Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Pasco unasema Ponda ataisha by the time akitoka?
Mwenzio keshajengewa nyumba peponi na shahidi Mzee wetu MS.
Nani anabisha tumuone!!?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Remote umemsahau Ngongo Pasco Mkuu hii thread imemdhalilisha Mohamed Said kwa kiwango cha kutisha.Ameshindwa kutetea hoja za msingi.Wapo mashabiki wake kama Ritz Barubaru THE BIG SHOW Boko haram zomba wamejitahidi sana kumtetea babu wa watu asizidi kudhalilika lakini wamejikuta wakishindwa kujibu hoja nzito nzito toka kila upande.

Namshauri Sheikh Mohamed ajikite kwenye mihadhara misikitini JF ni maji marefu kina chake kinahitaji mwogeleaji hodari na mwenye pumzi kubwa.Misikitini hakuna maswali waumini wanakubali kulishwa kila kitu bila kukifanyia uchambuzi wa kina.



 
Ndio maana wakati flani nilisema akina Ponda, Ilunga, ..., ni waimbaji wa nyimbo zinazotungwa na kunakshiwa na Mohamed Said. Serikali isihangaike na dagaa hawa! Huyo sheikh Amir huko alikozaliwa na alikorudishwa na Mwalimu hakuna msikiti unaitwa kwa jina lake. Hapa Tanganyika alitufanyia lipi la maana? Afadhali msikiti huo ungepewa jina la Abdu Sykes.
 
Pasco unasema Ponda ataisha by the time akitoka?
Mwenzio keshajengewa nyumba peponi na shahidi Mzee wetu MS.
Nani anabisha tumuone!!?
Hivi ndivyo watu kama Osama bin Laden alivyowaambia wale vijana waliokwenda Marekani kuteka ndege kwenye lile tukio la 9/11. Vijana wote wale wako peponi na roho za maelfu ya watu wasio na hatia. Mzee Mohamed hana tofauti na Osama. Tuendelee kumchekea tu.
 

kabonde,

Naona unajaribu kung'oa mbuyu kwa Bajaj.

Kwa hiyo nyie ni mashabiki wa Nyerere bahati mbaya mmekutana na mipini ya maana Nyerere Kanisani siyo uraiani.
 

Anajua kucheza na akili zao vizuri sana.
Kweli huyu ndiye "Master mind", watu wa aina yake hutawaona kwenye kukuru kakara
za kuandamana wala kubomoa fensi za Kiwanja cha Markaz. Humuoni kwenye mikutano
mikubwa ya kidini ambayo huwa na tuhuma nzito nzito (hata kama hazifanyiwi utafiti) na
uchochezi akitoa hotuba.

Hutamuona amekaa na akina Sheikh Ilunga kwenye mihadhara ambako "fatwa" inatolewa.
Na hata kwenye mikutano midiogomidogo anayaoandaliwa hutamuona akiwaambia Vijana wa Kiislam
kwa juhudi kubwa watie bidii kwenye masomo na kazi, ila atawaeleza jinsi "wanavyodhulumiwa na kunyanyaswa"
huku akijua fika watarudi mtaani tulipo wengine na kupigika sawia na wenzao wa Imani nyingine.

Bei ya sukari, mchele na sembe ni ileile kwa wote. Kodi ya nyumba flat rate kwa wote kwenye nyumba hiyohiyo hata
kama mmiliki ni Muislam.
By the time moto ukiwaka nchi hii yeye huyoo Ulaya au Marekani (hataenda Saudia wala Iran)!
 
[h=1]Julius Kambarage Nyerere
1922 to 1999
Roman Catholic Church
Tanzania[/h] [SIZE=-1] Julius Kambarage Burito Nyerere was born in 1922 at Butiama village, Musoma, Tanzania. He was a Zanaki by tribe. His father was Chief Burito Nyerere and his mother was Mgaya Wanyang'ombe. His father died while Kambarage was still young. His mother who raised him died in 1997 at the ripe old age of almost 100. Kambarage, the name he was given at birth, means "the spirit which gives rain" in Zanaki because the day he was born a very heavy rain fell.

In 1934 he was admitted to Mwetenge Primary School in Musoma, Tanzania, a school that was about forty-two kilometers from his home. Nyerere was a brilliant and hard working student. He regularly scored the highest marks in the class and was the leading pupil in all examinations. He received the highest score in the country on the standard four examination. After that he undertook studies at Tabora Government School in 1937, graduating in 1942.

When he reached the age of twenty, he decided to join the Roman Catholic Church. For the occasion he was asked to take a baptismal name so he chose the name Julius. He was baptized on December 23, 1943 by Father Mathias Koenen.

