Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

wewe mashudu achana na mimi, kwa akili yako finyu na kushauri usi "quote" michango yangu humu, hujafikia kiwango cha kujadili na mimi! Kichwani wewe ni mtupu na ndio maana upo hapa kutetea upuuzi!


jaribu kuelewa,mimi siwezi jadili na kichwa kisicho na uelewa kama chako,nakupa ushauri wa bure ukae kando na mjadala huu,kwa kuwa post yako ya kwanza hadi ya sasa huna cha maana unachokiongea kwahiyo unatuondolea uhalisia wa mjadala huu?

Ficha ujinga wako,tafuta mada zingine,mbona jukwaa ni kubwa hili??

Hapa watu wenye akili zao timamu wanazungumza,we bakia kuwa mtazamaji na msikilizaji tuh,
huelewi??
 
Kama kweli unajiona unaakili timamu halafu ukashinda hapa unashabikia ujinga basi ni bora ukapelekwa hospitali au kwa washauri nasaha maana kwakweli hujielewi, mjinga wa mwisho.
 
Hata mm nimeona dharau nyingi kwenye huu uzi hasa huyu mtu anaeitwa YERICKO X

Mods kwamara nyingune nawaomba simamieni sheria za jf, huyu ndugu ananidharirisha kwa kuita Yericko X kwamaksudi kabisa huku akijua kufanya hivi ni kinyume cha sheria za jf.

Mimi ni Verified User hivyo heshima yangu ilindwe sawasawa na uzito wa Verified Users wengine.

Kwamara yatatu huyu ndugu ninamuonya kuwa azingatie sheria za jf.

Naamini mods wapo ndani ya uzi huu na watamtendea haki huyu ndugu.
 
Kama kweli unajiona unaakili timamu halafu ukashinda hapa unashabikia ujinga basi ni bora ukapelekwa hospitali au kwa washauri nasaha maana kwakweli hujielewi, mjinga wa mwisho.

Nadhani ujumbe wangu umeuelewa,
Ukae nje ya mjadala huu kama mtazamaji tuh na kusoma maarifa kuliko kijfannya wewe ni wewe,hali ya kuwa ni MTU MWENYE PISHI LA KILO NYINGI ZA UJINGA,SAWA?
 
Sweke34,

Basi tuishie hapa hakuna haja ya matusi.
Tija yoyote haipatikani tukiwa katika hali kama hii ya ghadhabu.

Kuna watu wanataka ku-twist hii mada. Kama watu wangekuwa makini, wangetulia na kupata historia hii vizuri.
Watu hawajui chochote wanabaki kuandika mambo ya ajabu ajabu.
Nachokushauri mzee wangu, wajibu watu wanaotaka kujua historia yetu, kama kuna mtu/watu wanayakwao, waanzishe thread nyingine inayozungumzia historia kwa upande mwingine, tutachangia, lakini sio kuharibu hii mada....
 


Hebu tueleze,nimeona hii ni ID ya pili baada ya ID ya Big show iliyofungiwa inakuita namna hii,kwani uhalisia wa jina lako ukoje?
Hebu tuelezee..
 
Shekh Mohamed Said, napata matumaini unapoelezea fitna na chuki za Mfumo Kristo Alla akupe kila la kheri! pia naomba unimalizie yale ya Wapigania uhuru wa huku Moshi ambao wengi ni Waislamu kama wameingia ktk historia ya nchi hii! Kwa sababu mwaka 1991 ulimuhoji kaka angu Al marhum Mfoi na rafiki yake Mackenga ktk nyumba ya Shekh Salim hapo Lumumba Dar juu ya kadhia ya kuuzwa jumba la Wakfu na Bakwata!

Marehemu na mwenzake walikuja ktk Mkutano mkubwa wa Waislamu chuo kikuu Dar mwaka 1991 kujadili hatima ya Bakwata na wewe uliwahoji pia kuhusu Wazee wapigania uhuru wa Moshi akina Yusuf A. Olotu, Mariamu Baiskeli, Halima Selengia, Mfaume Kimario, Lucy Lameck nk!

Sasa kwa kuwa sina kitabu chako ulichoandika, naomba unijuze kama na wao umewataja ktk kitabu chako na kama bado basi nakuomba na hao na wengine wa mikoa yote nao tuwakumbuke ktk dua zetu!

Na kuhusu Jina la Amri Abeid ulilolitaja ktk makala yako, huyu alikuwa nani? Kumbuka uwanja wa Mpira wa Arusha una jina lake yaani Shekh Amri Abeid!

Na jee, kuna ukweli wowote kuwa Nyerere alitaifisha nyumba za Watu 1967 kupitia azimio la Arusha kwa sababu za udini? inasemwa kuwa nyumba nyingi zilizotaifishwa zilikuwa za Waislamu wenye asili za Asia ni kweli?
 
