Realy? Uhuru Kenyata, Raila Odinga, Adam Malima, Makongoro Nyerere and likes, think twice.
We dogo, mapovu yanini? we kubali tu kwamba kiingereza hukijui na hivyo andika kwa kiswahili tutakuelewa. Haya makelele yote hayatabadilisha ukweli kwamba wewe ni mjinga. Achana na upuuzi wa Mohamed, nenda shule kasome uelimike. Wala usiamini kwamba unaonewa na mfumo kristo, dawa ni shule tu na kujiamini kwamba wewe unaweza kujiletea maendeleo bila msaada OIC! upo hapo dogo?Ndio nimetoka madrasa sasa hivi yaani nasikia raha sana kusoma madrasa na hicho kithungu nimefundishwa madrasa wewe na kithungu chako kimekusaidia nini au kwenda chooni na toilet paper na kula kwa mkono wa kushoto acheni kuiga upuuzi soma uislamu ndio utajua uislamu ni ustaarabu ili uache huo upumbavu wako wa ki ATHEIST
Ritz, did you mean "correction"?Everyone should contribute when collection is made...
Mkuu Matola, pamoja na tofauti zetu na Maalim Mohamed Said, sio haki kumuita mwehu!, na sii kweli kuwa ana akili ndogo!, tatizo lake ni moja tuu, huyu ni Muslim Fundamentalist, na anachofanya hapa ni ku propagate hiyo fundamentalism in the name of Allah!.Kumbe hapa tunaongea na mwehu mimi nilidhani ni mtu na akili zake, labda mniambie tu kuna Mungu na kuna Allah hawa ni tofauti ndio naweza kumuelewa huyu Mzee ambaye maishani mwangu sitamani kukutana na watu wenye akili ndogo kama hizi.
It is not always so.WildCard,
My Bro! When the head of the family dies, that family breaks up.
Mkuu Remote umemsahau Ngongo Pasco Mkuu hii thread imemdhalilisha Mohamed Said kwa kiwango cha kutisha.Ameshindwa kutetea hoja za msingi.Wapo mashabiki wake kama Ritz Barubaru THE BIG SHOW Boko haram zomba wamejitahidi sana kumtetea babu wa watu asizidi kudhalilika lakini wamejikuta wakishindwa kujibu hoja nzito nzito toka kila upande.
Namshauri Sheikh Mohamed ajikite kwenye mihadhara misikitini JF ni maji marefu kina chake kinahitaji mwogeleaji hodari na mwenye pumzi kubwa.Misikitini hakuna maswali waumini wanakubali kulishwa kila kitu bila kukifanyia uchambuzi wa kina.
Playing with peoples mind, haihitaji ushahidi wowote!, kwa sababu minds can never be quantified!. Maadiko yako yanajitosheleza kabisa, thank God hatuna "gallows" otherwise saa hizi ingebaki historia tuu!.Platozoom,
Unasema kitu ambacho huna ushahidi nacho.
Playing with peoples mind, haihitaji ushahidi wowote!, kwa sababu minds can never be quantified!. Maadiko yako yanajitosheleza kabisa, thank God hatuna "gallows" otherwise saa hizi ingebaki historia tuu!.
Pasco.
We dogo, mapovu yanini? we kubali tu kwamba kiingereza hukijui na hivyo andika kwa kiswahili tutakuelewa. Haya makelele yote hayatabadilisha ukweli kwamba wewe ni mjinga. Achana na upuuzi wa Mohamed, nenda shule kasome uelimike. Wala usiamini kwamba unaonewa na mfumo kristo, dawa ni shule tu na kujiamini kwamba wewe unaweza kujiletea maendeleo bila msaada OIC! upo hapo dogo?
