platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,424
- 11,320
Mnakasha unasaidia sana,mimi nimesoma nikashangazwa na maneno ya Mohamed, he is not Mohamed of yesterday. Mohamed has come to terms with majority that he is entitled to his own opinion not the facts.
Kuna mahali amewakumbusha vijana wake jambo muhimu sana.
Mohamed anasema kitabu chake si Mashafu kwahiyo kisisomwe kama kitabu kingine cha dini.
I am delighted kwasababu kuna kijana wake amekinasibisha na mambo ya dini
Lakini amesaidia sana hasa kuwakumbusha wale vijana walioweka akili zao reheni kwa kuamini kuwa makosa ya kukusudia ya Mohamed katika jithada zake za kutengeneza hii tamthlia ni typo error. Kwamba yupo ''half baked'' thinker anayetuaminisha kuwa Madai ya Mohamed kuhusu Nyerere kama vile kuja Dar 1950 ni typo error siyo misleading info.
Tone and rhetoric za mohamed zinabadilika kutoka arrogance,boisterous na sasa anakuwa cautious kabla ya kuweka mistari.
Na kweli hili hata mimi nimeliona, sasa hivi anakuwa mwangalifu sana. Lakini nimejifunza kitu, si vizuri
kukaa kila mara na watu wanaokusifu tu au kukusikiliza bila kuhoji....Unaishia kuwa arrogant.
Na ukishakuwa arrogant na ukawa na darsa la aina hiyo wanameza kila kitu, kama Warioba hakuwa
anafahamika kabla ya kuwa Waziri Mkuu watu wanameza, Kigoma Malima alianzisha namba za Mtihani
watu wanameza, Nyerere aliingia Dar 50's watu wanameza, Utafiti uliopinda Watu wanameza n.k n.k.
BTW: Ameshakuweka kwenye "shit" list yake?