Hebu tueleze,nimeona hii ni ID ya pili baada ya ID ya Big show iliyofungiwa inakuita namna hii,kwani uhalisia wa jina lako ukoje?
Hebu tuelezee..
Sina sababu yakueleza mkuu, jambo muhimu ni kuzingatia sheria za jf tu na mjadala usonge mbele kwa manufaa ya waswahili wote.
 
Sina sababu yakueleza mkuu, jambo muhimu ni kuzingatia sheria za jf tu na mjadala usonge mbele kwa manufaa ya waswahili wote.
Nahis ungeelezea japo kwa ufupi hoja yako ya kupingwa kuitwa X ingekuwa ya maana kidogo,lakini kama huelezei huoni kama unawapa watu hali ya kutilia wasi wasi utumizi wa jina la nyerere katika jina lako??
 
Sawa sawa kabisa! na wala kualikwa si kosa tena ni jambo jema kabisa lakini hilo halijawa idhni ya wewe kuongea maoni yako kwa niaba ya Waislam.

Waislam wakikubali hilo basi wakubali na la Ilunga kuwa msemaji wao kama ilivyo katika DVD.
Wamkubali Ponda n.k. Hawa tunajua ni wachumia tumbo kwanini wao wawe ndio Uislam?

Mohamed, waacheni waislam na waumini wafanye yenye neema kwao kwa kutumia mafunzo, hadithi na suna ikiwa ni pamoja na matumizi bora ya akili zao bila ghilba, kurubuniwa au kupotoshwa. Waacheni waislam waisome na kuitumikia dini yao kwa mujibu wa maamrisho ya Allah na si kwa mujibu wa maoni, fikra, hekaya, ngano na riwaya za binadamu.

Na hakika watakusikiliza sana kwasababu maneno yako ni matamu! Utawaambia kuhusu mfumo kristo na utafiti wa Warsha uliobaini madudu wizara ya elimu na kisa cha wanafunzi kutochaguliwa vyuo vya elimu ya juu.
Hutawaeleza kuwa utafiti wa warsha ulilenga vyuo vikuu huku kukiwa na tatizo kubwa chini.

Hutawaeleza kuwa shule zikifungwa Kilwa kwa kukosa wanafunzi huo ndio mwanzo wa kukosa wanafunzi.
Hutawaeleza kuwa tafiti za Warsha hazikulenga na kufuata kanuni za utafiti zimeeleza hali iliyopo.
Utafiti wa warsha haukutafuta chanzo na suluhu umeegemea kutafuta sababu.

Ndio maana nimekuuliza, hivi kuna utafiti gani uliowahi kufanywa na kubaini kuwa katika elimu ya awali, msingi na sekondari mambo ni mazuri isipokuwa elimu ya juu! Hilo umeshindwa kulijibu, that's ok, na ndicho ambacho hutaulizwa huko uendako bali utasikilizwa.

Kuna kitu kinaitwa escapism, yaani kutafuta sababu za faraja katika dhiki na mahangaiko.
Kwa mfano, mtu wa mtaani hana pesa kwa kipato kidogo, basi anaamua kujiliwaza kwa kunywa pombe sana na kutafuta kibinti cha kupooza machungu. Mtu huyo wa mtaani hajui kuwa hapo ndipo anapokwepa tatizo na akirudi nyumbani lipo pale pale tena limeongezeka.

Leo mkuu wa NECTA akiwa mwislam kama ilivyowahi kutokea kwa Rais, makamu na mawaziri tena wa elimu hali itabaki kuwa ilivyo kwasababu tatizo si viongozi tatizo lipo katika grassroot level.

Haiwezekani shule iwe na wanafunzi 250 na walimu wawili halafu wafeli useme ni Necta! Haiwezekani hujuma ifanyike kwa Hussein Bin Kherefu imwache Gugurito kibindinginya!

Hivi mfumokristo unahujumu vipi wananfunzi wa darasa moja ambao Johm William anapata division na Mariam Muhsin division 2 shule na darsa hilo?

Hivi uonevu upo wapi FEZA sekondari wafaulishe zaidi ya Morogor, Ikizu au Makoko seminary?
Hivi kwanini Mwantumu Ramadhan Husein Mohamed aongoze kutoka Marian Seminary(katoliki) tena kitaifa mfumo huo umwache.

Hivi ilikuwaje kati ya 1993-1995(kama nipo sawa) Alharamani sekondari itoe wanafunzi 3/4 ya darasa la Chuo kikuu?
Tena kati ya hao robo wamefanya masters na wengine PhD! Huu mfumo uliwaacha vipi yarabi wakavuka viunzi hivyo?
Nini kilitokea kwa mwalim Mzige? Je, kuna utafiti wa kwanini Alharamaini waliweza na sasa wameshindwa?

Kwanini watoto w vigogo wa kiislam wanasoma kule kwa masista Morogoro!
Kwanini Kilwa iliyokuwa iwe ''Capital'' ya nchi hii ipo katika hali iliyokuwepo, wakati huo huo Iramba na Kondoa wanapiga hatua?

