Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Jasusi,

Tanzania ndipo ilipo hapo hivi sasa.
Hakuna anaemtakia kheri mwenzake.

Tunatazamana kwa jicho baya sana.
Inatisha na inasikitisha.

Al akhiy Mohamed Said.

kama wiki iliyopita ungetazama BBC walionyesha live makadinari wa Kikatoliki wakiingia vatican na kuanza kwa zoezi lao la kumchagua kiongozi wao ambaye ni Papa.

kabla kuanza kwa Zoezi hilo walianza na majadiliano maalum ya ya kUJADILI MAHUSIANO YAO YA KANISA NA WAISLAM. Lakin hilo huko Tanzania hususan wenzenu wa upande wa pili hawalioni hilo na kutaka kuendeleza dhulma kama walivyozoea na kuzoeshwa na Serikali.

jiulize suala dogo tu. Kwanini kuuwawa padri Znz wameleta FBI , kwanini kuteswa kwa mwandishi wa habari KIBANDA na wengi wengi wengine wasiojulikana na wanaojulikana kama Dr Ulimboka wasilete FBI kuchunguza pia?

 
Nadhani Kambona na Kamaliza walikuwa WaKristo (kwa jinsi tunavyochukuliana siku hizi kupitia majina ya kizungu kuwakilisha Wakristo na ya Kiarabu kuwakilisha Waislamu) walitofautiana sana tu na Nyerere.

Huyo 'mwanahistoria' mwenye mawazo ya chini sana ambaye unataka aje kuandika kuhusu udini na kabila la Nyerere ili kumtweza atabaki Mohammed Said tu. Kama wataibuka wengine labda itakuwa kujaribu kuupinga upotoshaji wa Sheikh Said kama alivyofanya Yeriko Nyerere.
Yerico kafanya nini?.
Yaani huu uzi umeufanya ndio historia?.Angalia vizuri hapa Yerico ametoa shutuma kuwa historia ya Mohammed Said na watu wametetea na Yerico mwenyewe hana hamu tena na huu mjadala kwani hana cha ziada kusema.
 
Haaa!!!! mpini upi tena unautaka kutoka kwangu? Kila nilichosema amekisema Mohamed na nashukuru kuwa sikusema uongo.

Lakini pia lazima utambue kuwa Mohamed ni mwanafunzi wa Maliki sasa sijui unatgemea akuambie nini kuhusu deportation yake! Not everything you see is roses, read between the lines you will see sharp thorn

Ile tafiti maarufu ya Warsha kwa mujibu wa Mohamed ilisimamiwa na nani?
Ni kwanini Mpakistan aje kufundisha social and political subjects katika misikiti?
Kwanini Mohamed ambaye amekiri ni mwanafunzi wake hakujiorodhesha miongoni mwa wanafunzi aliowataja? do you know why!

Nguruvi3,

Mbona unabadilika tena alivyomuelezea Mohamed Said kuhusu Sheikh Malik na wewe tofauti.

Kuna mabandiko yako yapo humu umemuelezea Sheikh Malik kama mtu hatari ukamnasibisha na ugaidi ukaenda mbali zaidi ukasema ndiyo mfadhili wa Masheikh ambao anawadhamini kwenda kusoma Pakistan mimi nikakuliza nitajie hata Sheikh mmoja ambaye kafadhiliwa na Sheikh Malik umeshindwa kumtaja.

Ukatoa ahadi utaelezea uchochezi wa Sheikh Malik kutoka Pakistan. Sasa kama nafsi yako inakutuma haukusema uongo sawa.
 
This movement instead of pursuing the nationalist-secularist ideology articulated by Muslim founders of independence movement should strive to adopt in the new wave, Islam as theideology of genuine freedom. The decision to this change of strategy was that secularism had failed Muslims.

I see a problem with Malik's teaching. If Tanzania was Pakistan, where the majority is Moslem I can see the reason for adopting Islam as the ideology of genuine freedom. Na kama haya ndiyo mnayotaka kutuletea basi heri tubaki hapa hapa tulipo. I believe in secularism because it offers everyone the freedom to persue their interests unencumbered.
And for this I am eternally grateful to the Muslim founders of independence movement.

