Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nakumbuka ulishawahi kufanya hivyo mkuu.Sasa tusubiri tuone hizo mbinu za kupinga ugaidi kutoka kwenye kitabu hicho.
Ulisema walikuondoa kwenye listi?Ama waliconfuse na Mwamedi mwengine?

Jmushi,

Sijaondolewa kwenye list.
Pasi yangu ina alama.

Popote duniani nikiingia na pasi yangu ''Passport Control'' wanaona alama ile...

Uzuri ni kuwa wataniuliza maswali kutaka kujua nini makusudio ya safari yangu.

Mara ya mwisho Schipol Airport na nikawafahamisha kuwa nimealikwa Marekani na Chuo Kikuu kimoja.

Wakaomba mwaliko kisha wakaniruhusu kuingia katika ndege...

Nilipofika Amerika Detroit ndiyo ''entry point'' yangu mambo ni hayo hayo.

Tuko pamoja.
Kichekesho.

Niko New Jersey kwa rafiki zangu Wamarekani wakanialika nihudhurie maandamano ya kushambulia ''serikali dhalim ya Obama.''

Hawa ni Wamarekani weupe walimu katika vyuo vikuu vyenye majina hapo Marekani.

Tembea ujifunze. Kusafiri ni shule tosha.
 
Nakumbuka ulishawahi kufanya hivyo mkuu.Sasa tusubiri tuone hizo mbinu za kupinga ugaidi kutoka kwenye kitabu hicho.
Ulisema walikuondoa kwenye listi?Ama waliconfuse na Mwamedi mwengine?



Jmushi1,

Ugaidi upi anaoujua Yericko?
Hana ''intellect'' ya kuandika kitu kizito kama hicho.

Angalia hapa ''tatizo la ugaidi'' Tanzania kama nilivyowasilisha katika mkutano wa Chuo Kikuu cha Ibadan:

The government was engaged in its own silent war against Muslims who were opposing Christian hegemony over the country and several times the government had to use force, harassment and arrest of the Muslim leadership in trying to contain the agitation.[1]

Corresponding to this awakening, Islam has gradually been gaining ground over Christianity in Tanzania.
There is a noticeable number of Christians reverting back to Islam.
[2]

The Church is facing opposition on two fronts.

It is facing Muslims on the political front agitating against the status quo and on the second front there is Islam as a doctrinaire attacking the very foundations of Christianity.

The Catholic Church is the most affected and naturally it is showing concern.

The government saw in the Act an opportunity it could manipulate in its war against Muslims and roll back the tide of Islam in Tanzania.

The United States government in supportingthe Tanzanian government in its war against terrorism was in actual sense supporting the Christian lobby in the government in its anti Islam stand.

In so doing was creating out of Muslims an unwilling adversary who had never threatened American interests.

This state of affairs forced Muslims in Tanzania to open up yet another line of defence against the United States fanning an already volatile state of affairs.

Muslims had now two powerful adversaries to watch out.
Muslims had to confront local adversaries as well as the United States.

The Christian lobby in the government had found an unexpected ally.Muslims had to organise a line of defence against the United States'interference into what was previously purely an internal power struggle between Muslims and Christians vying for dominance in the local political arena.

The entry of the United States in the conflict on the side of the government gave the conflict religious undertones, which were translated by Muslims as an impending American crusade hidden behind the façade of war against terrorism.

What was worse is the fact that in the last ten years there had been a large influx of Pentecost churches into the country from the United States and these churches were not openly hostile towards Islam but were also very aggressive towards other Christian sects.

However with the passing of the anti-terrorist legislation it seemed all Christian churches in Tanzania where united incombating Islam under the banner of terrorism.


