Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Inawezekana wewe si mweledi katika mambo haya
ndiyo maana unasema hayo unayosema.
Kitabu changu ndicho kinachoeleza kwa umakini
"nationalism," "Islam and Politics," etc.
Hakuna kitabu kilichogusa niliyoandika mimi.
Hakuna kitabu kinachoeleza historia ya Nyerere kama
kitabu changu.
Sasa nikupe zito.
Kinachowashangaza wasomi wa historia walimu na wanafunzi
ni kwanini Nyerere aliiogopa historia hiyo?
Kiasi cha magazeti kukusanywa na kuchomwa moto?
Pamoja na hayo.
Kubwa zaidi.
Imekuwaje alisahau hata cheo cha "mentor" wake katika siasa za
Dar es Salaam?
Kwa hawa Wazungu Marekani na Ulaya hiki si kitendawili.
Jibu wanalo.
Yericko Nyerere,
Fanya marekebisho kwenye bandiko lako kuhusu ubalozi wa Marekani Kinondoni.
Historia ya uasi wa mwaka 1982 mbona ipo na inafahamika umesema Mwalimu Nyerere aliwasamehe waliotaka kumpindua. Mie nakumbuka mwaka 1985 Eugene Maganga na wenzake saba Suleiman Kamando, Zakaria Hans Pope, Vitalis Mapunda, Mbogolo, Kajaji Badru, Hatibu Gandhi (Hatty MacGhee) na Christopher Kadego, walihukumiwa kifungo cha maisha jela. Pius Lugangila alitoroka.
Mohamed Tamimu aliuawa hatua za hawali za maandalizi ya mapinduzi.
Mkuu tufahamishe waliopewa msamaha.
Inawezekana wewe si mweledi katika mambo haya
ndiyo maana unasema hayo unayosema.
Kitabu changu ndicho kinachoeleza kwa umakini
"nationalism," "Islam and Politics," etc.
Hakuna kitabu kilichogusa niliyoandika mimi.
Hakuna kitabu kinachoeleza historia ya Nyerere kama
kitabu changu.
Sasa nikupe zito.
Kinachowashangaza wasomi wa historia walimu na wanafunzi
ni kwanini Nyerere aliiogopa historia hiyo?
Kiasi cha magazeti kukusanywa na kuchomwa moto?
Pamoja na hayo.
Kubwa zaidi.
Imekuwaje alisahau hata cheo cha "mentor" wake katika siasa za
Dar es Salaam?
Kwa hawa Wazungu Marekani na Ulaya hiki si kitendawili.
Jibu wanalo.
kaka darasa lako limeeleweka sana na ndio maana inaona watu wanaanza kutoka nje ya mada.
Unajua hawa ndugu zetu wameathirika na propaganda kuwa
sisi Waswahili si lolote.
Haya nikiyasikia darasani walimu wangu wakifanya kejeli na
dhihaka kuhusu TAA.
Hapo chuo kikuu.
Sasa hawa ndugu zangu ukweli umewapiga kofi usoni.
Hebu jiulize matusi ya nini?
Waliofungwa ni waliokuwa jeuri tu, wapo (wakuu wa maasi) waliojirudi na kuomba msamaha hasa walipopelekwa IKULU, Nitakujuza wote subiri...
Unajua hawa ndugu zetu wameathirika na propaganda kuwa
sisi Waswahili si lolote.
Haya nikiyasikia darasani walimu wangu wakifanya kejeli na
dhihaka kuhusu TAA.
Hapo chuo kikuu.
Sasa hawa ndugu zangu ukweli umewapiga kofi usoni.
Hebu jiulize matusi ya nini?
Napenda nione mchango wa dada yangu Elizabeth Dominic,
Mengi sana.
Tanga, Moshi, Dodoma, Lindi, Mikindani, Tabora, Bukoba...
Unataka niweke vipande humu?