Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Aligombea URAIS wa KWANZA wa TANU mpya ya St Francis Pugu. Akakosa. Akapewa cheo gani baada ya hapo? Mwalimu hakuwa mchoyo.

Abdu ni wa TANU iliyoanzia Burma.

WC,

Hiyo itatuvurugia historia rasmi ya Kivukoni.
 

Duuh!
Nyambala, all I can say is ulikuwa wapi?
 
Hakukuwa na UONGOZI wa KISIASA wala CHAMA cha siasa wakati huo. Walikuwepo akina Abdu na TAA yao ya Kariakoo lakini hawakuwa viongozi wa kisiasa wala TAA hakikuwa chama cha siasa. Ni ukweli mchungu mno kwako huu.

Huo ni ukweli mchungu kwa Mohamed Said,

Nililieleza awali hilo kuwa filosofia ya AA,TAA na TANU zinatofautiana sana tena sana.
 
Mzee Said, quick question... unaweza kutukumbusha ni lini Abdulwahid Sykes alimshauri Nyerere juu ya kuacha ualimu na kuingia katika siasa? do we have a specific date?
 
Zomba,
Inakuwa rahisi kama niko Dar kwenda pale RTD na kuonana nao badala ya kuwapigia simu ukiwa Marekani eti wakutumie tape/cd huko Marekani. Nilishajaribu hapo awali haikuwezekana. Lakini nikiwa hapo uso kwa uso ni rahisi kupitisha deal.
Hili swali nilikuuliza mimi, mbona unali-direct kwa Zomba?
Pili Zomba alikurahisishia, anasema unaweza kutuma PM kwa Yericko halafu atapewa dollars na Zomba akaichukue.
 
naona mjadala umekupalia naona unaleta kebehi za "uborntown"

Son,

Ndugu yangu nyie wenyewe ndiyo mnavuruga mnakasha halafu lawama mnataka kunitupia miye.

Born town!

Mimi nimezaliwa pale Traffic pembeni kulikuwa na hosptali nadhani hadi leo
ipo.

Miaka ya nyuma ilikuwa ni hospitali ya kifua kikuu.
Nimezaliwa mjini kabisa.

Nyambala kashuka na Hansard nzito na kutamba juu.
Nikamwekea vipi TAA ilikuwa 1950 kuhusu Mandate Territory.

Nyambala kapoa kama maji ndani ya jokofu juu kwenye barafu.

Na huyu kaingia na vishindo ati anitishe mie.

Kuweka ile nyote mko kimya mnakuja na kejeli na mie nakulipeni na sarafu yenu wenyewe.

Nakuwekeeni tena lakini safari hii nabadilisha rangi nakuwekeeni ya Kizungu.

TAA HQ, New Street, Dar es Salaam 1950
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Having established the political committee, Abdulwahid settled down to write to all TAA branches in the territory in order to revitalise them.

The major issue facing Abdulwahid and the political committee was the status of Tanganyika as a mandate territory.

Abdulwahid engaged Earle Seaton, a lawyer from Bermuda based in Moshi, and attached him to the committee to advise them on constitutional law and decolonisation of mandate territories under foreign rule.

The United Nations Trusteeship Council had already sent its first visiting mission to Tanganyika in 1948; but not much was gained from this mission.

TAA headquarters in Dar es Salaam under Dr Kyaruzi and Abdulwahid with the backing of the political committee was now rising from its deep slumber.

What was now required were serious issues to stimulate the minds of the young intellectuals.

The TAA leadership did not have to look far.

These issues came in the form of the Constitutional Development Committee set up by Governor Edward Twining and the Meru land evictions.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kwa wale ambao bado wanaamini kuwa shule na hospitali za misheni zililipiwa au kugharimiwa na hela za serikali, ya kikoloni au ya uzalendo, jibu lenu hili hapa, thanks to Nyambala:

Thanks to the work of the civil servants, missionaries and others who have done so much to help, the country is provided with roads, railways, harbours, hospitals and schools.
 
Hili swali nilikuuliza mimi, mbona unali-direct kwa Zomba?
Pili Zomba alikurahisishia, anasema unaweza kutuma PM kwa Yericko halafu atapewa dollars na Zomba akaichukue.

Aah, kumbe uliuliza wewe? Basi jibu ni hilo hilo. Lakini nitakupa siri moja kuhusu TBC. Huwezi kwenda pale kama huna mtu unayefahamiana naye na kuomba tape na kuipata kihivi hivi. Kwanza wamekuwa wakali sana kuzitoa hizi tapes za speech za Mwalimu. Lakini kwa kutumia "personal diplomacy" unaweza kufanikiwa. That is what I intend to do na ndio maana nimewaombeni nyote muwe na subira na tuombeane uzima.
 
Mzee Mohamed Saidi, unafanya mizaha au ndio umekusudia?
 
Nilikuwa napenda sana kuuliza kama umejifunza mantiki; lakini kama umejifunza na bado unaandika unavyoandika itabidi tumtafute Mwalimu wako tumuulize alikufundisha mantiki gani...
Mzee Mwanakijiji, amini kabisa kuna watu wanayatumia maneno bila hata kujua maana ya maneno hayo!
 
Si ndio maana nikakuambia mtumie Yericko Nyerere, ni mtoto wa Nyerere kwahio itakua rahisi kuipata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…