After passing the examination at Tabora quite successfully, he was able to begin studies at Makerere University in 1945. At the university, Nyerere liked to talk about politics, especially the politics of liberation. He also preferred traditional African dances to western forms of dance. He disapproved of drinking alcohol. Some of his fellow students thought that Julius Nyerere might become a priest later on because of this.

After Makerere University Nyerere took a position as a teacher at Saint Mary's School, owned by the Roman Catholic Church in Tabora.

Nyerere received a scholarship to go to Edinburgh University in Scotland where he studied history, politics, and economics. In addition, in his spare time he studied Greek and Latin. In 1952, he was the first Tanzanian to be awarded a Masters degree. When he returned to Tanzania he was assigned to work at St. Francis School, Pugu.

Nyerere married Maria Gabriel Majige, a primary school teacher, on January 24, 1953. Father William Collins officiated at their wedding.

In 1954 he started to get involved in politics and joined the political party called Tanganyika African Association (TAA). On July 7, 1954 the name of the party was changed to Tanganyika African National Union (TANU). At this meeting Nyerere was elected the first president of TANU. The Roman Catholic leadership in charge of St. Francis School at Pugu where he was teaching asked him to choose between teaching at their school and his work in politics. Consequently he decided to resign his teaching position and pursue politics.

He traveled throughout the country campaigning for independence (Uhuru in Swahili), continuing on even in the face of numerous threats and obstacles from the colonial government. In 1958 he went in front of the United Nations Organization (UNO) to plea for the independence of Tanganyika which was then under the ordinance of the British Trusteeship Territory. On December 9, 1961, Tanzania received its independence and Nyerere became the first prime minister of Tanganyika. After a few months, he resigned from his position in order to strengthen the party and Rashid Mfaume Kawawa became prime minister. On December 9, 1962, Nyerere was elected the first president of the Republic of Tanganyika. When Tanganyika and Zanzibar united to form the United Republic of Tanzania on April 26, 1964, Nyerere became the first president of Tanzania.

He introduced the political ideology of socialism and self-reliance so "that people…could live together and develop in dignity and freedom, receiving the full benefits of their cooperative endeavors." (Man and Development, p. 37)

Even as a politician, Nyerere practiced his Christian faith openly in concrete ways. First, he was a very devoted member of the Roman Catholic Church. When at home he went to early Morning Prayer everyday from 6.00 to 7.00 a.m. at St. Joseph's congregation, Dar es Salaam. Also, instead of fancy titles, he preferred to be called Mwalimu which means "teacher" in Swahili. Secondly, for the sake of religious tolerance he helped to formulate the religious articles in the constitution of the government of Tanzania and endorsed them in the 1960s. These articles, which are still used at the present time, mainly focus on the right to freedom of religion. The article on freedom of religion was re-incorporated in 1984, 1992, 1995, and 1997. Thirdly, Nyerere made many efforts to cultivate mutual relationships with religious leaders.