True Ritz "YOU CAN FOOL SOME PEOPLE SOME TIME BUT YOU CANT FOOL ALL THE PEOPLE ALL THE TIME"but muslim is a sleeping giant but THE SLEEPING GIANT ARE WAKE UP
Boko, makelele yote haya hayafuti ukweli kwamba wewe hukijui kiingereza na kwahiyo unashauriwa utumie kiswahili kuwasiliana na sisi wamatumbi wenzio!Darasa ninalolipata hapa kutoka kwa mzee MS kwangu ni kubwa sana, kwanza unajua maana ya neno madrasa?wacha ushabiki na unajua kwanini nyerere alikata chuo kikuu cha kiislamu kujengwa hapa na OIC kikajengwa Uganda mbale na hiyo ndio sababu ya baba yako wa taifa kumchukia Idd Amin sasa wewe mpaka leo unaakili za zidumu fikra za mwenyekiti zidumuuuu usiwe fundi saa angalia mambo na macho mawili uko hapo dingi!
Boko, makelele yote haya hayafuti ukweli kwamba wewe hukijui kiingereza na kwahiyo unashauriwa utumie kiswahili kuwasiliana na sisi wamatumbi wenzio!
Lugha ya watu waachie wenyewe - andika kiswahili au kiarabu unachokiweza
Boko, mbona unakuwa mgumu sana kuelewa madogo haya, nimekushauri kwamba kwa kuwa hukijui kiingereza basi tumia kiswahili kuwasliana na sisi wenzio! sasa haya mengine ya nini? mbona unajitaabisha!Kwani mimi ndio wakwanza kutokujua kithungu kuna watu wako pale bungeni hawajui lolote lakini munawasujudia ha ha haa mfano umeshatafuta CV za mbunge wa Arusha mjini tafuta halafu jifananishe na wewe mwenye kujua kithungu halafu jitazame wewe unalipwa shilingi ngapi na kithungu chako na yeye analipwa shilingi ngapi uko hapo dingi la kinoma!!!!!!!!
Ikiwa maneno ni hayo basi mjadala umekwisha.Kiukweli, amini nawaambieni, by the time anaachiliwa wakati kesi inaisha, He'll just be done!. Wasiwasi wangu ni hii promo tunayoendelea nayo kumpa huyu mchochezi kupitia uzi huu, lazima tukubali, amepata follewes wengi kuliko nakala zote za kitabu chake zilokwisha somwa duniani kote!, kitu kimoja ambacho tukikubali tukikatea, Maalim Mohamed Said is very intelligent person, kwa wale tunaomkumbuka, alikichapisha humu kitabu chote, ila alikuwa akiulizwa kitu, alikuwa hajibu bali ana ku refaa kwenye kitabu ili ukasome!.
Kwenye uzi huu, amegundua Watanzania sio wasomaji, bali wana prefer kulishwa!, hivyo anachofanya sasa ni kupakua tuu hiyo sumu na kulisha!, tena akiulizwa kitu, anahakikisha hakujibu hapo hapo, atavuta vuta kwanza ili akusubirishe ndipo humwaga dozi na sumu juu!. Kwa uzi huu tuu pekeyake, tayari anao watu mia ambaop wakiambiwa wavae mabomu na kujilipua!, watakuwa tayari!.
Kwa upande wa maarifa, kiukweli kawazidi ma great thinkers wetu wengi humu ndio maana ndio maana ameendelea kuwafunga kamba kwenye shingo zao akiwaelekezea machinjioni!, nao wanakwenda nae!. He is taking a good advantage ya jfRegistered Members: 117,538
to reach as many as possible huku akiendelea kutuvuta, nasi kuvutika na kuendelea kumbeba!.
Kiukweli, MS ni mwisho!.
Pasco.
Boko, mbona unakuwa mgumu sana kuelewa madogo haya, nimekushauri kwamba kwa kuwa hukijui kiingereza basi tumia kiswahili kuwasliana na sisi wenzio! sasa haya mengine ya nini? mbona unajitaabisha!
Boko, mbona unakuwa mgumu sana kuelewa madogo haya, nimekushauri kwamba kwa kuwa hukijui kiingereza basi tumia kiswahili kuwasliana na sisi wenzio! sasa haya mengine ya nini? mbona unajitaabisha!
Platozoom,
Unasema kitu ambacho huna ushahidi nacho.
Gwali mbona mimi sijaona kitu chochote cha maana ulichoandika kwenye huu uzi? halafu kama wewe umeona hajui kiingereza siumuwache au ndio umeona kiingereza ndio kichaka chako cha kujificha pumzisha vidole vyako kama huna la kuandika.