Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

 

Unajua kuna mengi yanastahajabisha kuhusu hii BAKWATA kwani mimi miaka mwinzoni mwa 80's nikiwa kiongozi wa Serikali kulikuwa unapewa utaratibu maalum wa KUSWALI na viongozi wa Bakwata wakt wa sikukuu kubwa kubwa za Kiislam kama Eid. Ingawa mara nyingi zilikuwa zinanikuta niko Likizo Znz lakin pindi kazini ulilazimishwa.

suala la kujiuliza kunani na nchi haina dini?


Kwanini viongozi wa Bakwata mchukulie Mufti kwanini hawezi kuswali misikiti yote isipokuwa ile tu ya Bakwata?
 
Sasa tupo kwenye madai mliyoyapeleka miaka miwili iliyopita. Mbona unasahau haraka? Ya Mkapa nimekukumbushia tu ili tuwekane sawa kwenye haya madai ya sasa.

Sweke,

Ndugu yangu nakupenda inaelekea unayapenda maneno yangu
maana hukawii kunijibu tena kwa haraka.

Ahsante sana.

Hapana sijasahau kitu.
Ningekuwa nimesahau nisingekuambia kuwa huko tushapita.

Maana ya msemo huo ni kuwa usinirudishe nyuma.
 
Mzee Mohamed,
Unajua kilichoipa umaarufu ile Tv ya Kiarabu ya Al Jazeera? Mikanda ya Osama bin Laden. Tulipokuwa tukiambiwa leo kuna mkanda wa Osama utarushwa pale hata kama ni kwa audio pekee bila picha tulikuwa hatubanduki pale. Unapenda mno kusikilizwa kuliko kuhojiwa. Unapenda sana kutukuzwa, kuenziwa na wakati mwingine unatamani kuabudiwa!

Yana mwisho haya. Wewe jifanye "celebrity" wa udini.
 
kwa staili hii ya kujibu mnakasha huu utaenda hadi koment 10000 pasipo hata kudadavua hoja ndogo
nimeshangaa tupo page ya 227 na bado hamna hoja inayojibiwa kwa hoja yenye mashiko, watu wanazunguka mlemle tu.
 

Ngongo,

Ingawa umemkusidia BD naona nami nitie neno kwako.

Ndugu yangu unaandika kwa ghadhabu ni hili linatoa ladha za hoja zako.

Mimi usidhani najitapa kwa Waislam.

Kama unaweza waulize hata wanafunzi wa shule za Kiislam kuhusu mimi.
Sasa si kama nakuambia haya kuzidisha tambo.

Historia hii ya babu zao imesisimua sana jamii ya Kiislam si hapa bara bali
hadi Zanzibar.

Sijisifu.
Hapana.

Nakueleza haya ile uweze kupata picha ya hali ilivyo katika jamii ya Kiislam.
Niko humu kukujulisheni yale ambayo kamwe hamkupata kuyajua hata kusikia.

Hakika kuna maswali nashindwa kujibu.
Siwezi kuwa mie nikajua kila kitu.

Hilo moja pili kuna maswali sijibu kwa kuwa nayaona hayana tija na sababu
nyingine nyingi tu.

Mimi si mtu wa ujanja.
Hiyo si sifa yangu.
 

Audhubillah min dhalika.
Kuabudiwa?
 



Sasa kama hujaelewa na hoja hiyo yenye title ya TERRORISM ni wazi sasa utakua umeamua tuh kwa makusudi yako kujitoa UFAHAM...

THEN,MBONA UNAONEKANA UDINI UMEKUJAA SANA??
 
Wakuu wangu Mzee Mwanakijiji sweke34 Nguruvi3 JokaKuu zumbemkuu Mohamed Said Ritz WildCard .......

Bunge la JMT lina jumla ya wabunge 323 kati yao wabunge 232 ni wakuchaguliwa na wananchi moja kwa moja,wengine 10 wanateuliwa na Rais wa JMT, 75 ni viti maalum [wanawake],wabunge 5 wanachaguliwa na BLW Zanzibar.

Zanzibar ina jumla ya majimbo 50 ya uchaguzi na idadi ya watu 1,303,568 na Tanganyika majimbo 182 ya uchaguzi na idadi ya watu 43,625,435.