 
Mpakistani anakuja kuwafundisha Watanzania juu ya yanayoendelea Tanzania... ukiuliza yeye aliyajua vipi hutajibiwa...
Ajabu iko wapi?.Yeye si wa mwanzo.Hata Sivalon hakuwa mtanzania.
Kama umeamua kushangaa basi ungeshangaa wale wanaokuja kutafuta wahalifu.
Tatizo unapofikiri huwa unafanya hivyo kwa kutanguliza wivu na chuki zako kwa waislamu.
 
Mbona hawakuthaminiwa hata kwa utanganyika wao kwa angalau kutajwa na kuelezwa kuwa na wao walikuwa wapigania uhuru.
Wengi hawakujulikana kabisa mpaka Mohammed Said alipoondika historia zao.
Wacha kudanganya wewe! tatizo lako husomi vitabu na machapisho mbalimbali, wewe umeng'ang'ana na maandishi ya ulaghai wa mzee wako chauchochezi Mohamed.
 
Wacha kudanganya wewe! tatizo lako husomi vitabu na machapisho mbalimbali, wewe umeng'ang'ana na maandishi ya ulaghai wa mzee wako chauchochezi Mohamed.

Dah nakusikitikia sana mkuu wewe kila kitu kwako ni kudanganya mbona huo ukweli wako hatujauona na huo uchochezi unaomsingizia mzee MS mbona hautuonyeshi?au ni hizi ngano za NGURUVI3 na MAG3 zinakupa kichwa ngoja sisi tuendeleekulamba buti za mzee MS
 
Wacha kudanganya wewe! tatizo lako husomi vitabu na machapisho mbalimbali, wewe umeng'ang'ana na maandishi ya ulaghai wa mzee wako chauchochezi Mohamed.

Mimi nilikuwa nazungumzia hawa walioorodheshwa na Ritz

Ulikuwa umeishawahi kusikia habari za hawa wazee, Sheikh Suleiman Takadir, Mzee Fundi Muhindi, Idd Tosiri, Idd Faiz, Dr William Mwanyisi, Dr Vedasto Kyaruzi, Stephen Mhando, Dossa Aziz, Ally Sykes, H.K. Viran, Liwali Juma, Abdulkarim Karimjee, George Magembe, Erikah Fiah, Mufti Sheik Hassan Bin Amir, Jumbe Tambaza,Mshume Kiyate, Rajabu Diwani, Makisi Mbwana, Sheikh Haidari Mwinyimvua, Tewa S Tewa, Denis Phombeah, Dome Okochi, Patrick Aoko, John Rupia, Joseph Kimalando..

Usiwe mvivu wa kujibu kama wenzako.Huko ulikosoma tuletee hao wazee wametajwa wapi kabla hujawasoma kwa Mohammed.
Ukiwapata ni wachache kati ya hao.
 
Mohamed Said;5880406]
Nguruvi,
Tuendelee na darsa la mwalimu wangu Sheikh Malik:
These young men having finished their tutorial under Prof. Malik began to see issues in the country in a different light.
They harboured the desire to initiate a political movement in the mainland graced by Muslim sentiments to free Muslims from the bondage of Christian dominance
This is the clear testimony that prof Malik had a hidden agenda under the cover of mathematics prof.