[1]This has to be seen with this background - Muslims have clashed with riot police in Zanzibar(1988), Morogoro (1992), Mwanza (1983) and several times in Dar es Salaam. In these clashes Muslims have been killed and maimed. However not a single policemen has been prosecuted in a court of law. The most saddening miscarriage of justice was in 1998 when riot police smoke bombed the Mwembechai Mosque in Dar es Salaam in which four Muslims were killed. Following the Mwembechai crisis many sheikhs were arrested and put under custody without trail. In 2001 riot police attacked a mosque in Zanzibar during ‘salat fajr' and the imam of the mosque was killed. No investigation was carried out and therefore no one was prosecuted for the killing. In parliament debate on the Mwembechai crisis the parliament congratulated state organs in the way they had effectively and decisively handled ‘Muslim fundamentalist.'' The government statement went further it stated that in future such operations to deal with‘Muslim fundamentalists' would be carried out by Tanzania Peoples DefenceForce.[1]Few months later all the officers who took part in the Mwembechai operationwere promoted and transferred to other areas for fear of Muslim reprisals.
[2]Christian converts have formed an association – Tanzania Revertees Association.
 
Mohamed, hoja yako kuhusu BAKWATA elimu n.k. ni dhaifu sana na ningekuomba ujenge hoja zenye mashiko. Ni dhaifu na bandiko lako lina matundu mengi sana.

Huyu bwana Nanren ana hoja moja muhimu sana.
Kama alivyoiweka hapo ni vema tukaiangalia kwa jicho mujarab.

Nashadidi alichosema. Mohamed, kama BWAKTA imewekwa na Serikali kwa kushirikiana na mfumokristo, iweje wewe na baraza kuu bado mnapeleka madai, maombi na malalmiko kule kule BWAKATA walipojikita?

Karibu sana
 
Mohamed hiki ndicho kitu unasema ''intellect'' kweli!

Mohamed, serikali ya nani na masheikh gani wamekamatwa bila sababu? Ni lazima ukiandika paper uwe specific na wala si ku-generalize. Pili, Mohamed hivi huoni hapa ndipo uchochezi wako ulipo wazi. Tumekuwa na awamu nne za uongozi, unatakiwa uonyeshe hiyo silent war ni ipi, imetokea lini na kwa namna gani.
Uchochezi wa Hegemony unauleta na kuuneza wewe na akina Ilunga na Rukara. Waislam wa kawaida wanaishi maisha yao kama kawaida wakiwa na ndugu zao. Tunajua kuwa upo katika biashara ya vitabu na CD lakini hapa unaongea tuu kwa ujumla si mahali pa kufumbia macho.
Corresponding to this awakening, Islam has gradually been gaining ground over Christianity in Tanzania. There is a noticeable number of Christians reverting back to Islam.
Weka takwimu Mohamed.
Noticeable ni general term ambayo mtu yoyote anaweza kuitumia. Wasababto wanaweza kusema there is noticeable increase of Wasabato.

Hapo hawana maana kuwa ongezeko ni zaidi, noticeable inaweza kuwa relative term.
Mfano kama mwaka 1960 wakristo waliosilimu ni 100 na mwaka 2013 ni 5000 unaweza kusema noticeable.
Hii haina maana kuna ongezeko kwasababu hujaangalia ongezeko la population Mohamed Sadi! Noticeabla ni general term na ni relative term. Ukitaka ueleweke weka namba. Mtaani watasema hivyo katika academic arena that's fumbling big time
The Church is facing opposition on two fronts.It is facing Muslims on the political front agitating against the status quo and on the second front there is Islam as a doctrinaire attacking the very foundations of Christianity.
Hapa anaweka wazi ushiriki wake katika mihadhara. Lakini ndivyo ilivyosemwa katika Dini? Kwamba walinganieni watu kwa namna ile!
The United States government in supportingthe Tanzanian government in its war against terrorism was in actual sense supporting the Christian lobby in the government in its anti Islam stand
Kwamba hukumbuki tumeshambuliwa hapa hapa Tanzania. Kwamba huoni kuna tatizo la magaidi wanaoichafua dini ya Uislam. Na kama basi ni kweli, je Wasengeli na Wabaidoa wanagombania nini wakati hakuna mfumokristo. Mohamed, Alishabaab nao wanapigana kwa ajili ya Uislam.
In so doing was creating out of Muslims an unwilling adversary who had never threatened American interests
White elephant! Wajina wako Mohamed Ghailan alishambulia ubalozi wa Marekani, hapo hakuna US interest kweli. Real Mo!
Muslims had now two powerful adversaries to watch out. Muslims had to confront local adversaries as well as the United States.
Hii ni kauli yako ya kichochezi Mohamed, hakuna mahali waislam wamekaa wakakubaliana hilo.
Haya ni mawazo yako unayoyafanya ya waislam. Wewe ni Mohamed ambaye ni mwislam si Waislam. Nina uhakika wapo waislam wakisoma haya unayoandika wanakereka sana na wanatamani usitumie jina Islam maana kiwango cha hoja ni dhaifu sana.
The entry of the United States in the conflict on the side of the government gave the conflict religious undertones, which were translated by Muslims as an impending American crusade hidden behind the façade of war against terrorism.
Ni personal opinion siyo ya waislam. Narudia hakuna mahali wamekaa wakaandika haya. Umekaa Tandamti ukaandika.Ni mawazo yako yaheshimiwe lakini si mawazo ya Waislam. Mohamed, acha uzushi. Umeamua makusudi kuweka Pentecost kwa vile unafahamu kuwa Catholic haitaweza kuunga vizuri habari yako. Na wala Anglican. Hakika ungejua maknisa ya Marekani yalivyo usingethiubutu kuweka kituko hiki. Hivi huko Marekani unapokwenda huwa unapata wasaa wa kuongea na wenyeji japo kidogo. Wakisoma haya nadhani asubuhi hii ni kicheko tu. Makanisa ya Marekani ni ya watu wala hayafuati domination kama ilivyokuwa desturi.
However with the passing of the anti-terrorist legislation it seemed all Christian churches in Tanzania where united incombating Islam under the banner of terrorism.
Mohamed hakuna ukweli. So sad. Umetafuta mahali tu pa kuingiza neno kanisa kama sehemu ya chuki lakini mwenye akili timamu hadi hapa amesha disqualify paper yako