Mfumo kristo umetoa nafasi kwa Zanzibar yenye jumla ya watu 1,303,568 ambao zaidi ya 90s% ni waislam kuwakilishwa na zaid ya wabunge 55.Wastani ni mbunge mmoja watu 23,700.Zanzibar ingekuwa na idadi kubwa ya wakatoliki pengine ningekubaliana na hadith za Mohamed Said .





 
Last edited by a moderator:
nimeshangaa tupo page ya 227 na bado hamna hoja inayojibiwa kwa hoja yenye mashiko, watu wanazunguka mlemle tu.

Z,

Haya mambo ndiyo yalivyo.
Waotuhumiwa wako kimya tulii.

Nyie ndiyo mnakuwa wasemaji wa serikali.
Mnatuhoji Waislam kutaka kujua nini shida zetu.

Mmegeuka kuwa serikali.
Hii ipo katika historia zote za ukandamizaji.

Hadi pale yanapotokea machafuko...
Hapo akili zinarejea na kila upande unamuuliza mwenzake...

Kwani ilikuwaje?
Hapo mshachelewa...

Hebu msome Prof. Njozi nimechukua kidogo sura ya pili ya ''Mwebechai Killings...'':

[SIZE=+3]The rise of religious tension[/SIZE] [SIZE=+0]

The way the government handled the Mwembechai saga convinced Muslims that their government was not only biased in favour of Christians but was now acting like a military wing of the church. After the Mwembechai killings the government did not want to be reminded of Padre Lwambano's fabrications which were broadcast over the Catholic radio, nor of its solemn promise to take severe measures against Muslim preachers. It was clear to the Muslims that the government refused to appoint a probe team because it did not want to be confronted with the unpleasant truth. The government knew the truth. Muslims were innocent but had to be killed to satisfy the demands of church leaders. The praise and satisfaction expressed by the highest hierarchical Catholic leader at the killings reinforced that perception. The prevention of Muslim women to reveal what they suffered in remand prison, the granting of bail to Christian suspects and denying the same to Muslims, and as Abu Aziz (1998:35) notes in his submission to the Attorney General, ‘the absence of even the minor consolation of words of sympathy from the President to the bereaved families, giving the impression of the CCM government feeling satisfied in killing innocent citizens as if they were common criminals (even criminals deserve justice)' intensified Muslim anger and resentment.[/SIZE]


[SIZE=+0]Muslims began to criticise President Mkapa's government as a government of murderers, and CCM as a political party of murderers. In addition to public utterances, a series of anonymous leaflets began to appear. The favourite theme of the leaflets was the supposed government plan to carry out a genocide of Muslims. The death of Mohamed Omari (50) in remand prison after repeatedly being denied medical treatment lent support to those stories. It was at this point that Kitwana Kondo, the Kigamboni MP intervened. In his press conference on 21 May, 1998 he strongly criticised the government for reinforcing the Muslim perception that it was anti-Muslim and wanted them to die in remand prison (Majira 22 May, 1998). Expressions of Muslim support for Kitwana Kondo echoed across the nation. Many Christians regarded him as a dangerous person who was fanning religious hatred in the country. By the end of the year tension was so high that the Muslims were cursing the government in public gatherings. A way had to be found of calming down the tension. President Mkapa managed to do this in his speech at the Idd-el-Fitr Baraza at the Diamond Jubilee Hall on 19 January, 1999. In two important ways his speech marked an important milestone in the political history of Tanzania. For the first time the government acknowledged the existence of long-standing Muslim grievances, and for the first time it set out a procedure of resolving them. The political tragedy of our country lies in the fact that the proposed mechanism was a non-starter and yet many Christians feared that it was too revolutionary.[/SIZE]

[SIZE=+0]What did the President propose? Why are his proposals unsatisfactory? We address those questions in the following chapter.[/SIZE]
 
Sweke,

Ndugu yangu nakupenda inaelekea unayapenda maneno yangu
maana hukawii kunijibu tena kwa haraka.

Ahsante sana.

Hapana sijasahau kitu.
Ningekuwa nimesahau nisingekuambia kuwa huko tushapita.