Kwanini mfumo haukuathiri Machame, Mwanga na Same, Bukoba na Muleba!
Je, waislam walitumia fursa zilizokuwepo kwa namna njema au ndio walitumbukia katika ''ukafir''

Na mwisho mfumokristo unawaathiri vipi wenyeji wangu wa Kivinje na Masoko hadi kufikia mahali wameacha watoto wakimbie shule na zifungwe!

Kwanini shule za Mashia na Ismaili zifanye vema huku za waswahili wengine zihujumiwe! huu mfumo unatumia software gani na ya mwaka gani katika kutekeleza majukumu ya dhulma na Inda, husda na fitna dhidi ya waislam.

Kuna lot of basic things huwaelezi watu wako kwasababu wanataka kusikia wanachokipenda na si kile unachotaka kuwaambia. Nawe unatumia udhaifu huo huo wa kuwaaambia wanachotaka kusikia na si kile wanachopaswa kufanywa.

Narudia ESCAPISM kwa kutumia ukristo, mfumo ukristo, serikali, sisi dhidi yao, tumeleta uhuru n.k. havitatoa jibu la tatizo.
Jibu la tatizo litapatikana pale tu hii tabia ya ''cheating and deceiving' itakapokoma.
Pale state of denial itakapopata matibabu na pale upendo utakapotangulia chuki, husda, fitna na uzushi.
 

kumbe mkuu wewe bado ni dogo, halafu unajaribu kuingia kwenye mdahalo na watu wenye umri na waliobobea kwenye fani
 
Last edited by a moderator:
You are the one who
attacked me with your silly accusation! I repeat, leave me alone. I
don't belive the stories and fantasies brought here by Mohamed.

No body forced you to believe dear, why don't you go to sleep
 
kumbe mkuu wewe bado ni dogo, halafu unajaribu kuingia kwenye mdahalo na watu wenye umri na waliobobea kwenye fani
Usishangae saana mkuu,sometimes usikute tunajadili na watoto wa form four humu..

na utawajua tuh kutokana na kile wanachokieleza
 
Nahis ungeelezea japo kwa ufupi hoja yako ya kupingwa kuitwa X ingekuwa ya maana kidogo,lakini kama huelezei huoni kama unawapa watu hali ya kutilia wasi wasi utumizi wa jina la nyerere katika jina lako??

Muhimu ni kuzingatia sheria za jf mkuu
 
Hujawahi kuitaja.

Jasusi,

Hebu chukua ''hint'' hapa na ukiweza kutegua kitendawili hicho utaelewa kwa nini nilikwepa kuitaja.

Hiyo hapo chini ni kutoka ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes...''

[1]The author was for the first time informed of the existence of this document by one of Mwapachu's children, Juma Volter Mwapachu. He was informed that Mwapachu took great pride in having participated in the drafting of this document. In her book Listowel mentioned this document and its historical significance to the political history of Tanganyika. But it was Pratt who analysed the document in detail. The document was first consulted by Pratt in 1959 in a file of the Committee on ‘Constitutional Development Report/and Despatches to the Secretary of State' no. 1146-6, Dar es Salaam Secretariat Library. Although this file is available at the Tanzania National Archives, the document is missing. The author was informed that a microfilm of the document was available but that too could not be traced. For more information on loss of historical documents see M. Said, ‘In Praise of Ancestors Revisited' in Africa Events, London March, 1989, pp. 50-51.
 

Nguruvi,

Nitayasemea haya ya wasemaji wa Waislam hayo mengine sina haja ya kuyagusa.

Inaelekea hujui mambo yanavyokwenda katika jamii ya umma wa Kiislam.

Hao wote uliowataja ni viongozi wakuu wa Kiislam na wana heshima kubwa
sana.

Hawa ndiyo wanaosikilizwa na Waislam siyo Mufti wa BAKWATA.

Huu ndiyo ukweli ingawa inawezekana nyie ukakutisheni na kuwakera.

Hawa ndiyo wanoswali misikiti yote Dar es Salaam bila hofu.

Unajua Waislam tuna historia yetu na ukipenda nitakujuvya.
 
kumbe mkuu wewe bado ni dogo, halafu unajaribu kuingia kwenye mdahalo na watu wenye umri na waliobobea kwenye fani
mkuu umri hauna uhusiano wowote na kushirikisha kichwa katika kufikiri...
 
Sasa hapa ndiyo umemjibu nini Nguruvi3? Yaani ulichoandika hapa ni tofauti na alichokuuliza Nguruvi3.
Umeleta majibu mepesi kwenye maswali magumu. Aibu tupu!
 
Tatizo la wafia dini wa Gerezani ni kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumu.
 
Sasa hapa ndiyo umemjibu nini Nguruvi3? Yaani ulichoandika hapa ni tofauti na alichokuuliza Nguruvi3.
Umeleta majibu mepesi kwenye maswali magumu. Aibu tupu!

B,

Ningekujibu lakini toka nimeanza kukusoma hujanivutia kuwa mimi na wewe
tunaweza tukazungumza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…