Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Inawezekana wewe si mweledi katika mambo haya
ndiyo maana unasema hayo unayosema.
Kitabu changu ndicho kinachoeleza kwa umakini
"nationalism," "Islam and Politics," etc.
Hakuna kitabu kilichogusa niliyoandika mimi.
Hakuna kitabu kinachoeleza historia ya Nyerere kama
kitabu changu.
Sasa nikupe zito.
Kinachowashangaza wasomi wa historia walimu na wanafunzi
ni kwanini Nyerere aliiogopa historia hiyo?
Kiasi cha magazeti kukusanywa na kuchomwa moto?
Pamoja na hayo.
Kubwa zaidi.
Imekuwaje alisahau hata cheo cha "mentor" wake katika siasa za
Dar es Salaam?
Kwa hawa Wazungu Marekani na Ulaya hiki si kitendawili.
Jibu wanalo.
ndiyo maana unasema hayo unayosema.
Kitabu changu ndicho kinachoeleza kwa umakini
"nationalism," "Islam and Politics," etc.
Hakuna kitabu kilichogusa niliyoandika mimi.
Hakuna kitabu kinachoeleza historia ya Nyerere kama
kitabu changu.
Sasa nikupe zito.
Kinachowashangaza wasomi wa historia walimu na wanafunzi
ni kwanini Nyerere aliiogopa historia hiyo?
Kiasi cha magazeti kukusanywa na kuchomwa moto?
Pamoja na hayo.
Kubwa zaidi.
Imekuwaje alisahau hata cheo cha "mentor" wake katika siasa za
Dar es Salaam?
Kwa hawa Wazungu Marekani na Ulaya hiki si kitendawili.
Jibu wanalo.