Maana ya msemo huo ni kuwa usinirudishe nyuma.
Tunachotaka kujua sisi ni wapi mliyapeleka hayo madai miaka miwili iliyopita.
Nikusaidie kidogo. Mwaka jana wanafunzi wa kiislam waliandamana kupinga wenzao kufungiwa masomo Ndanda baada ya kudai kujengewa msikiti shuleni. Waziri Shukuru Kawambwa alipokea malalamiko yao na akaahidi kuyashughulikia na alishughulikia na ukweli unajulikana. Walipofeli wanafunzi somo la Islamic knowledge kupita kiasi, malalamiko yalipelekwa wizarani, uchunguzi ukafanyika na matokeo yake tumeyaona yakitangazwa rasmi na waziri mwenyewe Shukuru Kawambwa.
Sasa nyinyi miaka miwili iliyopita mlipeleka malalamiko yenu wapi/kwa nani na kupitia taasisi gani inayowakilisha waislam wote Tanzania? Wasaidie hata ndugu zako wanaokufuata hapa wapate kujua kinachoendelea.
 
Hata mm nimeona dharau nyingi kwenye huu uzi hasa huyu mtu anaeitwa YERICKO X

Boko haram,huyu jamaa mimi ananichanganya sana..!!

MODS WATUSAIDIE,ILI MTU UWE VERIFIED SI LAZIMA UWE MTU MWENYEWE HALISI?
MFANO..

1.MOHAMED SAID,NI VERIFIED USER NA TUNAMFAHAM KWA JINA HILO HATA MTAANI NA KWENYE JAMII YETU..

2.DR W. SLAA NI VERIFIED USER NA TUMEJITOSHELEZA NA UHALALI WA JINA LAKE,,

3.ZITTO KABWE.,JOHN MNYIKA.KITILA MKUMBO NA WENGINEO WENGI,,

4.ANDREW NYERERE

5.BEN SAA NANE N.K,,

NI WAZI KWAMBA TUMEJITOSHELEZA NA UHALISIA WA MAJINA YAO HAO WATU WOTE WALIOAMUA KUJIVERIFY,SASA HUYU YERICKO NYERERE NI NANI HASA??NA MODS WALIAMUA VIPI KUMVERIFY MTU ANAETUMIA JINA KUBWA KAMA HILI NCHINI KWETU HALI YA KUWA HANA UHUSIANO WOWOTE NA FAMILIA HIYO?

KWA MAANA HIYO SASA,MTU YEYOTE ANAWEZA KUJIITA MFANO SHARIFF KIKWETE AKAWA VERIFIED?NA SISI TUKIHOJI YEYE NI KIKWETE YUPI NI KOSA?NA JE HUYU MHUSIKA MWENYEWE KUKAA KIMYA BILA YA KUSEMA YEYE NI KIKWETE FLANI SIO KOSA??

MODS MTUSAIDIE KATIKA HILI...

KAMA AMEGOMA KABISA KUSEMA YEYE NI NYERERE GANI BASI YANAONDOA HESHIMA YA JUKWAA HILI,NA KAMA AMEAMUA KUTUMIA JINA HILO KUJIVERIFY KWA LENGO FULANI BASI AKEMEWE MARA MOJA NA AIFUTE ID HII HARAKA SANA.
 
Fungua thread mpya hapa tunajadili fitna na chuki za Mo dhidi ya wapigania uhuru wasio wazee wake wa Gerezani.

 

Mkuu Ngongo,

Nimependa uchambuzi wako lakini bahati mbaya ujamalizia idadi ya wabunge wakistu na waislam upande wa Tanzania bara pamoja na asilimia.

Hebu malizia uchambuzi wako tuwekee idadi ya wabunge na dini zao.

Tunasubiri mkuu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Fungua thread mpya hapa tunajadili fitna na chuki za Mo dhidi ya wapigania uhuru wasio wazee wake wa Gerezani.

Mohamed said ni verified user na anafahamika.,
Adrew nyerere ni verified user na anafahamika,,

Huyu YERICKO NYERERE anaeongoza vita ya kumkejeli Mohamed said ni nani hasa??ana uhusiano gani na familia ya nyerere?

PLEASE MODS MTUSAIDIE KATIKA HILI.
 


Naungana moja kwa moja na wewe Rits,

kama huyu Yericko ameshindwa kusema yeye ni nani,ana mamlaka gani ya kutumia jina ambalo halina uhusiano na yeye kujiverify nalo?,na kwanini awe anaogopa kujipambanua yeye ni nani hasa?

Hatuwez kujadiliana na mtu ambae kaamua kujiverify kwa kuongopea uhalisia ulivyo,hili liangaliwe kwa jina pana huku mjadala huu ukiendelea..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…