Fourthly, whenever he was invited to participate in church functions, he challenged churches to strive to fulfill their calling. Nyerere was a committed and professing Christian and church member and, as a result, he felt it was his responsibility as a politician to challenge the church to remember her responsibility to society. In one of the speeches he gave at the Maryknoll Sister's Conference in New York on October 16, 1970 (quoted from Man and Development, p. 48), he emphasized the church's role in society in these words:
Poverty is not the real problem of the modern world. For we have the knowledge and resources which could enable us to overcome poverty. The real problem--the thing which causes misery, wars, and hatred among men--is the division of mankind into rich and poor. We can see this division at two levels. Within nation states there are a few individuals who have great wealth and whose wealth gives them great power, but the vast majority of the people suffer from varying degrees of poverty and deprivation. Even in a country like the United States of America, this division can be seen. In countries like India, Portugal, or Brazil, the contrast between the wealth of a few privileged individuals and the dire poverty of the masses is a crying scandal.​
Again, speaking on the unfair distribution of the world's resources, Nyerere stated:
…There are few wealthy nations that dominate the whole world economically--and therefore politically--and a mass of smaller and poor nations whose destiny, it appears, is to be dominated. The significance about this division between the rich and the poor is not simply that one man has more food than he can eat, more clothes than he can wear and more houses than he can live in, while others are hungry, unclad, and homeless. The significant thing about the division between rich and poor nations is not simply that one has the resources to provide comfort for all its citizens, and the other cannot provide basic services. The reality and depth of the problem arises because the man who is rich has the power over the lives of those who are poor, and the rich nation has power over the nations which are not rich. So the rich get richer and more powerful, while the poor get relatively poorer and less able to control their own future.​
What is the role of the church in such situations? Nyerere calls the church to recognize the need for a social revolution, and to play a leading role in it, "for it is the fact of history, that almost all successful social revolutions which have taken place in the world have been led by people who were themselves beneficiaries under the system they sought to replace" (Man and Development, p.98). He continues to say that,
(&#8230😉 the church should join with these nations [Scandinavian countries and Canada] and if possible help to increase their number….Only by activities in these fields can the church justify its relevance in the modern world. For the purpose of the church is Man-- his human dignity and his right to develop himself in freedom. For all human institutions including the church, are established in order to serve man And it is the institution of the church, through its members which should be leading to attack on any organization, or any economic, social, or political structure which oppresses men, and which denies to them the right and power to live as the sons of a loving God.​
Finally, Nyerere concludes his speech to the Maryknoll Sisters by quoting from the Encyclical letter of His Holiness Pope Paul VI on the development of people, "If someone who has riches of this earth sees his brother in need and closes his heart to him, how does the love of God abide in him?" The pope then quoted St. Ambrose, "You are not making a gift of possessions to the poor person, you are handing over to him what is his." Later Nyerere quotes the letter again, saying, "To wage war on misery and struggle against injustice is to promote, along with improved conditions, the human and spiritual progress of all men, and therefore the common good of humanity. Peace cannot be limited to a mere absence of war; it is the result of an ever-precarious balance of forces. No, peace is something that is built up day after day, in the pursuit of an order intended by God, which implies a more perfect form of justice among men." (Man and Development, pp. 98-99)
[/SIZE]
 
Tanzanians wonder whether Nyerere saint or sinner

(Reuters) - In a world where politicians are usually cast as villains and sinners, Tanzania's founding father Julius Nyerere may yet turn out to be a saint.
Eight years after he died at the age of 77, the Roman Catholic Church in Tanzania is leading a call to beatify the statesman who in life earned worldwide respect for his pan-Africanist vision.





The act of being declared "blessed" by the Pope, for which one miracle has to be recognized by the Vatican, is the last step in the Church's long path before sainthood.
If it happened, his elevation would be a rare honor for Africa, which some say badly needs heroes to counter-balance a series of corrupt leaders and greedy despots who have tarnished the continent's post-colonial history.
The head of the Roman Catholic Church in Tanzania, Cardinal Polycarp Pengo, said the campaign to have Nyerere beatified was a message to leaders who had fallen by the moral wayside.
"When you speak of politicians -- they are known as liars, they are known for not keeping their word. When we say someone is involved in business -- it's like closing the doors to heaven," Pengo told Reuters.
"Our aim is mainly to encourage politicians, statesmen and businessmen to live a life that is capable of leading them to sainthood," he said in an interview at Dar es Salaam's St Joseph's Cathedral, overlooking the Indian Ocean waterfront.
Pengo said an appeal, known as a cause for beatification, was sent in 2005 to Rome. The appeal begins the process to determine whether Nyerere was worthy of beatification. It may take years if not decades for Rome to make a ruling.
"MWALIMU"
Most Tanzanians remember Nyerere -- a slight man with a penchant for Mao-style suits -- as an honest leader who led his people to independence in 1961. He then dismantled tribalism, by advancing Kiswahili as the national language and culture, to make Tanzania one of Africa's most peaceful nations.
Nyerere ruled for 23 years before stepping down voluntarily in 1985: a rarity in African politics.
Even after death, Nyerere's picture is often found hanging alongside that of current President Jakaya Kikwete, while his name is uttered with hushed reverence by many Tanzanians who still call him their teacher -- "Mwalimu" in Kiswahili.
The son of a tribal chief, Nyerere was said to have remained true to his mission upbringing, becoming a devout Catholic who often fasted, attended Mass on an almost daily basis and translated parts of the Bible into his native Zanaki language.
He earned respect for his integrity and his lifestyle was modest to the point of austerity -- in stark contrast to the excesses of his contemporaries, including Uganda's Idi Amin, Zaire's Mobutu Sese Seko and Ethiopia's Haile Mariam Mengistu.
A university professor who knew Nyerere said he always carried a copy of the Bible and the 1967 Arusha Declaration, which was meant to turn Tanzania into a model of self-reliance.
But critics say Nyerere's perceived saintliness was undone by his political legacy. His experiment with socialism left Tanzania poorer and hungrier than when he came to power.
Some recall with bitterness the economic hardship brought about by Nyerere's "Ujamaa" system of collective farming and sweeping nationalizations that laid claim to land, property, industries, businesses and even schools.
"My grandfather told me how much pain he still has from the suffering he underwent working in the nationalized plantations, and getting nothing in return," said Alfayo, a trader who did not wish to give his last name.
"For that, I don't think Nyerere deserves to be a saint."
A civil servant who only gave his name as Musa questioned the motives behind the sainthood drive. "Ujamaa is not part of the Bible and he did not die for his beliefs. This push to make Nyerere a saint is all political, he said.
 