Mohamed anajua vema Pentecoste na ujio wake. Hajui kabisa World Muslim League walikuwepo Tanzania kwa shughuli gani na kwanini waliondoka!!! Think about it. Kwamba ni mtaalam wa mambo yasiyomhusu kuliko yanayomhusu na aliyoshiriki kama hili la WML.






[
 

Serikali ya Tanzania inawajibika kwa maaskofu peke yao tu? waislam hawana haki ya kupeleka malalamiko yao serikalini au unataka kutufahamisha kuwa serikali ya tanzania inawafanyia tu hisani waislam wa tanzania. Waislam ni watanzania kama wengine wana haki kama wakiristu wanalipa kodi serikalini tatizo lenu nyie wakiristu chuki zimewajaa dhidi ya waislam lakini endeleeni kuwaona waislam wapuuzi kwenye malalamiko yao tutafika tu huko mnapotaka twende.
 
Hujaelewa hoja ya Nanren. Hebu kaisome vizuri kwanza.
 

uislam hauchafuliwi na mtu kama unavyojidanganya uislam unajisimamia wenyewe kama dini ya haki ina mwongozo wake wa Qur'an na sunna, huwezi kuchukuwa makosa ya muislam ukayaingiza kwenye Uislam halafu unasema uislam unachafuliwa Ebo! Vipi kuhusu maaskofu na wachungaji mashoga wanawawakililisha nyie wakiristu. Unawasemea waislam kuwa wanamchukia kumsoma Mzee Mohamed Said unachekesha sana.
 

Wewe ndio ulikuwa unachota ilm na kuondoka?!
 

Nguruvi,
Waulize Waislam.

Wakujibu si wewe.
Wenyewe wako kimya.
 

Nguruvi,
Nami nakukaribisha.

Karibu.
 
Wana jamvi,

Niwarejeshe nyuma kidogo,

Maandiko haya ni sehemu ya kitabu nilichokiandika mimi kiitwacho "vitadhidi ya ugaidi
"

Uchochezi wa Mohammed Said imeshingikana.Sasa ni muda wa kujadili uchochezi wa Yerico.
Kitabu chako kinapatika wapi na kilitoka lini?
Vipi mauzo yake sokoni
?
Spike zamani alikuwa hazungumzi.Alikuwa akifyonza tu ilm.Sasa ameamua kutumia ilm yake.
Kipo baadhi ya maduka hapa Dar,kama dar bookshop centre

Lakini waweza kukipata ukienda ubalozi wa USA, wao ndio wanakisimamia
.
Kinauzwa kiasi gani?

