingi sana.
Juzi niliwauliza humu: Halipo tatizo kwenye UISLAM na ELIMU? Sikupata jibu la maana. Lakini, tumewasaidia sana ndugu zetu hawa. Naamini Mzee Mohamed Said hayuko kama alivyokuwa mwaka 1998. Sio lazima akiri hivo hadharani. Atawanyong'onyesha wafuasi wake sugu akina zomba, Ritz, kichwakigumu,...
mie nampongeza sana Mag3 kwa kunisemea kwa hiyo wewe kama hupendi ni juu yako.Usijifanye rais wa JF wanajamvi gani wa JF wamekutuma uwe msemaji wao jiongelee nafsi yako.
hata wewe unawajua,
Duh! mapovu ya nini?Wewe ni Futuhi wa JF endelea kutupa burudani wakati tunafanya munakasha wewe ni wakukusoma na kukupuuza kukujibu wewe ni kujidhalilisha nimejishusha sana kukujibu kauzu kama wewe.
mie nampongeza sana Mag3 kwa kunisemea kwa hiyo wewe kama hupendi ni juu yako.