mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 627
Ha ha haaa...Mzee Mohamed Said akiona picha ya Mwalimu nyerere anaona kama amerushiwa nyama ya nguruwe mdomoni.The expression says it all "A man ahead of his time"
Baadhi yetu tumechoka na huku ku-copy na ku-paste kitabu chako hiki ambacho baadhi wanacho au wamepata kukisoma. Unaposema Ally waliandikiana na Kaunda tuwekee hizo nyaraka humu. Au unaposema Abdu alikutana na kufanya mazungumzo na Kenyatta, tuwekee picha angalau hata ya kubumba! Usichukue nafasi na nafsi zao ukazifanya zako. Hauwatendei haki.
WildCard,
Umechoka wewe usiwe msemaji wa wana JF acha watu wachote elimu kutoka kwa Mohame Said.
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 601"] The formation of the Political Sub-Committee in TAA, its involvement in the Constitutional Development Committee of Governor Edward Twining and in its submission of proposals to the government and its conduct in the Meru Land Case smacked of behaviour typical of political organisations.
The colonial government was also aware that Mwapachu was in contact with the Fabian Society and was contributing radical articles to The Sentinel and was exchanging correspondence with ultra-leftists of the Labour Party in Britain. In his capacity as the secretary of TAGSA, Ally Sykes had established contact with the Secretary-General of the Pan African Congress of Northern Rhodesia, Kenneth David Kaunda. [1]
Abdulwahid had met the Indian High Commissioner to East Africa in Nairobi in 1950 in his official capacity as secretary of TAA.
The colonial government was probably aware that since 1950 Abdulwahid and Ally were in constant contact with the Asia Socialist Conference and its Anti-Colonial Bureau.
This behaviour by the Association and its leadership had transformed it into a de facto political party.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[1] K.D. Kaunda to A.K. Sykes, 28 th December, 1953. SykesPapers.
huyo zomba bado yuko sidelined????? naona MS is struggling anahitaji msaada wa huyu yes manWildCard,
Umechoka wewe usiwe msemaji wa wana JF acha watu wachote elimu kutoka kwa Mohame Said.
Nimetumia neno "baadhi yetu", sifikirii wala sijawahi kuota kumsemea mtu humu. Mwambie mzee wetu atuwekee barua ya Ally kwenda kwa KK. Halafu atutafutie angalau picha ya kubumba ya Abdu alipokutana Jomo KenyattaWildCard,
Umechoka wewe usiwe msemaji wa wana JF acha watu wachote elimu kutoka kwa Mohame Said.
Abdu alishakuwa "spent force" wakati huo. Labda Mzee Mohamed atueleze kwa nini Abdu na akili zake nyingi, uongozi wake mzuri,..., hakuingia kwenye serikali ya Mwalimu badala yake Ally akaja kuwemo kama Balozi wetu Ulaya.
Bora umuokoe mzee huyu kwa njia hii. Kali kabisa ni hii, nanukuu kwa ruhusa yako mzee Mohamed, "This behaviour by the Association and its leadership had transformed it a de facto political party", mwisho wa kunukuu.Mohamed Said,
Hizi nondo za historia ya Tanganyika unazitoa nusu nusu.
elimu kutoka kwa Mohamed Said imefikia"dead end"kakutana na vichwa humu ana regret kukanyaga JF,naona ataji squeeze hata kwenye tundu la shindano kukimbia dhana hili-in the meantime mimi namwekea mapicha to keep him awake-ili atupe na kujibu hii barrage ya un un answered questions anayo ulizwa
Nimetumia neno "baadhi yetu", sifikirii wala sijawahi kuota kumsemea mtu humu. Mwambie mzee wetu atuwekee barua ya Ally kwenda kwa KK. Halafu atutafutie angalau picha ya kubumba ya Abdu alipokutana Jomo Kenyatta
Hiyo ya kusahau cheo cha Abdu unaona suala zito sana! Asingemtaja kabisa kwenye hotuba ile je? Mzee, acha kukuza mambo ambayo hata hayana maana. Hotuba ile kama nyingine zote za Mwalimu ilikuwa nzuri sana. Kumbuka Mwalimu alikuwa anatiririka toka kichwani mojakwamoja.
Dead or alive, alishakuwa spent force. Ritz, mbona Abdu hakutia mguu kwenye serikali ya Mwalimu?Abdulwahid kafariki lini? Au kazi ni moja tu kupinga mpaka mwisho.
Wengi tu. Hasa tuliouanza mnakasha huu tokea mwanzo. Nukuu zenyewe zinajirudia tuuu!Baadhi yenu wangapi? Kuna watu zaidi ya 80,000 wanafuatilia huu uzi. Hebu tutajie ambao hamtaki.
Dogo sana. Mshume Kiyate aliyeangalia kula yake kule Magomeni hakumtaja!Dogo hilo?
Ni kweli kabisa. Hata misikitini anakohubiri wamemwelewa sana. Jina la Mwalimu likitajwa tu huko, inafuata "laana tullah!"Mohamed Said,
Anatoa darsa hata yule mtu ambaye akwenda shule kabisa anamuelewa kwa kiasi kikubwa.
Nguruvi,
Kitu kimoja ambacho kitakupa tabu kufahamiana na mimi ni
kuwa ushanihukumu.
Jambo la pili una ghadhabu.
Tatu hujatulia ukatazama ili upate yakini kwa kile mie nilichosema.
Soma tena nilichoandika.
Mimi sijapata kusema Ibrahim Hamisi ni Mmanyema.Mzee Ibrahim Hamisi ni Mnubi mwanae Abdallah Ibrahim tukifahamiana.
Nyumba ya Ibrahim Hamis ilikuwa Mtaa wa Kipata na Kongo.
Sisi nyumba yetu Kipata na Nyamwezi.
Wazee wakifahamiana.Sasa iweje mie niseme sicho?
Labda kama kuna mahali sijapaelewa,lakini maandishi ndivyo yanavyosomeka.Mohamed;In 1929 Kleist and some close friends, namely, Mzee bin Sudi, a Manyema Ibrahim Hamis, a Nubi, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu, Raikes Kusi, Rawson Watts and Cecil Matola founded the African Association. Kleist was the founding secretary