Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Maadili niliyofunzwa hayaniruhusu kukujibu mpaka ufute ulichoandika hapo juu kuhusu hali inayowapata mama zako!
na utuombe radhi! si heshima wala adabu kuropoka ropoka mambo yanayohusu ndani ya miili ya kina Mama Zako!
nadhani umenielewa!
Haya unaona ndio maana nimekwambia umeingia choo cha kiume yaani huu mnakasha sii wako wewe...

Swala la damu umelileta wewe kutokana na hoja yangu. Nilichouliza ni vipi mmeshindwa kuuondoa mfumo wa Nyerere nawe ukaleta maswala ya damu na ndipo nikajiuliza kwani damu chafu haiwezi kuondolewa? ina maana wewe umefungua hoja na kwenda ktk swala la uzazi, nikidhani una maana mbegu alizopandikiza Nyerere haziwezi kutoka pasipo kusafisha damu chafu ilokuwepo...Labda nifahamishe wewe huo mfumo kristu wa Nyerere na damu inavyofanya kazi vinahusianaje? karibu tena JF...
 
Haya unaona ndio maana nimekwambia umeingia choo cha kiume yaani huu mnakasha sii wako wewe...

Swala la damu umelileta wewe kutokana na hoja yangu. Nilichouliza ni vipi mmeshindwa kuuondoa mfumo wa Nyerere nawe ukaleta maswala ya damu na ndipo nikajiuliza kwani damu chafu haiwezi kuondolewa? ina maana wewe umefungua hoja na kwenda ktk swala la uzazi, nikidhani una maana mbegu alizopandikiza Nyerere haziwezi kutoka pasipo kusafisha damu chafu ilokuwepo...Labda nifahamishe wewe huo mfumo kristu wa Nyerere na damu inavyofanya kazi vinahusianaje? karibu tena JF...

We vipi! mfumo wa damu unavyofanya kazi mwilini ni sawa na Mfumo kristo, sasa wewe damu ya Mwezini ambayo Mama ako na Dada zako wanazipata kwanini unataka kuunganisha na Mfumo kristo?
 
Ni rahisi sana kubomowa, si rahisi kujenga. Ikiwa nyumba inayomchukuwa mtu miaka 2 kuijenga unaweza kuibomowa kwa siku moja tu, sasa piga hesabu nchi iliyobomolewa kwa miaka 44 mfululizo, itachukuwa muda gani kuijenga? Nakwambia miaka 44 kwa kuwa Nyerere 24, chaguo lake la kwanza 10, chaguo lake la pili 10.

Nchi hii ndio kwanza Kikwete kaanza kuijenga ipasavyo, kumbuka kuwa yeye tu hakuwa chaguo la Nyerere na yeye ndiye tunashuhudia akileta mabadiliko ya kweli ya utawala mpaka ya uchumi.

Hata wapigania Uhuru waliosahauliwa na Nyerere na vikaragosi vyake kwa miaka 44 tumeona wakikumbukwa rasmi kwa mara ya kwanza kwenye awamu hii ya uongozi.
Huu ndio uongozi wa Kikwete:

From having being the continent’s ‘darling’ of integrity under Nyerere’s leadership, especially in the 1960s and 1970s, Tanzania is slowly evolving into becoming a criminalized state. Her legal system is in shambles and court rulings are for the most eminent bidders; the country has become heaven for money laundering and a drugs fortress for international drug lords; and has also become a major transit centre for drugs, whereby allegedly, some senior officials from the ruling party and the government are largely involved.

 
Yeyote aliyeshiriki harakati za kudai uhuru wa nchi hii na ambae leo halalamiki kwakusema anadhulmiwa kwasababu ya dini yake huyo ndie mzee wangu.

Kwa maana nyingine huna lolote, unahamu tu wangekuwemo. Mpaka kujipachika jina lisilokuhusu.
 
Huu ndio uongozi wa Kikwete:

From having being the continent's ‘darling' of integrity under Nyerere's leadership, especially in the 1960s and 1970s, Tanzania is slowly evolving into becoming a criminalized state. Her legal system is in shambles and court rulings are for the most eminent bidders; the country has become heaven for money laundering and a drugs fortress for international drug lords; and has also become a major transit centre for drugs, whereby allegedly, some senior officials from the ruling party and the government are largely involved.