It's undisputed fact that Malik was a politician from Pakistan rather than Mathematician.
Prof wanted his students to topple the government
It was in their view that a movement similar to the independence struggle initiated by Muslims in 1950s which ousted the British from Tanzania should be organised but this time the struggle had to be different.
Not true, unless you don't appreciate the grass root-work and the AA evolution.
The Independence movement was owned by Tanganyikans who explicitly rejected division on the line of religion as demonstrated in the case of AMNUT 1958
This movement instead of pursuing thenationalist-secularist ideology articulated by Muslim founders of ndependence movement should strive to adopt in the new wave, Islam as theideology of genuine freedom. The decision to this change of strategy was that secularism had failed Muslims. These were by any standards very radical thoughts.
Unfortunate the radical thoughts are still lingering among Malik's students, Mohamed as prototype
However radical they might have seemed, the teachings received support and very attentive ears. Most of those who harboured this thought were young graduates who had experienced the discrimination particularly against educated Muslims by Christian bureaucrats who saw in these young educatedMuslims a threat to the status quo
Any proof of discrimination Sir!
It happened that by mid 1970s students of Dr. Malik's student werepassing through higher institutions of learning including the University of Dares Salaam where they became active in student politics in their own style.
Strangelythe BAKWATA leadership at the headquarters decided to turn the organisationinto a profit making body.
It registered a transportation company and bought trucks for the business.
This became the source of the conflict because reports were received that BAKWATA trucks were transporting alcohol as part of its cargo.
This was the family feud which had nothing to do with government or Christians the least to say
Studentof Prof. Malik had by then formed an organisation - Muslim Writers Workshop which came to be popularly known as Warsha.
Supposedly these are the same people who harbored radical ideas as taught by Malik. Mohamed Said, was an active member of warsha. You may recall the infamous research done by the same group about education and enrollment of students at UDSM
For strategic purposes this organisation operated without registration and noone exactly knew its leadership (even if they would have applied for registration the government would not have approved)
This is the personal assumption and not the fact on the table. Refrain from making your personal view as Muslim's view.

The fact that warsha harbored radical ideas to topple the government, I stand with the government stance not to register the organization if that would have happened

Judging from the qualityof the papers it published on various topics affecting Muslims and distributedto Muslims there was no doubt whatsoever the authors were highly educated.
I read the papers! without doubt Mohamed was the author and editor. The onus to prove the quality and validity lies to the readers of this mnakasha beacus it the same stuff.
One thing I can boldly say, it's the same old wine in new bottle
.
Since its inception a goodnumber of Muslims adopted an apathetic attitude towards BAKWATA.
With the help of Warsha Sheikh Mohamed Ali was able tocall for fresh elections under a new constitution.
[1]
A new progressive and independent leadership came into power.
Sheikh Mohamed Ali had managed to conduct not only coup de grace against Chairman Saleh Masasia nd his deputy Sheikh Abdallah Chaurembo from leadership but also against Nyerere who had imposed this leadership upon Muslims.
Well said, so from this point BAKWATA became the legitimate and true representative organ of Muslims in the country.

Nyerere was disgracefully defeated by Warsha members.
Soon after, members of Warsha, the ardent student of Sheikh Malik moved in to occupy different positions in BAKWATA.
This was 1981.For the first time since 1968 BAKWATA began to act and behave as a true Muslim organisation. This infused into Muslims a new sense of hope and direction.
Well! well! well! here comes Mohamed deliberately confusing the public.

Think about this, in 1981 Warsha managed to defeat Nyerere's establishment inside BAKWATA.
The Warsha occupied different position within BAKWATA and infused a new sense of hope and direction, according to Mohamed.


For the past one month Mohamed is vehemently criticizing BAKWATA as the puppet organ instituted by Nyerere to oppress Muslims. This happens 30 years after Warsha and Mohamed defeated Nyerere and 14 years after Nyerere's demise

Mohamed under the influence of Malik's idea stirred coup de tat in 1981 and take the ownership of BWAKATA.
Today you have changed the position and point the finger to the same organ you helped to reform!
Strange! Anachronism!





 
Nguruvi3,

Mbona unabadilika tena alivyomuelezea Mohamed Said kuhusu Sheikh Malik na wewe tofauti.

Kuna mabandiko yako yapo humu umemuelezea Sheikh Malik kama mtu hatari ukamnasibisha na ugaidi ukaenda mbali zaidi ukasema ndiyo mfadhili wa Masheikh ambao anawadhamini kwenda kusoma Pakistan mimi nikakuliza nitajie hata Sheikh mmoja ambaye kafadhiliwa na Sheikh Malik umeshindwa kumtaja.

Ukatoa ahadi utaelezea uchochezi wa Sheikh Malik kutoka Pakistan. Sasa kama nafsi yako inakutuma haukusema uongo sawa.
Kuna post umeziruka. Mag3 Kamuuliza Mohamed kuhusu hayo.
Mohamed amekiri kuwa yeye ni mwanafunzi wake na tena ameendelea kukiri katika badiko la hivi karibuni.