Kumbe hapa tunaongea na mwehu mimi nilidhani ni mtu na akili zake, labda mniambie tu kuna Mungu na kuna Allah hawa ni tofauti ndio naweza kumuelewa huyu Mzee ambaye maishani mwangu sitamani kukutana na watu wenye akili ndogo kama hizi.
 
Bwana mdogo Boko, wewe unasoma upuuzi wa mzee wako Mohamed Saidi kwa jicho la uislam na kwamba yameandikwa na muislam mwenzako ambaye anaujiko wa mihadhara! kwa hiyo unaona kama ni hadith za mtume vile. Kwa mtindo huo hutaweza kuchambua hata kidogo na kila anayetofautiana na mawazo ya Mohamed unamshangaa kabisa kwa sababu maisha yako yote umekuwa ukifundishwa kwamba kila linalosemwa na mzee wa kiislam ni la kweli. Utakapotoka katika lindi hilo la ujinga utakuja mchukia sana Mohamed kwamba alikunyang'anya nguvu yako ya kujiamini na kufikiri kama msomi.
 
Kumbe hapa tunaongea na mwehu mimi nilidhani ni mtu na akili zake, labda mniambie tu kuna Mungu na kuna Allah hawa ni tofauti ndio naweza kumuelewa huyu Mzee ambaye maishani mwangu sitamani kukutana na watu wenye akili ndogo kama hizi.

Matola,

Ungesema kinyume cha hayo basi Qur'an audhubilah mindhalika
ingekuwa imesema uongo.

Kote umekuwa ukinisoma bila shaka lakini ikhtilafu imekuja pale
tu nilipomtukuza Allah.

Ghafla nimekuwa na matatizo ya akili.
 

Platozoom,

Unasema kitu ambacho huna ushahidi nacho.
 
Kumbe hapa tunaongea na mwehu mimi nilidhani ni mtu na akili zake, labda mniambie tu kuna Mungu na kuna Allah hawa ni tofauti ndio naweza kumuelewa huyu Mzee ambaye maishani mwangu sitamani kukutana na watu wenye akili ndogo kama hizi.

Tumeishawazoea hiyo ndiyo michango yenu humu JF wenyewe mnaziita nondo.
 

WC,

Nimekusoma.
 
True Ritz "YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOME TIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME"but muslim is a sleeping giant but THE SLEEPING GIANT ARE WAKE UP
Bwana mdogo Boko, wewe shule yako ni ndogo sana ndio maana mzee Mohamed Said ameamua kukuchezea kama apendavyo! Sasa hapo kwenye rangi ya blue ndio kiingereza cha wapi hicho? Uwe unamuomba mzee wako Mohamed awe anakuandikia kiingereza kabla ya kukileta hapa! Na kwanini usiwe unaandika kiswahili chako ambacho umesomea tangu madrasa mpaka sekondari ya kata?
 
True Ritz "YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOME TIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME"but muslim is a sleeping giant but THE SLEEPING GIANT ARE WAKE UP
Sasa rafiki yangu Boko, kama hicho ndicho kiingereza mnachoandika kwenye mitihani ya NECTA mkifeli mnasababu ya kuulaumu mfumo kristo!?
 
Usishangae yupo kwenye sleep mode.
 

hapo kwenye RED wewe hutaki nyumba huko peponi!!?!!????
mbona huwa hushiriki kwenye hizo harakati za kina Ponda physically.

Mbona hukwenda siku ile kuvamia kiwanja????? Ama hakika mzee wewe kwa kuwajaza upepo wenzako hujambo..

Angalia sasa ponda wa watu yupo jela na wewe upo unabarizi pembeni ya kompyuta yako ukiangaza vinavyoendelea duniani.
 

Ndio nimetoka madrasa sasa hivi yaani nasikia raha sana kusoma madrasa na hicho kithungu nimefundishwa madrasa wewe na kithungu chako kimekusaidia nini au kwenda chooni na toilet paper na kula kwa mkono wa kushoto acheni kuiga upuuzi soma uislamu ndio utajua uislamu ni ustaarabu ili uache huo upumbavu wako wa ki ATHEIST
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…