Hayo si ndio maneno yenu. Sasa soma ripoti ya uhakika na iliyofanyiwa utafiti:

Tanzania is projected to emerge as the fastest growing country in the EAC regional grouping and will match its 2011′s growth rate this year, making it one of East Africa's fastest growing economies. The country is expected to experience accelerated growth in 2013 as investment in energy and consumer spending picks up, said a Reuter's poll on Monday July 30, 2012. Tanzania which is viewed as East Africa's second biggest economy after Kenya will according to the poll expand 6.4 percent this year and 6.9 percent in 2013 as foreign investment in gas industries rises and power production improves, according to the median of 10 analysts.

source: Tanzania outsmarts its peers – CEO Magazine

Funguwa nyuzi nikupe darsa.
 
Uislaam sio SIASA ni maisha yako unavyoishi wewe na kila mmoja wetu. MTU kwa MTU hivyo nachoweza kufanya i kuitangaza imani hii ya kumuabudu Mwenyezi Mungu MMOJA na kufanya ibada zake.. Siku ya siku kila mmoja wetu atabeba msalaba wake maana ujumbe nimekwisha utoa, hairuhusiwi ktk Uislaam kumlazimisha mtu achague Uislaam isipokuwa una haki ya kujitetea unapolazimishwa kuacha Uislaam.

Mkandara,
Uislam ni mfumo wa maisha pamoja na siasa. Sisi ni umma bora tumeambiwa tukumbushae mema na kukataza maovu hii ya kila mtu atabeba msalaba wake sijui umeipata wapi.
 
Mzee Mohammed Said amekuwa mwepesi zaidi.
Kumbe ni rahisi zaidi kuamsha hisia kali ndani ya jamii yako mwenyewe lakini ngumu kuzituliza.

Halafu yeye na wafuasi wake wanafikiri itakuwa rahisi sana kuishi mustarehe mambo yatakapoharibika.
Ndio maana nakubaliana na mchambuzi mmoja juu ya mafundisho ya Maliki (Mpakistani) juu ya kuchochea kuanzia chini,
kwa sababu wanajua hawa ndio rahisi kuwadanganya na kuwatia hasira.
 
Mkuu wangu wewe unaishi nchi gani?... siku hizi nyumba najengwa kwa muda mfupi sana na ikisha sii huyo huyo kigaragosi cha pili ndiye mnayemsifia kwa kabomoa mfumo wa Nyerere wa siasa za Ujamaa na kujitegemea?... mbona mliweza kubomoa Ujamaa siku moja huko Zanzibar na mkarudisha mashule na Hospital kwa Wajarumani mnashindwa vipi leo kuanza hata ujenzi mpya ili waislaam nao wafaidike?... Leo vipi mnashindwa hata kubomoa msingi wa Utawala wa Nyerere ikiwa kazi ya kubomoa ni rahisi?..

Halafu usiovyokuwa na aibu unataka kuwaambia watu ya kwamba JK ndiye pekee anayejenga wakati unajua wazi hata kubomoa kashindwa japo miye nasema alojenga alorudisha mfumo wa kikoloni ni Mwinyi. Mbali na haya huyo Mohammed said mwenyewe anafahamu njinsi Mwinyi kikaragosi mwenzenu alivyotusumbua BALUKTA hadi yeye mwenyewe kwa amri yake akauawa Sheikh Kassim bin Jumaa!

Na nitasema tena na tena ya kwamba hata siku moja usitake kumfanya mtu MUISLAAM sana kwa sababu kazaliwa ndani ya ukoo wenye kujiita Waislaam. Uislaam sio sawa na kabila bali Uislaam ni IMANI na IBADA hivyo kama ibada (matendo) yake ni kinyume cha tulivyoamrishwa - hakuna Uislaam bali jina tu..huwezi kuwa na imani (kukiri kwa moyo) na usifanye ibada ni kumdhihaki Mwenyezi Mungu..