Mohamed amekiri kuwa hakuna ubaya Sheikh Malik kudhamini wanafunzi na wala si jambo la ajabu.
Mohamed hakukataa kuwa udhamini hautolewi na Mwalim wake Malik kwa masheikh.

Kuhusu uhatari, Mohamed amenisaidia kuthibitisha hilo. Hebu soma baiko lake la kiingereza uone jinsi Mohamed, Warsha na Maliki walivyotaka kuleta mapinduzi nchini.

Kana kwamba haitoshi wao ndio waligeuza political landscape hasa kwa waislam.
Naomba usome vizuri na urudi kunithibitisha kama nilichosema ni uongo.

Mohamed kakubali kila kitu kwa maandishi, sasa wewe unakataa kipi.

Nadhani nimshukuru sana Mohamed kwa kunitetea. Mabandiko yapo durusu kwa utaratibu ukiwa na macho angavu.
 
Kuna post umeziruka. Mag3 Kamuuliza Mohamed kuhusu hayo.
Mohamed amekiri kuwa yeye ni mwanafunzi wake na tena ameendelea kukiri katika badiko la hivi karibuni.

Mohamed amekiri kuwa hakuna ubaya Sheikh Malik kudhamini wanafunzi na wala si jambo la ajabu.
Mohamed hakukataa kuwa udhamini hautolewi na Mwalim wake Malik kwa masheikh.

Kuhusu uhatari, Mohamed amenisaidia kuthibitisha hilo. Hebu soma baiko lake la kiingereza uone jinsi Mohamed, Warsha na Maliki walivyotaka kuleta mapinduzi nchini.

Kana kwamba haitoshi wao ndio waligeuza political landscape hasa kwa waislam.
Naomba usome vizuri na urudi kunithibitisha kama nilichosema ni uongo.

Mohamed kakubali kila kitu kwa maandishi, sasa wewe unakataa kipi.

Nadhani nimshukuru sana Mohamed kwa kunitetea. Mabandiko yapo durusu kwa utaratibu ukiwa na macho angavu.

Nguruvi,

Mimi sikiri mimi nasema.
Hayo yote kweli ulosema.

Hivyo ndivyo tulivyosimama kupambana na njama
dhidi ya Uislam.

Na kwa hakika nina tafakhari leo kuwa kesho kiama
nitamkabili Allah na naomba anikubalie juhudi hizi zangu
na anilipe pepo yake.
 
This is the clear testimony that prof Malik had a hidden agenda under the cover of mathematics prof.

It's undisputed fact that Malik was a politician from Pakistan rather than Mathematician.
Prof wanted his students to topple the government
Not true, unless you don't appreciate the grass root-work and the AA evolution.
The Independence movement was owned by Tanganyikans who explicitly rejected division on the line of religion as demonstrated in the case of AMNUT 1958
Unfortunate the radical thoughts are still lingering among Malik's students, Mohamed as prototypeAny proof of discrimination Sir!
This was the family feud which had nothing to do with government or Christians the least to saySupposedly these are the same people who harbored radical ideas as taught by Malik. Mohamed Said, was an active member of warsha. You may recall the infamous research done by the same group about education and enrollment of students at UDSM This is the personal assumption and not the fact on the table. Refrain from making your personal view as Muslim's view.

The fact that warsha harbored radical ideas to topple the government, I stand with the government stance not to register the organization if that would have happened

I read the papers! without doubt Mohamed was the author and editor. The onus to prove the quality and validity lies to the readers of this mnakasha beacus it the same stuff.
One thing I can boldly say, it's the same old wine in new bottle
.
Well said, so from this point BAKWATA became the legitimate and true representative organ of Muslims in the country.

Nyerere was disgracefully defeated by Warsha members.
Well! well! well! here comes Mohamed deliberately confusing the public.

Think about this, in 1981 Warsha managed to defeat Nyerere's establishment inside BAKWATA.
The Warsha occupied different position within BAKWATA and infused a new sense of hope and direction, according to Mohamed.


For the past one month Mohamed is vehemently criticizing BAKWATA as the puppet organ instituted by Nyerere to oppress Muslims. This happens 30 years after Warsha and Mohamed defeated Nyerere and 14 years after Nyerere's demise

Mohamed under the influence of Malik's idea stirred coup de tat in 1981 and take the ownership of BWAKATA.
Today you have changed the position and point the finger to the same organ you helped to reform!
Strange! Anachronism!






