Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mpaka sasa hakuna yeyote alioleta uthibitisho kuwa Mohamed Said, ni mchochezi.

Ngoja tuendelea kufuatilia huu mjadala tusubiri kuona huo uchochezi.
 
Last edited by a moderator:
nimefuatilia mjadala huu vizuri sana,hujapinga hoja za msomi Mohamed Said kwa ushahidi,bali umepinga kama ubishi wa mpira sokoni,umepwaya mno,kuendelea kubisha bila hoja ni kujionesha ulivyo dhaifu ktk mijadala.Unaweza kuacha kujadili ni bora ukajipange upya.Vijana wa kileo wanasema umeingia choo cha kike.Kukusaidia huyu Mohamed Said ni msomi wa historia na aliyeifanyia utafiti hiyo historia kwa kufanya mahojiano na watu mbalimbali wa zama hizo.Wewe huna chochote ulichofanya zaidi ya kupinga tu,umekaa na computer yako unaandika tu,toka chumbani nenda kafanye utafiti tafuta habari halafu njoo tena uanzishe mjadala.
 
Last edited by a moderator:

Nashukuru kwa maelezo yako mareeeeeeefu lakkini hayana mafaa.

Rudia kusoma swali nililokuuliza, linahitaji majibu mawili tu sio ngano mpya.
 
Last edited by a moderator:
hivi maneno haya ni magumu kuyaelewa,ni kama yamemaliza mjadala huu ulopwaya,wa upande uliotoa hoja na upande unaotoa ubishi usio na hoja
 
Mpaka sasa hakuna yeyote alioleta uthibitisho kuwa Mohamed Said, ni mchochezi.

Ngoja tuendelea kufuatilia huu mjadala tusubiri kuona huo uchochezi.

Ndugu yangu, sipo kwaajili ya kukufurahisha wewe, na kama ningelikuja hapa kwa hilo tu basi naamini mpaka dakika hii ungekuwa umelazwa mochwari kwa ajali ya kuvunjika mbavu.

Kimsingi mimi natetea hadhi ya historia ya uhuru wa Tanganyika iliyopotoshwa na mkufunzi wako mzee Mohamed Said, kimantiki mimi natakiwa na ndicho nilichofanya kuipua hoja toka ndani ya kitabu chake na kuzipinga, kisha Mohamed Said aje na ushahidi kwa kuzitetea!

Lakini kichekesho ni kuwa anakuja na vielelezo/ushahidi utetezi kwakutumia kitabu hichohicho alichokiandika yeye.

Hilo tu mkuu Ritz hujaling'amua ila unalishangilia kwa jicho moja, hii ni hatari sana kwa mstakabali wa nchi yetu!
 
Last edited by a moderator:
ukiendelea hapa JF waweza jua kiswahili vizuri,lakini punguza ukereketwa utakuja tukana ktk maandishi yako,weka wazi huo mstari hapo chini
Nashukuru kwa maelezo yako mareeeeeeefu lakkini hayana mafaa. Rudia kusoma swali nililokuuliza, linahitaji majibu mawili tu sio ngono mpya.
 
ukiendelea hapa JF waweza jua kiswahili vizuri,lakini punguza ukereketwa utakuja tukana ktk maandishi yako,weka wazi huo mstari hapo chini

Hilo ni kosa tu la kiuandishi na nimeshalirekebbisha, lakini mantiki ya swali langu ipo palepale na inahitaji majibu
 

Yericko Nyerere,

Mtu akivujika mbavu anapelekwa mochwari hii kali.

Kwa jinsi unavyojibu unaonekana ujakisoma kitabu cha Mohamed Said, usingemuuliza kama anamjua Adamu Sapi.

Ndugu yangu umeshindwa kuonyesha uchochezi wa Mohamed Said, unachotuonyesha ni kejeli zako, unamwambia Mohamed Said, ana upeo wa kimadrasa, na mimi nambebea viatu yake, hapo ndiyo unaonesha ni mwepesi sana kwa hoja.

Nakushauri punguza kejeli jenga hoja jifunze kupitia huu mjadala.
 
