Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mkuu huyu Mzee Said kuna wakati huwa naona hakuna haja ya kujibizana naye lakini kwa kwa trend ya hadithi zake ni dhahiri kabisa kuwa amenuia kuikoroga jamii ya watanzania come what may! Sasa halitakuwa jambo jema tukawa tunatizama tu, when time is available basi kuna umuhimu wa kuchangia to put the records straight.
Inatosha tu kukuambia kuwa kama umekutana na nyaraka za wazee
wangu huko ulikozikuta mbona basi Kivukoni College walipoandika
wazee wangu hawakutajwa katika kitabu chao ''Historia ya TANU 1954-
1977?''
Sasa anapokuja mtu na kusema ananijibu leo mie nauliza
siku zote alikuwa wapi?
Labda hhawakujua hatari ya yale unayoyadai kwani kwa muda mrefu wengi walidhani ni kitabu ambacho umewalenga Waislamu tu. Ni mpaka watu wengine nao walipoanza kukisoma na kuelewa upotoshaji mkubwa uliofanya ndani yake ndio maana leo unapingwa. Utawala wa histohisia umefikia tamati!
MM,
Nimekusoma.
Ikiwa ndiyo tumehitimisha hiyo ni kheri sana kwetu
sote kwa maana mjadala kuhusu kitabu umekamilika.
All is well that ends well.
Kama unaamini historia ni lazima iwe kwenye kitabu kimoja tu basi wanasema imekula kwako. Wewe umesoma kitabu kimoja na ukajiridhisha kuwa kilipaswa kuandika kila kitu (kikubwa na kidogo) kilichotokea katika historia. Huu ni uelewa finyu wa uandishi wa kihistoria. KUweza kuelewa historia ya TANU ni muhimu kusoma katika sehemu mbalimbali na ni katika kufanya ihvyo ndivyo tunavyoweza kuelewa histtoria yote.
Leo hii mtu akitaka kuandika historia ya Uhuru wa Tanganyika atafanya makosa kama hatosoma kitabu chako. Kwa sababu na wewe umechangia kwa sehhemu yako kuielewa historia hiyo. Ni makosa kudhani kuwa wewe umeandika historia yote na kweli tupu. Abdu Sykes, na ndugu zake wametajwa kwenye maandishi mengine ya historia ya TANU au ya matukio muhimu ya TANU.
ILikuwa makosa kwako kudhani kuwa kwa vile hicho unachoita "Historia ya Kivukoni" hakikutaja baadhi ya majina basi TANU haikuwahi kuwapa heshima na kuwataja kwa hadhi zao kina Sykes. Umeongozwa mno na hisia kiasi kwamba umeacha kuandika historia.
kwa mfarakano baina ya Wakristu na Waislamu ambao umeuanzisa kweli unaamini 'all is well that ends well"? It hasn't ended well yet sir.. you brew trouble unhindered...
MM,
Sheikh Hassan bin Amir katajwa?
Vipi Sheikh Mohamed Yusuf Badi, Halima Selengia, Fundi Muhindi,
Shariffa bint Mzee, Amina Kinabo, Abdallah na Maulid Kivuruga...
Mikasa kabla na baada ya uhuru...
Nimekusoma.
Soma historia uone nani aliyefarakisha watu.
Namba moja ni wewe unayetoa madai usiyoweza kuyathibitisha bali kunukuu maandishi yako mwenyewe.Soma historia uone nani aliyefarakisha watu.
Namba moja ni wewe unayetoa madai usiyoweza kuyathibitisha bali kunukuu maandishi yako mwenyewe.
Ni wewe usiyeweza kutoa tafiti bali tafiti ya warsha ulioifanya wewe chini ya usimamizi wa raia wa Pakistan.
Ni Mohamed Said anayefundisha watu kulalamika bila kuweza kutetea malalamiko yako.
Ni wewe unayechukia wanadam kwasababu tu hawafuati imani yako
Ni wewe unayedhani Umanyema, uzulu na Unubi ni bora kuliko raia mwingine.
Ni wewe unayeeneza uongo, chuki, farki na kufitinisha jamii ili uuze vitabu.
Ni wewe mwenye kiu ya kuona damu ya mwanadamu inamwagika kwa gharama zozote.
Ni wewe usiyetaka kuleta utangamano wa taifa bali kuligawa kwa makundi.
Ni wewe uliyejipa haki miliki ya kuamua nani mwislam nani kafir! hata kama maneno na matendo yako hayakupi nafasi
Anayedhani wewe ni wa kudharauliwa basi ajiulize tena. Wengine wakitumia kalamu kugundua maarifa ya kumkomboa mwanadam wewe unatumia kalam ya kumwangamiza.
Kalamu yako ni kubwa maana ina rangi nzuri na za kuvutia hasa kwa wale wapendao rangi hata kama haina wino.
Nimeisoma na jibu lako wazi - ni wewe na wale ambao wanaeneza histohisia yako katika jamii.
MM,
Vipi kuhusu yalosemwa na Njozi, Bergen, Sivalon...
Na wao wamezua uongo?
Kuna tofauti kubwa kati ya walichoandika wengine na unachohfanya wewe. Njozi anakaribiana na wewe lakini unaona siku hizi ameback down na yuko more sober. Yeye aliyedai kuwa Wakristu wanapendelewa kwenye Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro alikuwa na asilimia 80 ya wakufunzi Wakristu! Hamkuwahi kumuuliza kwanini.. kina Bergen na Sivalon hawajesema unachosema wewe.
Kuna tofauti kati ya facts na opinions; they dealt with some certain facts, you on the other and have tried to create facts out of your own opinions.
kwa hiyo wazee wangu mnakasha umeisha au?
kwa hiyo wazee wangu mnakasha umeisha au?
kwa mara ya kwanza naona mnakubaliana.