Nne na mwisho, hakuna mtu aliyeogopwa kama mnafiki, na nitasema hivi viongozi wote wa CCM ni wanafiki wakubwa maana ni wao walotuahidi mengi sana iwe ktk elimu, Afya, Umeme, maji, kilimo lakini hakuna hata moja ambalo wamelifanya. Kwa mfano, ni Kikwete aliyesema kwa ulimi wake mwenyewe kuwa tatizo la Umeme nchini litakwisha mwaka 2008, kumbe badala yake akatuletea Richmond kutubomoa zaidi... Na waswahili husema dalili za mnafiki ni zipi?..

Yote mnayoyaandika humu ni unafiki mkubwa sana maana ni nyie mlokuwa CCM na nyie ndio mnaolalamikia mfumo kristu ambao mliuasisi wenyewe. Kama mngekuwa wakweli wa nafsi zenu basi nanyi mngeondoka CCM kama walivyoondoka Hassan bin Amir na Takadir chama cha TANU mkaanzisha chama chenu cha waislaam na kujenga sera za kiimani na sio za sera za Kibepari na ukoloni mamboleo. Huu ni unafiki mkubwa mnaufanya kuitumia dini kwa manufaa yenu kisiasa, ili mradi watu waichukie Chadema kwa kuwa Dr.Slaa ni mkristu..
Hizi uwa tunaziita nondo za uso hadi ubongo unachanganyikiwa. Umemueleza na kumuuliza maswali magumu sana'lakini yeye atakupa majibu mepesi yenye vioja na mipasho lukuki. Big up Mkandara....sisi tunaendelea kuwasomeni.
 
Wafia dini wa gerezani wameshikwa pabaya kwelikweli...sasa wanaamishia viroja vyao kwa Dr Slaa na CDM.

Hakika watanzania wanawasomeni hapa na wanajua nani ni great thinker na nani ni poyoyo. Haya endeleeni sisi tunawasomeni.
 
Hayo si ndio maneno yenu. Sasa soma ripoti ya uhakika na iliyofanyiwa utafiti:

Tanzania is projected to emerge as the fastest growing country in the EAC regional grouping and will match its 2011′s growth rate this year, making it one of East Africa's fastest growing economies. The country is expected to experience accelerated growth in 2013 as investment in energy and consumer spending picks up, said a Reuter's poll on Monday July 30, 2012. Tanzania which is viewed as East Africa's second biggest economy after Kenya will according to the poll expand 6.4 percent this year and 6.9 percent in 2013 as foreign investment in gas industries rises and power production improves, according to the median of 10 analysts.

source: Tanzania outsmarts its peers – CEO Magazine

Funguwa nyuzi nikupe darsa.

Ndiyo, growth yetu imo kwenye vitabu ambako Bulyankulu wanapeleka nje madini ya dola milioni arobaini kila wiki lakini
hakuna senti inayoingia kwenye hazina yetu, labda kwenye mifuko ya akina Kikwete. Na pia umeangalia takwim za utalii?
Tumeruhusu makampuni ya kigeni nayo "yawekeze" kwenye utalii. Hela hiyo inaandikwa kwenye mabuku lakini sehemu kubwa inaishia nje ya nchi. Kwenye mabuku tunafanya vizuri lakini umemsikia waziri wa afya akisema hatuna madawa? Umeangalia shule zetu zina vitabu vingapi na waalimu? Umeangalia hali wanayokaa wanafunzi wetu? Wawekezaji wanatusifia kwa sababu wamekuja kuchota. Siku tukiamka tumebaki na mashimo na makorongo ya madini na kuendelea kutembeza bakuli la omba omba. Ndiyo Kikwete wenu huyo ndugu yangu.
 