Nguruvi,

Hivi ndivyo tutakavyokwenda Insha Allah.
Wala mimi sitashughulika kukujibu.

Nitaeleza upande wetu ili dunia ijue Waislam
tumepitia kipindi kipi na vipi tulipambana na
dhulma.
 
This movement instead of pursuing the nationalist-secularist ideology articulated by Muslim founders of independence movement should strive to adopt in the new wave, Islam as theideology of genuine freedom. The decision to this change of strategy was that secularism had failed Muslims.

I see a problem with Malik's teaching. If Tanzania was Pakistan, where the majority is Moslem I can see the reason for adopting Islam as the ideology of genuine freedom. Na kama haya ndiyo mnayotaka kutuletea basi heri tubaki hapa hapa tulipo. I believe in secularism because it offers everyone the freedom to persue their interests unencumbered.
And for this I am eternally grateful to the Muslim founders of independence movement.

Jasusi,

Karibu umjue mwalimu wangu Sheikh Malik.

Hii ni kwa hisani ya Nguruvi nami nimeahidi
kumuelezea sheikh na kile alichofanya kabla
hajafukuzwa nchini.
 
"Muslims are demanding the restoration of their history and honour as true liberators of Tanganyika. This is unprecedented. One can only speculate and wonder where this would lead to. Can we identify this phenomenon as corrective and revision of history or is it a lesson of anarchy in recording history?
12 The result of all this is that the Church has been made to stand naked. That the Church did not play any role during Maji Maji13 or during the struggle against the British or that it has worked hand in hand with the government to sabotage Islam and Muslims is now common knowledge."

@Mohamed Said -hapo umedai kanisa halikusaidia-sasa hawa MARYKNOLL SISTERS-waliompeleka Nyerere UNO ni akina nani?? dont you see history inakusuta mchana kweupe

Hiyo tiketi yao ndiyo ishawafanya walikuwa mstari wa mbele?
Ndiyo tuwaweke sawa na akina Mshume?
 
Kiukweli, Mohamed Said, licha ya kuwa ni msimulizi mzuri, na mwana Jihad maarufu ambaye yuko tayari kufanya uhalifu wa aina yoyote in the name of Islam, ndio maana he is more than happy kuendelea kumwaga hii sumu humu!.

Naomba nikiri wazi, pamoja na sumu yake, "he has the power" to make things happen ndio maana huu uzi mpaka sasa tuko
  • Replies: 9,399
  • Views: 96,333
tena hizi numbers 3,6,9 zina maana kubwa sana kwenye "numerology", sasa tunaelekea views 100,000!, yaani Hii sumu ya Mohemed Said anayoendelea kuimwaga humu imepata wafuasi 100,000 zaidi, sijui hata kitabu aliprint copy ngapi!, endeleeni tuu kumpa milege na promo, huku yeye akiwachagiza na kuendelea kumwaga dozi ya sumu!. Tangu nimejiunga jf, sina kumbukumbu ya thread nyingine yoyote, kuchagiwa hivi!, hizi ni powers na sio za kuzidharau!, kesho akipiga mhadhara wa kujilipua!, just imagine hao folowers!.

Wakimalizana na Ilunga, tusisubiri hadi 2015 ndipo tuje tumuadabishe huyu, tumuwahishe mapema ili hii sumu anayoieneza isizidi kusambaa!, juzi nilimuona Sheikh Ponda, anatilisha huruma!, mwanzo alijiona shujaa, saa hizi ni heshima na adabu, na akija kutoka, he will be long done, atabakisha tuu uwezo wa kutimiza zile swala 5 kusubiria saa ya Israel! kutimia!.
Pasco.
 
Mimi nilikuwa nazungumzia hawa walioorodheshwa na Ritz



Usiwe mvivu wa kujibu kama wenzako.Huko ulikosoma tuletee hao wazee wametajwa wapi kabla hujawasoma kwa Mohammed.
Ukiwapata ni wachache kati ya hao.
Nyie mnamatatizo sana, kwani hata mzee wenu chauchochezi Mohamed Said kwenye ile ngano yake aliwataja wazee wote wapigania uhuru? Ebu jaribuni kutenganisha uislam wenu na historia ya mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika. Igeni tabia nzuri ya wale wazee walioungana na wenzao bila kujali tofauti ya imani zao wakatuletea uhuru.
 