Last edited by a moderator:

Ritz Hawa watu manamatatizo sijui wanapopewa kipa imara hawafundishwi adabu au tuamini kwamba YERICKO NYERERE hajapitia anga hizo natumaini kwasababu sasahivi kabadilisha aviator yake atakuwa na adabu
 
Yericko,Nyerere amefanya mengi mabaya na watu wameamua kumsamehe, kuendelea kuja na hoja zako za kidini utasababisha kumvunjia heshima babu yako.
 



WELL THEN,BIG BROTHER STOP :blah:,,JIBU NA UTUELEZE BILA KUMEZA MEZA MANENO KAMA WEWE UNAKUBALIANA NA HOJA ZAKE,,
1.NINI SASA UNACHOKIPINGA??

2.NI HAKI YAKE KIKATIBA KUTOA ELIMU KWA JAMIIM NA KUELIMISHA PALE PALIPOTOSHWA,WEWE KINACHOKUWASHA WASHA NI NINI??

3.HAKUNA ALIEKULAZIMISHA KUSOMA WALA KUKIAMINI ALICHOKIANDIKA,NA KAMA UNA KIRI YA KWAMBA HAJAANDIKA UPOTOSHAJI,SASA POVU LA NINI??

4.KAMA TULIOSOMA TUMEEELEWA NA KUKIAMINI TUAMBIE WEWE SASA UKWELI UNAOUFAHAM WEWE NI UPI??

UMEUMBWA MWANADAMU KISHA UKAPEWA AKILI NA KIPAWA CHA KUAMUA,VIPI BINADAM TUNADHARAU KUTUMIA AKILI HIZO TULIZOPEWA??
 
:confused2:
 
Yericko Nyerere,

Mpaka sasa bado ujatuonyesha huo uchochozi wa Mohamed Said, uliousema ingekuwa vizuri tuwekee huo uchochezi ili tuusome tuone madhara yake.
 
Last edited by a moderator:

History na ww nivitu tofaut ,labda kucheza/kuimba kwaya kanisani
 



post yangu namba 497 inasubiri majibu yako yericko,
njoo,rudi unijibu...!!
 

Mbona nishakujibu mengi tu?

Ila kuna mambo ya maana hutoa majibu.
Kuna mengine yasiyo na tija huyaacha yakapita.

Huwa sichangii kila post.
Nakusihi ukubaliane na huu msimamo wangu.

Hivi hujatambua kitu kwangu?
Hujatambua kuwa huwa siulizi mtu swali lolote?

Unajua sababu yake?
Nakuachia hicho kitendawili ukitegue.

Ukishindwa nipe mji.
 
Mpaka sasa hakuna yeyote alioleta uthibitisho kuwa Mohamed Said, ni mchochezi.

Ngoja tuendelea kufuatilia huu mjadala tusubiri kuona huo uchochezi.

Mkuu na usitegemee kutokea kwa jambo hilo, hawa wenzetu wana utamaduni wa kifaru ( kuzima moto kabla hauja changanya ) wanajaribu kumziba mdomo mzee wetu na huyo Yericko ndio chambo yao, maana wana hofu yakuja kuzaliwa watu wengi kama mzee huyu, lakini tuendelee na mnakasha typate alm, maana huu uzi kwamtu mwelevu nizaid ya darsa
 
Last edited by a moderator:


Yericko kwa hakika ni kijana hodari sana.
Naiona juhudi yake.

Kitu kimoja angejitahidi kufanya ni kuchukua muda
wa kujifunza.

Tatizo ninaloliona kwake ni kuwa hasomi
wala hafanyi utafiti.

Hicho kitabu cha TANU kilichoandikwa na Kivukoni
hata Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam HAKISOMESHWI.

Kitabu hicho kinadharauliwa.

Nampa changamoto ndugu yangu Nyerere aende pale
Mlimani Idara ya Historia akaulize.

Kwa hakika inakuwa kichekesho kikubwa kwa yeye
kufananisha kitabu changu kilichopata "reviews""
katika Cambridge Journal of African History na kitabu
ambacho walimu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
hawakiorodheshi katika orodha ya vitabu vya wanafunzi
kuvisoma.

Nadhani Nyerere kama ni mtu wa kuelewa atakuwa kaelewa.
 

Hapo kwenye Bold, vipi mnampango wa kuanza kujitoa muhanga kwa mabomu? cause hiyo ndio silaha yenu ya mwisho na ianjulikana popote duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…