Kitabu ni cha kwako au cha ubalozi wa Marekani
?
:A S angel:
Wanajamvi,
Ubalozi wa Marekani wanasimamia kitabu cha Yericko Nyerere!

Hii ngoma pevu.
Sasa ngoma inogile.

Ubalozi wa Marekani...
Sasa wanauza vitabu vya Yericko... ?
Hii ni ishara ya kuishiwa hoja.
Yuko wapi Invisible aone vijana wake walivyoishiwa na hoja?.
Samahani lakini unasema kitabu ni chako mwenyewe kinaelezea ugaidiinakuaje mpaka mchakato wake wahusike ubalozi wa marekani. Labda tufahamishemarekani wana maslahi gani na kitabu chako wanakulipa au umejitolea.

Nasubiri nakala yangu nione aina ya vitabu vinavyofadhiliwa na Marekani?.
 

Gombesugu,

Is either you are clever and smart au naive na hujui kitu.(you cannot be both)

Ila one thing am certain, wewe ni mvivu kusoma. Umekuja hapa na kuanza kuchangia hata hujasoma huko nyuma kuelewa mnakasha huu umahusu nini.

Sidhani kama hata umesoma kitabu cha Mohamed Said au hata umesoma moja ya kitabu kinachotumiwa humu kamaa reference..
 

Heshima yako mzee MS, masuala ya terrorism hata wamerakani wamelia nayo wakati wa George Bush, nadhani ulikosea ndege mzee wangu, ungebadili uingie na KLM tokea Amsterdam. Wewe unatokea Iran tena na huku paper yako ilijaa washawasha? Hujipendi? waswahili na hata waingereza wanasema mtoni kuogelea kwa kushindana na mkondo wa maji huwa ni tatizo. Pole bwana mzee. Lakini hamna haja ya pole si umeshachuma thawabu bwanaaaaa?
 

Kadogoo, Kadogoo, nashukuru kwa ujumbe na of course ni burdan kukusoma. Naona umeamua kumsaidia mzee MS kuhusu majina. OK haina shida. Wallahi nacheka kabla sijamaliza ushauri huu. Imagine binti wa mzee MS (tusema ni Latifa binti MS bin Abdulahaziz bin Khatab, darasani anaongoza basi kwa dharura wakati baba anaunguruma na Mkapa, Nyerere, Sykes na wizara ya elimu na NECTA na Bakwata basi Latifa na atumie "Robi/Wegesa Matiku Chacha"...... hahahahahah wako wewe (pengine Husna binti Kadogoo bin Sidiq basi atumie Manka Eliakimu Lyatonga Ndesa ..... hahahahah). Kama kuna computer na maa-jenti pale wizarani wanaowinda majina ya kiarabu kuyafelisha (mind you waarabu wapo wakina Hussein, Bashir, Jamal na ni Wakiristo!!!!) itashindwa kuchambua na hapo umeshapita kiulaini. Huna haja ya kikao na Waziri Mkuu. Ama kuhusu kubadili dini nimeshuhudia kaya zikipewa zawadi kama ngombe wa maziwa mahali fulani (wilayani korogwe) na zikageuza dini. Kama mtu hajashiba dini yake hata umfungie kwenye debe unasumbuka Kadogoo. Ulaya na Marekani vijana wengi wanahamia kwenye atheism (kutoamini kuna Mungu) na hawa wanafua kwa machine na wanasafiri kwa treni za umeme.
 
Nanren,
Unasema hayo bila shaka kwa kuwa hujui hali ya Waislam na jinsi
wanavyowaona BAKWATA.

Mfano ambao labda unaweza kuuelewa ni huu.
Ni mfano wa Kanisa Katoliki na Wanamaombi.

Swadakta ahali yangu. Hapa sasa atakuwa amekupata sana sana na kukuelewa namna ilivyo Bakwata na Waislam ambao sio viongozi wa Serikali.
 

Wickama,
Nilikuwa nimeingia na KLM kutoka Dar na tiketi wamenunua
wenyewe Waamerika.

Amsterdam naunganisha na Delta kwenda US.

Kuhusu paper.
Katika duru hizo msimamo wangu wanaujua.

Nilikamatwa mwaka unaofuatia yaani 2007
nikitoka Tehran kuhudhuria hawli ya Imam
Khomeni.