Kiukweli, Mohamed Said, licha ya kuwa ni msimulizi mzuri, na mwana Jihad maarufu ambaye yuko tayari kufanya uhalifu wa aina yoyote in the name of Islam, ndio maana he is more than happy kuendelea kumwaga hii sumu humu!.

Naomba nikiri wazi, pamoja na sumu yake, "he has the power" to make things happen ndio maana huu uzi mpaka sasa tuko
  • Replies: 9,399
  • Views: 96,333
tena hizi numbers 3,6,9 zina maana kubwa sana kwenye "numerology", sasa tunaelekea views 100,000!, yaani Hii sumu ya Mohemed Said anayoendelea kuimwaga humu imepata wafuasi 100,000 zaidi, sijui hata kitabu aliprint copy ngapi!, endeleeni tuu kumpa milege na promo, huku yeye akiwachagiza na kuendelea kumwaga dozi ya sumu!. Tangu nimejiunga jf, sina kumbukumbu ya thread nyingine yoyote, kuchagiwa hivi!, hizi ni powers na sio za kuzidharau!, kesho akipiga mhadhara wa kujilipua!, just imagine hao folowers!.

Wakimalizana na Ilunga, tusisubiri hadi 2015 ndipo tuje tumuadabishe huyu, tumuwahishe mapema ili hii sumu anayoieneza isizidi kusambaa!, juzi nilimuona Sheikh Ponda, anatilisha huruma!, mwanzo alijiona shujaa, saa hizi ni heshima na adabu, na akija kutoka, he will be long done, atabakisha tuu uwezo wa kutimiza zile swala 5 kusubiria saa ya Israel! kutimia!.
Pasco.

Ongea taratibu Mwanakijiji asije kukusikia yeye anasema hii thread haipo hata kwenye top 10.
 
Dah nakusikitikia sana mkuu wewe kila kitu kwako ni kudanganya mbona huo ukweli wako hatujauona na huo uchochezi unaomsingizia mzee MS mbona hautuonyeshi?au ni hizi ngano za NGURUVI3 na MAG3 zinakupa kichwa ngoja sisi tuendeleekulamba buti za mzee MS
Bwana mdogo umechoka akili katika umri mdogo na bahati mbaya hujui. Hoja hizo za Nguruvi3 na Mag3 wewe huwezikujibu kwa sababu mzee chauchochezi Mohamed Said kakulisha sumu mbaya sana ya kukufanya usijiamini wala kufikiri kwa kuwa wewe ni muislam, mbaya zaidi amekuaminisha kwamba matatizo yako ya kiuchumi na kiakili yamesababishwa kwanza na mfumo kristo na uislam wako! ubovu zaidi unakuja pale ambapo hata yeye mwenyewe Mohamed said akiulizwa suluhu ya matatizo hayo, huwa hana jibu zaidi ya kurudi kuorodhesha majina ya wazee walioorodheshwa kwenye ile HISTOHISIA yake. Na wewe kama zuzu unapokea kwa makelele ujinga huo! aibu.
 
Ongea taratibu Mwanakijiji asije kukusikia yeye anasema hii thread haipo hata kwenye top 10.
Kuna kitu kinatwa, truth na facts, no one can deny that!. Kiukweli kwa kumbukumbu zangu za hivi karibuni, sikumbuki thread nyingine yoyote yenye almost hits 100,000 na posts 10,000!.
P.
 
Huyo ambaye unamuamini mpaka umelileta bandiko lake humu jamvini kama ushahdi hayo yote kaambiwa na wazee wa Kariakoo ambaye wewe unawadharau.

Vipi wale walioleta orodha ya wasisi wa TANU na uhuru wa Tanganyika wapo 17 tu. Hawa unawakubali kwa sababu hawajatajwa wazee wa Kariakoo.


Twaenda wapi mpaka kutaka kubadili mpaka historia ya Uhuru.
 
Back
Top Bottom