Jamani nipo hapa mitaa ya Mafia na Lumumba. Jirani kabisa na msikiti wa Manyema. Habari za chini kwa chini ambazo nazisikia hapa ni kuwa Mohamedi Saidi anatafutwa na usalama au teyari ameshashikwa kutokana na yaliyotokea Zanzibar.
Inasemekana kuna watu walitokea Mombasa,wakafikia mitaa ya gerezani,na baadae wakapelekwa Zanzibar,na jana mchana
wale watu wakarudi Dar mitaa ya gerezani na sasa hawajulikani walikotokomea. So mkiona Mzee wetu Mohamedi Saidi aonekani tena kwenye masimulizi haya ya mababu zake basi mjue habari ndiyo hiyo.

Note: hii ni hearsay chini yakapeti au mzee MS uwa anapenda kusema Inasemekana.
 
Jamani nipo hapa mitaa ya Mafia na Lumumba. Jirani kabisa na msikiti wa Manyema. Habari za chini kwa chini ambazo nazisikia hapa ni kuwa Mohamedi Saidi anatafutwa na usalama au teyari ameshashikwa kutokana na yaliyotokea Zanzibar.
Inasemekana kuna watu walitokea Mombasa,wakafikia mitaa ya gerezani,na baadae wakapelekwa Zanzibar,na jana mchana
wale watu wakarudi Dar mitaa ya gerezani na sasa hawajulikani walikotokomea. So mkiona Mzee wetu Mohamedi Saidi aonekani tena kwenye masimulizi haya ya mababu zake basi mjue habari ndiyo hiyo.

Note: hii ni hearsay chini yakapeti au mzee MS uwa anapenda kusema Inasemekana.

BD,

Mdomo ndiyo starehe yake.
Huwa haumkatai bwana wake.
 
BD,

Mdomo ndiyo starehe yake.
Huwa haumkatai bwana wake.
Ha ha haaaaaaa kumbe upo? Unakumbuka nilisema hapa jamvini kuwa kunaconection fulani baina yako na viongozi wa Uamusho na serikali ya Irani? Na wewe mwenyewe kwa kinywa chako ukakiri hapa bila kificho. Sasa je hizi habari aambazo nimezipata sasa hivi za kuwa unatafutwa na usalama nazo ni za kweli au ni uzushi tu? Je ni kweli kuna wageni umewapokea
toka Mombasa?
 
Ndiyo, growth yetu imo kwenye vitabu ambako Bulyankulu wanapeleka nje madini ya dola milioni arobaini kila wiki lakini
hakuna senti inayoingia kwenye hazina yetu, labda kwenye mifuko ya akina Kikwete. Na pia umeangalia takwim za utalii?
Tumeruhusu makampuni ya kigeni nayo "yawekeze" kwenye utalii. Hela hiyo inaandikwa kwenye mabuku lakini sehemu kubwa inaishia nje ya nchi. Kwenye mabuku tunafanya vizuri lakini umemsikia waziri wa afya akisema hatuna madawa? Umeangalia shule zetu zina vitabu vingapi na waalimu? Umeangalia hali wanayokaa wanafunzi wetu? Wawekezaji wanatusifia kwa sababu wamekuja kuchota. Siku tukiamka tumebaki na mashimo na makorongo ya madini na kuendelea kutembeza bakuli la omba omba. Ndiyo Kikwete wenu huyo ndugu yangu.

Huna jipya unataka kuuharibu tu huu mjadala, nilikupa ofa ya kufunguwa nyuzi nije nikupe darsa naona umeghafilika.

Naona umesahau kuwa mzee wa kanisa Mkapa ndiye aliingia mikataba na Barick na Anglo gold. Ardhi ya Bulyanhulu ilikuwa ya kanisa katoliki ya kilimo, vipi? Unayo hiyo habari? Sasa jiulize, waliiachia hivi hivi au wana vijihisa humo au walilipwa kwa mkupuo?
 
Ha ha haaaaaaa kumbe upo? Unakumbuka nilisema hapa jamvini kuwa kunaconection fulani baina yako na viongozi wa Uamusho na serikali ya Irani? Na wewe mwenyewe kwa kinywa chako ukakiri hapa bila kificho. Sasa je hizi habari aambazo nimezipata sasa hivi za kuwa unatafutwa na usalama nazo ni za kweli au ni uzushi tu? Je ni kweli kuna wageni umewapokea
toka Mombasa?