Mwaliko huo wengi kutoka Tanzania walialikwa
na tulipanda ndege moja Emirates.

Nadhani sasa umeipata picha.
 
Swadakta ahali yangu. Hapa sasa atakuwa amekupata sana sana na kukuelewa namna ilivyo Bakwata na Waislam ambao sio viongozi wa Serikali.


HAWATAKI KUSKIA SISI TUKISEMA HAYA,ILA WACHA TU TUSEME..

The first President,Julius Nyerere,using dictatorial powers,disbandled Muslims Organisations and confiscated their property.He later supervised the formation of Bakwata by using top goverment leaders,the first vice president,Abeid Amani Karume,and the second vice President Rashid Mfaume Kawawa.The property confiscated from muslims organisations was thereafter handled to the newly formed puppet body.Nyerere had no right to do what he did;,he violated the country's constitution;he used dictatorial powers to deny Muslims their rights.

The trend of commiting injustices against Muslims continued and increased under the goverment of president Ali Hassan Mwinyi.In 1993 saga of pork butcheries,Mwinyi ordered all the machinery of state power to descend upon Muslims in total disregard of complaints which Muslims had earlier on submitted to the goverment.The goverment of Mwinyi allowed and promoted the spread of piggeries in residential areas and the building of bar-rooms in front of mosques.In implementing the church's policy of barring Muslims from propagating their religion through public lectures,for the first time (in TANZANIA HISTORY),the goverment of president mwinyi ordered policemen to storm into mosque and to bomb Muslims.That took place at UWANJA WA NDEG MOSQUE,Morogoro 1994..!,,wengi si mmesahau??tutawakumbusha tuh..

Following the same trend,we have witnesssed under President Mkapa the goverment ordering the killings of Muslims at Mwembechai,in his response,in which he dismised the need to probe the Mwembechai killing,President Mkapa Said;

"... we all know that those disturabances which eventually necessitated the use of great state force to quell had no relation at all with religious matters...",,eeeh mkapa..!,,huogopi muumba??najua wengi pia tumesahau..

H
egave that response knowing full well that the law of the land which demands the carrying out of an inquest on any death in the hands of state organs does not say that,the said death should be in connection with religious matters..
It is quite clear therefore that this decision by President Mkapa,a decision which violates the country's constitution,has been taken out hatred against Muslims..

Bakwata yao wao,na wameiunda wao kutufunga sisi,lakin hawawez kuwafunga ambao akili zao zimefunguka,hilo halitawezekana..
 

Kazi kweli kweli. Lakin hata sisi tuliobahatika kufanya kazi Bara wakti huo ilikuwa ni aibu kubwa sana kumuonaMwislam aliyesoma na kupata cheo anakwenda msikitini iwe ijumaa au katika Swala za adhuhur au al asr.

Nakumbuka mimi mwenye nilipokuwa wizara ya Fedha ilikuwa nipo pekee miongoni mwa waislam nilikuwa nakwenda kuswali Adhuhur au al asr tena huku msikiti Ngazija (karibu na Hindu mandal ) zaidi zaidi nilikuwa na baadhwi ya madareva tu. Ingawa wengi walisema huyo mwarabu wengine mpemba huyo lakin kwa wale wa bara ilikuwa hakuna kabisa.

na hata nilipopelekwa mwanza nilikuwa kituko kwa wengi kwani ni kiongozi pekee amaye nilikuwa sionekani katika ma bar jioni bali nilikuwa nakaa barza yangu mtaa wa makoroboi karibu na msiki napata kahwa. Kweli wenzetu wa TZ Bara uislam ilikuwa ni aibu na fedhweha kwa msomi na kiongozi. Sikushangaa Kaka Yangu na maalim wangu Al Marhum Kighoma Malima kusemwa kuwa aliunda Msikiti kazini au Kaka Zangu al marhum Burhan Mtengwa na Said Mdidi kupigwa vita kwa sababu walikuwa wanasimamisha swala wakti wote na kila kipindi.

Kweli MS mnafanya kazi za ziada kuwazindua waaislam na uislam ili wajue kuwa Uislam sio tu kuwa muungwana bali ni ustaharabu uliokazania watu kusoma na kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa.

Hakika Mola atakulipa Kwalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…