Wewe ni futuhi wetu humu JF wala hautupi shida kila soko lolote lazima liwe na wehu haswa msimu wa maembe.
 
Ha ha haaaaaaa kumbe upo? Unakumbuka nilisema hapa jamvini kuwa kunaconection fulani baina yako na viongozi wa Uamusho na serikali ya Irani? Na wewe mwenyewe kwa kinywa chako ukakiri hapa bila kificho. Sasa je hizi habari aambazo nimezipata sasa hivi za kuwa unatafutwa na usalama nazo ni za kweli au ni uzushi tu? Je ni kweli kuna wageni umewapokea
toka Mombasa?

BD,

Ningeweza kukupuuza lakini nachelea unaweza ukadhani nimekuogopa.
Kwa Muislam uoga si sifa yake.

Na mimi hii si sifa yangu.

Sasa ikiwa unataka haya yangu na Iran na uhusiano wangu na Waislam
duniani pamoja na Uamsho na wengine fungua uzi mpya tujadili.

Hapa si mahali pake.

Uko tayari?
Nasubiri.
 
Huna jipya unataka kuuharibu tu huu mjadala, nilikupa ofa ya kufunguwa nyuzi nije nikupe darsa naona umeghafilika.

Naona umesahau kuwa mzee wa kanisa Mkapa ndiye aliingia mikataba na Barick na Anglo gold. Ardhi ya Bulyanhulu ilikuwa ya kanisa katoliki ya kilimo, vipi? Unayo hiyo habari? Sasa jiulize, waliiachia hivi hivi au wana vijihisa humo au walilipwa kwa mkupuo?
Mikataba ya Barrick aliisaini Kikwete akiwa waziri wa madini. Hiyo kaisema mwenyewe na kujipiga kifua katika hotuba aliyoitoa Afrika kusini February 2007 ( Indaba 2007) Pia usisahau urafiki wake na mkuu wa Barrick Sinclaire, na Joseph Kahama, ambaye naye anamiliki migodi ya dhahabu na ana cheo kikubwa tu kwenye kampuni hiyo. Ardhi ya Bulyankulu ilikuwa ya wachimbaji wadogo wadogo ambao walifukuzwa na wengina kufukiwa wazima wazima, kwa mujibu wa LEAT. Lakini hii ya kwako kumtetea Kikwete sishangai kwani nyote ni Islamists na mnaona ameanza kutekeleza matakwa yetu. Tuna macho.
 
Jamani nipo hapa mitaa ya Mafia na Lumumba. Jirani kabisa na msikiti wa Manyema. Habari za chini kwa chini ambazo nazisikia hapa ni kuwa Mohamedi Saidi anatafutwa na usalama au teyari ameshashikwa kutokana na yaliyotokea Zanzibar.
Inasemekana kuna watu walitokea Mombasa,wakafikia mitaa ya gerezani,na baadae wakapelekwa Zanzibar,na jana mchana
wale watu wakarudi Dar mitaa ya gerezani na sasa hawajulikani walikotokomea. So mkiona Mzee wetu Mohamedi Saidi aonekani tena kwenye masimulizi haya ya mababu zake basi mjue habari ndiyo hiyo.

Note: hii ni hearsay chini yakapeti au mzee MS uwa anapenda kusema Inasemekana.

Kuna masanduku yamekamatwa mpakani mwa Tanzania na Zambia inasemekana yamesheheni makaratasi ya kura hewa! uchunguzi bado unaendelea!

Yaani ni uzushi bin wazushi!
 
Kuna masanduku yamekamatwa mpakani mwa Tanzania na Zambia inasemekana yamesheheni makaratasi ya kura hewa! uchunguzi bado unaendelea!

Yaani ni uzushi bin wazushi!
Hii habari haikuwa uzushi. Kuna vijana wanne wa usalama wa taifa waliingia na baadhi ya masanduku hayo Musoma lakini wakashtukizwa nayo. Polisi waliitwa wakaondoka nao lakini mpaka leo sijasikia kesi yoyote. Unadhani mwizi atajichunguza mwenyewe?
 
Back
Top Bottom